Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Kula lakn ni najisi ujue tu
Kuna manajisi kuliko viongozi wa serikali? Mbona tunaongozwa nao na hakuna manoma wala manini?
Piga kitimoto wewe, achana na maushamba yako hayo. Yaani ukishaanza maisha ya kupakapaka hinnah tu unataka kuleta makatazo ya kale.
Hebu agiza kilo halafu nitumie lipa namba yao nirekebishe.
 
Nenda jukwaa la siasa Katoe malalamiko yako hapa tunamzungumzia nguruwe
 
Ni haramu kwenu. Sisi tunaoamini kwenye mizimu na uafrika tunagonga fresh tuu na hakuna baya kutukuta. Huko firdausi kwenu mtajua wenyewe
 
Teh teh!Unajipangia ujibiwe vipi?Kula kitimoto upate akili wewe.Umezubaa sana kama mkebe.
Jamaa uzi ni wake ndiyo lakini ameukomalia balaa masharti kibao ya jinsi anavyotaka ajibiwe, mara thread closed, mara atukane watu ali mradi vurugu tupu. Anafikiri kuanzisha uzi ndiyo ana usemi wa mwisho kumbe ukishaweka kitu public unakuwa umefungua pandora box kwa mawazo ya kila aina 😁😁😁
 
Nenda jukwaa la siasa Katoe malalamiko yako hapa tunamzungumzia nguruwe
Unajua mimi naongea ili peace and love meen, sipendi ukose vitu vizuri.
Hivi unajua kuwa ni sababu ya UKIMWI ulio nao (yaani Upungufu wa Kitimoto Mwilini ndiyo unapelekea unaandika nyuzi za ajabu ajabu?
Hebu jaribu kidogo, utanishukuru mwenyewe.
 
Nmemtukana nani weka ushaid mtu alistarabika anakua na ushaid alopoki
 
Unajua mimi naongea ili peace and love meen, sipendi ukose vitu vizuri.
Hivi unajua kuwa ni sababu ya UKIMWI ulio nao (yaani Upungufu wa Kitimoto Mwilini ndiyo unapelekea unaandika nyuzi za ajabu ajabu?
Hebu jaribu kidogo, utanishukuru mwenyewe.
Sawa ni maoni pia
 
Yani ni heri kama umegundua hilo ili utupunguzie matumizi ya mywetu kwa sababu hawatutoshi jamani,ee nguruwe ni najisi usile tuachie sie wengine tuendelee kula kumfaidi mywetu kitimoto[emoji39][emoji1]
 
Bado anaendelea kuvunja ungo.Bado mdogo.
 
kwa hiyo nguruwe akichinjwa kwa kumtaja Mungu anakuwa halali tu, au sio?
 
Yani ni heri kama umegundua hilo ili utupunguzie matumizi ya mywetu kwa sababu hawatutoshi jamani,ee nguruwe ni najisi usile tuachie sie wengine tuendelee kula kumfaidi mywetu kitimoto[emoji39][emoji1]
Kula maamuzi ni yako, alisema msizin lakn najua hapo kuna jamaa anaomba gemu na wew huendi mpaka atume na yakutolea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…