Nani kawaleta hawa Wavuta Bangi hapa Mlimani City kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Nani kawaleta hawa Wavuta Bangi hapa Mlimani City kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

Tupia kapicha kamnato as ushahidi wa unachokisema au ni uzushi as usually
 
Wewe hauna maamuzi binafsi Ina maana kupiga kwako kura kunategemea hao vijana unaowaita wavuta bangi .

Naona mnatumia nguvu kubwa kushindana na wakati.
 
Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka kwa Siasa za hoja.

Mtu anakuvamia ananuka Pombe anakupigia Makelele ya Lissu na Heche anakuvuta mkono akikuachia mkono wote unabaki na harufu ya Bangi. Wanapiga Makelele,wanazuia Magari,wanatisha watu yani Vurugu tupu.

Tatizo ninaloliona hapa watu wastaarabu wengi waliofika hapa wamekwazika sana na kadhia ya hawa vijana hadi imefikia hata hao wapiga kura wao wanasema hawawezi kumpa Kura Lissu na mimi Binafsi kama Lissu ndiyo ana akili hizi na Siasa hizi siwezi kumpa Kura yangu hata siku moja.

Nashauri Uongozi wa juu wa CHADEMA ujitokeze mapema kwa Umma kutoa kauli ya kujitenga na hawa wahuni na kadhia walizosababisha ili kuepusha hasira ya Watu wastaarabu kwa Chama, ni vyema pia Viongozi wote walioandaa na kusababisha kadhia hii wakatangazwa hadharani na hatua zilizochukuliwa dhidi yao.
Lissu
 
Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka kwa Siasa za hoja.

Mtu anakuvamia ananuka Pombe anakupigia Makelele ya Lissu na Heche anakuvuta mkono akikuachia mkono wote unabaki na harufu ya Bangi. Wanapiga Makelele,wanazuia Magari,wanatisha watu yani Vurugu tupu.

Tatizo ninaloliona hapa watu wastaarabu wengi waliofika hapa wamekwazika sana na kadhia ya hawa vijana hadi imefikia hata hao wapiga kura wao wanasema hawawezi kumpa Kura Lissu na mimi Binafsi kama Lissu ndiyo ana akili hizi na Siasa hizi siwezi kumpa Kura yangu hata siku moja.

Nashauri Uongozi wa juu wa CHADEMA ujitokeze mapema kwa Umma kutoa kauli ya kujitenga na hawa wahuni na kadhia walizosababisha ili kuepusha hasira ya Watu wastaarabu kwa Chama, ni vyema pia Viongozi wote walioandaa na kusababisha kadhia hii wakatangazwa hadharani na hatua zilizochukuliwa dhidi yao.
Wamelipwa hela hao. Uchaguzi ni hela, bila kujali ni za wagombea hao au zimetoka CCM
 
Mlisema Lissu hana hela, sasa hao wahuni atawapa nin? Hao ni wahuni wa Mbowe mwenye hela za kugharamia uhuni huo. wanaimba lissu kwa makusudi tu
 
Tokea lini kunywa Pombe kumekuwa ni "uhuni"? tokea lini kupiga kampeni umekuwa ni "uhuni"? Tokea lini kusema LISSU HECHE kumekuwa ni uhuni?!

Uhuni ni kutoa RUSHWA kwa wajumbe ili Mwenyekiti aliyelambishwa asali ashinde kinyume na Sheria kwasababu RUSHWA ni jinai.
 
Wengi wanaimba Lissu Lissu itakuwa vijana wake hao na sare za CDM na kofia wote wamevaa
Huo ujinga unafanywa na tiss ili kuchafua haiba ya Lisu. Na ikionekana Mbowe anashindwa kwenye kura, hao wahuni watafanya fujo ili ionekane ni wafuasi wa Lisu. Upuuzi huo tunaufahamu sana.
 
Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka kwa Siasa za hoja.

Mtu anakuvamia ananuka Pombe anakupigia Makelele ya Lissu na Heche anakuvuta mkono akikuachia mkono wote unabaki na harufu ya Bangi. Wanapiga Makelele,wanazuia Magari,wanatisha watu yani Vurugu tupu.

Tatizo ninaloliona hapa watu wastaarabu wengi waliofika hapa wamekwazika sana na kadhia ya hawa vijana hadi imefikia hata hao wapiga kura wao wanasema hawawezi kumpa Kura Lissu na mimi Binafsi kama Lissu ndiyo ana akili hizi na Siasa hizi siwezi kumpa Kura yangu hata siku moja.

Nashauri Uongozi wa juu wa CHADEMA ujitokeze mapema kwa Umma kutoa kauli ya kujitenga na hawa wahuni na kadhia walizosababisha ili kuepusha hasira ya Watu wastaarabu kwa Chama, ni vyema pia Viongozi wote walioandaa na kusababisha kadhia hii wakatangazwa hadharani na hatua zilizochukuliwa dhidi yao.
Tuwekee picha tuwaone. Bila picha na wewe ni sawa na hao vijana.
 
Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka kwa Siasa za hoja.

Mtu anakuvamia ananuka Pombe anakupigia Makelele ya Lissu na Heche anakuvuta mkono akikuachia mkono wote unabaki na harufu ya Bangi. Wanapiga Makelele,wanazuia Magari,wanatisha watu yani Vurugu tupu.

Tatizo ninaloliona hapa watu wastaarabu wengi waliofika hapa wamekwazika sana na kadhia ya hawa vijana hadi imefikia hata hao wapiga kura wao wanasema hawawezi kumpa Kura Lissu na mimi Binafsi kama Lissu ndiyo ana akili hizi na Siasa hizi siwezi kumpa Kura yangu hata siku moja.

Nashauri Uongozi wa juu wa CHADEMA ujitokeze mapema kwa Umma kutoa kauli ya kujitenga na hawa wahuni na kadhia walizosababisha ili kuepusha hasira ya Watu wastaarabu kwa Chama, ni vyema pia Viongozi wote walioandaa na kusababisha kadhia hii wakatangazwa hadharani na hatua zilizochukuliwa dhidi yao.
Huna video tuone.
 
Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka kwa Siasa za hoja.

Mtu anakuvamia ananuka Pombe anakupigia Makelele ya Lissu na Heche anakuvuta mkono akikuachia mkono wote unabaki na harufu ya Bangi. Wanapiga Makelele,wanazuia Magari,wanatisha watu yani Vurugu tupu.

Tatizo ninaloliona hapa watu wastaarabu wengi waliofika hapa wamekwazika sana na kadhia ya hawa vijana hadi imefikia hata hao wapiga kura wao wanasema hawawezi kumpa Kura Lissu na mimi Binafsi kama Lissu ndiyo ana akili hizi na Siasa hizi siwezi kumpa Kura yangu hata siku moja.

Nashauri Uongozi wa juu wa CHADEMA ujitokeze mapema kwa Umma kutoa kauli ya kujitenga na hawa wahuni na kadhia walizosababisha ili kuepusha hasira ya Watu wastaarabu kwa Chama, ni vyema pia Viongozi wote walioandaa na kusababisha kadhia hii wakatangazwa hadharani na hatua zilizochukuliwa dhidi yao.
Propaganda ya kitoto. Toa uchawa wako hapa.
Lisu anahusika nini au ulimuona anagawa pombe
 
Dawa ya moto ni moto.

Na dawa ya wavuta bangi ni kuvuta bangi.
 
L
Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka kwa Siasa za hoja.

Mtu anakuvamia ananuka Pombe anakupigia Makelele ya Lissu na Heche anakuvuta mkono akikuachia mkono wote unabaki na harufu ya Bangi. Wanapiga Makelele,wanazuia Magari,wanatisha watu yani Vurugu tupu.

Tatizo ninaloliona hapa watu wastaarabu wengi waliofika hapa wamekwazika sana na kadhia ya hawa vijana hadi imefikia hata hao wapiga kura wao wanasema hawawezi kumpa Kura Lissu na mimi Binafsi kama Lissu ndiyo ana akili hizi na Siasa hizi siwezi kumpa Kura yangu hata siku moja.

Nashauri Uongozi wa juu wa CHADEMA ujitokeze mapema kwa Umma kutoa kauli ya kujitenga na hawa wahuni na kadhia walizosababisha ili kuepusha hasira ya Watu wastaarabu kwa Chama, ni vyema pia Viongozi wote walioandaa na kusababisha kadhia hii wakatangazwa hadharani na hatua zilizochukuliwa dhidi yao.

Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka kwa Siasa za hoja.

Mtu anakuvamia ananuka Pombe anakupigia Makelele ya Lissu na Heche anakuvuta mkono akikuachia mkono wote unabaki na harufu ya Bangi. Wanapiga Makelele,wanazuia Magari,wanatisha watu yani Vurugu tupu.

Tatizo ninaloliona hapa watu wastaarabu wengi waliofika hapa wamekwazika sana na kadhia ya hawa vijana hadi imefikia hata hao wapiga kura wao wanasema hawawezi kumpa Kura Lissu na mimi Binafsi kama Lissu ndiyo ana akili hizi na Siasa hizi siwezi kumpa Kura yangu hata siku moja.

Nashauri Uongozi wa juu wa CHADEMA ujitokeze mapema kwa Umma kutoa kauli ya kujitenga na hawa wahuni na kadhia walizosababisha ili kuepusha hasira ya Watu wastaarabu kwa Chama, ni vyema pia Viongozi wote walioandaa na kusababisha kadhia hii wakatangazwa hadharani na hatua zilizochukuliwa dhidi yao.
LISSU atashinda hata mfanye nini!
 
Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka kwa Siasa za hoja.

Mtu anakuvamia ananuka Pombe anakupigia Makelele ya Lissu na Heche anakuvuta mkono akikuachia mkono wote unabaki na harufu ya Bangi. Wanapiga Makelele,wanazuia Magari,wanatisha watu yani Vurugu tupu.

Tatizo ninaloliona hapa watu wastaarabu wengi waliofika hapa wamekwazika sana na kadhia ya hawa vijana hadi imefikia hata hao wapiga kura wao wanasema hawawezi kumpa Kura Lissu na mimi Binafsi kama Lissu ndiyo ana akili hizi na Siasa hizi siwezi kumpa Kura yangu hata siku moja.

Nashauri Uongozi wa juu wa CHADEMA ujitokeze mapema kwa Umma kutoa kauli ya kujitenga na hawa wahuni na kadhia walizosababisha ili kuepusha hasira ya Watu wastaarabu kwa Chama, ni vyema pia Viongozi wote walioandaa na kusababisha kadhia hii wakatangazwa hadharani na hatua zilizochukuliwa dhidi yao.
Kazi ya Mbowe hiyo kumchafua Lissu
 
Back
Top Bottom