Nani mwenye jukumu la kulipa hela ya kunyonya maji ya choo endapo kitajaa kati ya mwenye nyumba na mpangaji

Nani mwenye jukumu la kulipa hela ya kunyonya maji ya choo endapo kitajaa kati ya mwenye nyumba na mpangaji

Jukumu la mwenye nyumba hiyo haina ubishi kama hataki unahama

hiyo ni bills kama ilivyo umeme na maji safi.

kama umeme ama maji safi bills mnalipa wapangaji. na maji taka pia mnapaswa mbebe gharama wapangaji

maana mwenye nyumba haishi hapo hivyo hajajaza choo yeye.
 
hiyo ni bills kama ilivyo umeme na maji safi.

kama umeme ama maji safi bills mnalipa wapangaji. na maji taka pia mnapaswa mbebe gharama wapangaji

maana mwenye nyumba haishi hapo hivyo hajajaza choo yeye.
Swala la choo kikijaa ni swala la mwenye nyumba huo ni ukarabati na matengenezo na si la wapangaji
 
Acha kujiliza mkuu...elfu kumi itoe tu mambo mengine yaende.

Kama unayo toa
Kama huna vunga.
Kama 10k nyingi ahame, aone gharama ya dalali na kuhamisha vitu kama atapewa na mwenye nyumba 🤣🤣
 
Kwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.

Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu?
Hii inshu ni ya mwenye nyumba lkn Wana tutupia jumba bovu Kuta uchafu kwer
 
taa zikiungua ananunua nani? maji? umeme? taka? kama hivi vyote anafanya mwenye nyumba basi hata hilo afanye yeye
 
Kwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.

Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu?
Pambaf 😅
 
Hivi wakati wa hayo mabishano mnakuwa mnakunya wapi
 
Repairs za nyumba ni jukumu la mwenyewe mwenye nyumba,

Na jukumu la usafi ni la wote kuanzia mwenyewe mwenye nyumba na wapangaji wake.
 
Back
Top Bottom