bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
ex wako karudisha zile chupi ulizomnunulia?Kwa style hii utaweza kumnunulia mpenzi wako dozen ya chupi kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ex wako karudisha zile chupi ulizomnunulia?Kwa style hii utaweza kumnunulia mpenzi wako dozen ya chupi kweli?
Jukumu la mwenye nyumba hiyo haina ubishi kama hataki unahama
Swala la choo kikijaa ni swala la mwenye nyumba huo ni ukarabati na matengenezo na si la wapangajihiyo ni bills kama ilivyo umeme na maji safi.
kama umeme ama maji safi bills mnalipa wapangaji. na maji taka pia mnapaswa mbebe gharama wapangaji
maana mwenye nyumba haishi hapo hivyo hajajaza choo yeye.
Kama 10k nyingi ahame, aone gharama ya dalali na kuhamisha vitu kama atapewa na mwenye nyumba 🤣🤣Acha kujiliza mkuu...elfu kumi itoe tu mambo mengine yaende.
Kama unayo toa
Kama huna vunga.
Hii inshu ni ya mwenye nyumba lkn Wana tutupia jumba bovu Kuta uchafu kwerKwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.
Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu?
Alikula kaya huyuKama 10k nyingi ahame, aone gharama ya dalali na kuhamisha vitu kama atapewa na mwenye nyumba 🤣🤣
Nakaziahuu sio ubahili, ni ushamba
Pambaf 😅Kwema wakuu nataka nilianzishe hapa maana mtu unalipa kodi kila baada ya miezi 6 halafu choo kimejaa, mwenye nyumba hakai hapa lakini je ni nani mwenye jukumu la kulipa wakati sio mwenye nyumba ndo anaestahili kulipa hyo pesa kama shilingi 80,000.
Inakuaje wapangaji tupigishwe mchango wa elfu 10 kila chumba wakuu?
Inauzwa 80,000?Kwa style hii utaweza kumnunulia mpenzi wako dozen ya chupi kweli?
tunakunya choo cha jiraniHivi wakati wa hayo mabishano mnakuwa mnakunya wapi
lakini mshamba hachekwi 🤣🤣huu sio ubahili, ni ushamba