Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Jinsi utakavyokuja ndivyo utakavyopokelewa kijana. Ukija kistaarabu utajibiwa kistaarabu ukija kidhihaka utajibiwa kidhihakaKwa akili hizi za kipumbavu kila unachokileta humu JF ni lazima kikudharaulishe wewe mwenyewe.
ZenjiHii speed hata mimi imenitisha sasa. Hizi hela zinaenda wapi?
post namba #57 tbtVideo gani?
Weka link ya uzi husika mkuu
neno mnada inaendana na ile clip ya mheshimiwa job
Aisee..Mgogo baada ya klip Ile, anachungwa kama mtoto Kila aendako!!
Iweke kama unayo video hiyo🙏
Mheshimu kiongozi mkuu wa nchi, kujificha kwenye jina la bandia sio kigezo cha mfumo kushindwa kukudaka.Jinsi utakavyokuja ndivyo utakavyopokelewa kijana. Ukija kistaarabu utajibiwa kistaarabu ukija kidhihaka utajibiwa kidhihaka
Acha vitisho vya kitoto, hata ivyo wapi nimemdharau kiongozi wa nchi?Mheshimu kiongozi mkuu wa nchi, kujificha kwenye jina la bandia sio kigezo cha mfumo kushindwa kukudaka.
Au alikosa mgao?🤣 wanasiasa hawaAisee..
Ndugai ana karama ya unabii, aliona mbali, ila walishasema Nabii hakubaliki kwao!!
Mkumbo haaminiki tenaTafuta bandiko la Profesa Mkumbo limeongelea kwa kina kilichokwenda kufanyika Korea kabla ya kuanzisha uzi wenye ujumbe ambao tayari umeshatolewa ufafanuzi.
MKUU CCM NI SIKIO LA KUFA NA MBAYA ZAIDI HIZO PESA WANAWEKA MIFUKONI MWAOSalaam, Shalom!!
Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.
Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?
Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!
Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?
Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?
Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?
Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?
Mh Ndugai akiwa Spika wa bunge, alishindwa kumfunga kiongozi huyu speed governor, Nani ataweza?
Hivi Trillion 2 ni pesa ya Kugawa migodi yetu?
Trillion Moja ni pesa ya kuwapa wageni kufanya UVUVI deep sea? Kwanini tusiwadhamini wavuvi kupitia kampuni za wazawa wanunue Meli kubwa kufanya UVUVI huko deep sea tuexport nje Samaki🤔???
Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?
Karibuni🙏
Pia soma Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea
Mantiki ya alichokisema ndio ya muhimu zaidi.Mkumbo haaminiki tena
Porojo zako hazina msingi wowote hata hivyo,Salaam, Shalom!!
Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.
Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?
Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!
Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?
Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?
Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?
Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?
Mh Ndugai akiwa Spika wa bunge, alishindwa kumfunga kiongozi huyu speed governor, Nani ataweza?
Hivi Trillion 2 ni pesa ya Kugawa migodi yetu?
Trillion Moja ni pesa ya kuwapa wageni kufanya UVUVI deep sea? Kwanini tusiwadhamini wavuvi kupitia kampuni za wazawa wanunue Meli kubwa kufanya UVUVI huko deep sea tuexport nje Samaki🤔???
Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?
Karibuni🙏
Pia soma Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea
Utakufa wewe CCM bado ipo sanaMKUU CCM NI SIKIO LA KUFA NA MBAYA ZAIDI HIZO PESA WANAWEKA MIFUKONI MWAO
Hoja yako ni nzuri na tayari inafanyiwa kaziSasa kwanini tukawakopee wezi Kwa unachokiita " Nia njema"?
Saizi Hadi mifumo ya control namba inaingiliwa na waizi!!
Kwanini tusiondoe kwanza waizi ndipo twende kukopa?
Nani mkuu?"Huu mkataba ni very technical kwa wananchi na wabunge kuelewa"
Alisikika msomi namba moja nchini.