Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu zile dawa za baiskeli NIMETUMIA kweli mwishoo nkanza kuwatania na ya kuonja ipooPuff daddy hapo unazingua mzee kwamba wewe hujui sumu ya panya au mimi ndiye sijaelewa thread yako
Dawa ya kutibu mifupa?Kuna kidonge fulani cha njano ndani kina unga unga, ulizia duka la dawa watakupa,
Kisha weka kwenye vipande vya nyanya
Kama ni hivyo basi fuga nyau tu hapo huna namnaKweli mkuu zile dawa za baiskeli NIMETUMIA kweli mwishoo nkanza kuwatania na ya kuonja ipoo
Niliona kama wanakula awafi
Nkajaribu Indo acid WAKAFA wachache
Narudi Tena kwenye Indo acid namwaga darinzima mkuu
Tupa visivyo maana panya wanapenda sehemu iliyorundikanaViende wapi mkuu
Angarau yenu ninyi mechi zenu znamashabikYanaweza yakatuliaa wewee
Yakisikia mnafanya mapenzi yanaanza kuzunguka kati kati usawa wa kitanda kama yanawazomeaaa dah
Tumia chambo cho chote halafu nyunyizia unga wa indocine, utanishukuru baadaye!MSAADA wapendwa niliandika January mara mbili
NDUGU tunatesekea na ma pants YAAN usiku yanatembea kama watu
Mwanzoo TULIJUA nyoka darini YAAN wanatembea na kishindo kizitoo
Sasa hali n Tete watoto hawalali sisi hatulali YAAN tukianza kuhondomola na themeji YENU YAAN yanakuja KATIKATI usawa wa kitandaa huko darini yanapiga MAKELELE
Mpaka majuzi YAAN bmkubwa analalamika mbonaaa simalizi nkamtania sijui hayo mapanya huko juu HATA sielewi
Kifupi n mateso majuzi tulifungua kipande cha cylingbiardKIMOJA wazi tukianza kuwagonga wanakimbilia kwenye tumetoka kipande yakadondika tukayaua
YAAN yako kama bindamu sijui yako MANGAPI na TULIUA sita kwa sikumoja tu
Mwenye kujua dawa ya haraka kuwaua MSAADA pls
Indomethathin !!! Hivi bado vinapatikana!!!???.......Wasije kuwa Panya wa.............!!!!!Kuna kidonge fulani cha njano ndani kina unga unga, ulizia duka la dawa watakupa,
Kisha weka kwenye vipande vya nyanya
One man down 👇 👇 👇Sasa hali n Tete watoto hawalali sisi hatulali YAAN tukianza kuhondomola na themeji YENU YAAN yanakuja KATIKATI usawa wa kitandaa huko darini yanapiga MAKELELE
Mpaka majuzi YAAN bmkubwa analalamika mbonaaa simalizi nkamtania sijui hayo mapanya huko juu HATA sielewi
Kusanya ndugu zako wa mitaa ya twiga na jangwani waje wanywe supu hapo na chapati zao wanapenda mteremko sanaKweli mkuuu nimeambiwa hivyoo na Toka tumeanza kupambana NAOO YAAN ukishuka pesa kama jini linakujaa huyu katumwa mamamkubwa kaumwa ama MSIBA n shida tupu
Shemejio mahasira ya gafla yamemwingia YAAN n shida tupu
Ntafanyahivyo mkuu
Muagize mtu akununulie chuo kikuu SUA wanadawa nzuri sana panya hata awe mjanja vipi lazima afeMSAADA wapendwa niliandika January mara mbili
NDUGU tunatesekea na ma pants YAAN usiku yanatembea kama watu
Mwanzoo TULIJUA nyoka darini YAAN wanatembea na kishindo kizitoo
Sasa hali n Tete watoto hawalali sisi hatulali YAAN tukianza kuhondomola na themeji YENU YAAN yanakuja KATIKATI usawa wa kitandaa huko darini yanapiga MAKELELE
Mpaka majuzi YAAN bmkubwa analalamika mbonaaa simalizi nkamtania sijui hayo mapanya huko juu HATA sielewi
Kifupi n mateso majuzi tulifungua kipande cha cylingbiardKIMOJA wazi tukianza kuwagonga wanakimbilia kwenye tumetoka kipande yakadondika tukayaua
YAAN yako kama bindamu sijui yako MANGAPI na TULIUA sita kwa sikumoja tu
Mwenye kujua dawa ya haraka kuwaua MSAADA pls
kina dawa I ko kama pelets huchanganyi na chochote.MSAADA wapendwa niliandika January mara mbili
NDUGU tunatesekea na ma pants YAAN usiku yanatembea kama watu
Mwanzoo TULIJUA nyoka darini YAAN wanatembea na kishindo kizitoo
Sasa hali n Tete watoto hawalali sisi hatulali YAAN tukianza kuhondomola na themeji YENU YAAN yanakuja KATIKATI usawa wa kitandaa huko darini yanapiga MAKELELE
Mpaka majuzi YAAN bmkubwa analalamika mbonaaa simalizi nkamtania sijui hayo mapanya huko juu HATA sielewi
Kifupi n mateso majuzi tulifungua kipande cha cylingbiardKIMOJA wazi tukianza kuwagonga wanakimbilia kwenye tumetoka kipande yakadondika tukayaua
YAAN yako kama bindamu sijui yako MANGAPI na TULIUA sita kwa sikumoja tu
Mwenye kujua dawa ya haraka kuwaua MSAADA pls