Naomba dawa ya kuuua mapanya hii mara ya tatu au mnasubiri tufe mtoe michangoi??

Naomba dawa ya kuuua mapanya hii mara ya tatu au mnasubiri tufe mtoe michangoi??

Dawa ya panya ni paka tu basi, hata kitoto cha paka kikilia meow siku 3 panya wote wanakimbia ndani
 
Wale n shida mkuu YAAN wako kama binadamu wanene mbaya.....mkuu niliiwahi kudowload nikaweka wakapotea niliposema niaangalie simu nitoe kaka sikuikuta nkaita kijana AKAPANDA juu akakuta inakaribia SEHEMU walipoingilia katobo kadogo nkaichukua nkaziba ukweli niliapa sirudii tena maana nilihisi walikuwa Wanapita na simu yangu
Panya ni hataree SANAAA.
 
Basi ni issue ya kirohohapo unatakiwa uombe toba tu Yako na eneo ,ardhi hiyo maana mambo ni mengi
Km mkristo unanielewa
Unajua Cha kufanyq
Nimekuelewa sana mkuu kwa sasa nimeamuankupambana kimwil(dawazakuwaua)i na kirohoo
 
inaonyesha swala la misosi mizuri kwako hupo vizuri
Hahahaaa mkuu kama Wametumwa hawaangalii Msosi mkuu..usafi kwangu a
Sema wakijipanga inategemea na wewe unejilindaje Wacha tuendelee kusalia na kuomba
 
Panya ukimpa sumu asipokufa umemtenenezea kinga nzuri sana kwenye mwili wake hutamuua tena kwa sumu yenye mpangilio huo
 
Yapni kumwaga damunya Yesu tu kwenye hiyo ardhi utajua tu ukweli
Kabisa mkuuuu nimeanza maombi ya saa sanane ya usiku nikiimbia wimbo WA Yesu n rrafiki Yangu akaee mbinguni hutuombeaaaa .

Lakini twajikosheaa twajitwika mabayaaa tusipomtafuta yeyeeee Yesu kristo rafiki WA kweli
..........
Kwa Yeye Tutatoboa tu
 
Barikiwa sana mkuu NAELEKEA HAPO tegeta leo
Tupe mrejesho baadae hyo haina kufeli, mapanya makubwa huwa hayasikii sumu za kawaida wala mitego huwa kama yana hakili ivi.. Unaweza hisi niyakichawi.
 
Back
Top Bottom