Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝🤝Barikiwa sana mwamba leoo hii naenda vifanyia kazi
Kwa matokeo mazuri zaidi unaweza kutumia samaki au dagaa.Barikiwa sana mwamba leoo hii naenda vifanyia kazi
Mimi sina presha na almasry ntacheza nae hata azam complexAchana na masuala ya Supu, JIKITE kwanza kutafuta uwanja wa kucheza, maana mmekuwa wazururaji 😀 Al Masry wanawanywea alkasus
Panya ni hataree SANAAA.Wale n shida mkuu YAAN wako kama binadamu wanene mbaya.....mkuu niliiwahi kudowload nikaweka wakapotea niliposema niaangalie simu nitoe kaka sikuikuta nkaita kijana AKAPANDA juu akakuta inakaribia SEHEMU walipoingilia katobo kadogo nkaichukua nkaziba ukweli niliapa sirudii tena maana nilihisi walikuwa Wanapita na simu yangu
Panya buku Hafi kwa indomethacin trust me.
Basi ni issue ya kirohohapo unatakiwa uombe toba tu Yako na eneo ,ardhi hiyo maana mambo ni mengiWanapita mkuu Tena nahisi wanazizomea
Yapni kumwaga damunya Yesu tu kwenye hiyo ardhi utajua tu ukweliNimekuelewa sana mkuu kwa sasa nimeamuankupambana kimwil(dawazakuwaua)i na kirohoo
Kabisa mkuuuu nimeanza maombi ya saa sanane ya usiku nikiimbia wimbo WA Yesu n rrafiki Yangu akaee mbinguni hutuombeaaaa .Yapni kumwaga damunya Yesu tu kwenye hiyo ardhi utajua tu ukweli
Tupe mrejesho baadae hyo haina kufeli, mapanya makubwa huwa hayasikii sumu za kawaida wala mitego huwa kama yana hakili ivi.. Unaweza hisi niyakichawi.Barikiwa sana mkuu NAELEKEA HAPO tegeta leo
Hivi mapanya buku yanaingia hadi ndani? Mie nafikiri ni ya shambani huko😁Panya buku Hafi kwa indomethacin trust me.
Vile vipanya vidogo vidogo sawa Tena vikipata upenyo wa maji ndio wanapona...mapanya buku ni noma sanaaa