Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

Uongo unataka kuuza tu dawa za kienyeji ambazo Hazina uthibitisho
Hahahahaha, ni kweli zinatuliza maumivu lkn baada ya muda linaanza,

Kuna dawa nilikuwa natumia ya kenya ilikuwa nzuri lkn upatikanaji ni shida.
 
Hebu uje nyumbani uchukue dawa moja
 
Ng'oa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…