Hahahahaha, ni kweli zinatuliza maumivu lkn baada ya muda linaanza,Uongo unataka kuuza tu dawa za kienyeji ambazo Hazina uthibitisho
Am speaking of my experience mkuu... Haya sawa mwambie akafanyeMaumivu yanarudije wakati mishipa inakua imekatwa??
Nimetumia dawa tatu maumivu yamepoa nilale kwanza,Piga dawa tatu zinauzwa mia mia.Ni dk 5 maumivu kwisha.Ila ukaling'oe vinginevyo utakuja kulia kama Kuku.
Usijali dear natoa,limevimbaAm speaking of my experience mkuu... Haya sawa mwambie akafanye
Hapana sio kweli. Labda kama ulienda wakaziba kawaida.ang’oe tu
root canal baada ya muda tabu inarudi palepale
Pole sanaSijapata usingizi.
Uongo mi nimeng'oa jino miaka mitatu iliyopita hao bakteria wa kuhamia jino jingine sijawaonaUking'oa jino bacteria uhamia jino lingine,zipo dawa zinafanya vzuri kutibu meno bila kung'oa wacheck Modern traditional clinic,Wana dawa nzuri ya kusukutua
AhsantePole, nenda kang’oe tu
AhsantePole sana
Hebu uje nyumbani uchukue dawa mojaAssalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Utayang'oa moja baada ya jingineAhsante
Unataka awe mapengo akose mume?ang’oe tu
root canal baada ya muda tabu inarudi palepale
Ng'oaAssalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Kwani mpk sasa mleta mada hana mume?Unataka awe mapengo akose mume?