Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

Kigezo cha uzalendo ni kurudisha pesa tu? Hakukuwa na shida nyingine ofisini kwao ambayo wangeitatua Kwa kutumia bakaa hiyo mfano madeni ya wazabuni na watumishi, vitendea kazi na mengineyo?
 
Kigezo cha uzalendo ni kurudisha pesa tu? Hakukuwa na shida nyingine ofisini kwao ambayo wangeitatua Kwa kutumia bakaa hiyo mfano madeni ya wazabuni na watumishi, vitendea kazi na mengineyo?
Hoja hapa ni kubana matumizi kubadilisha matumizi baada ya bakaa ni jambo jingine nadhani ndio hoja ya muhusika
 
Wewe ni shabiki wa Chama Cha waganga njaa , Chadema
Kumbe ni hivyo tu.Mimi nikadhani unataka nishabikie walafi,wezi,majangiri,wauzaji wa vyombo vya ndani vya kupikia,wenye kulea majumbani mwao mashoga na wasagaji,wavivu wa kufikiri,wapeanao madaraka kihuni na wajingawajinga.?
 
Kumbe ni hivyo tu.Mimi nikadhani unataka nishabikie walafi,wezi,majangiri,wauzaji wa vyombo vya ndani vya kupikia,wenye kulea majumbani mwao mashoga na wasagaji,wavivu wa kufikiri,wapeanao madaraka kihuni na wajingawajinga.?
Huko Sasa ni zaidi maana Mataputapu tuu mnakutana mapanga ,mkiona pesa za Umma itakuaje? 😂😂
 
Utakufaa tu na wivu wako
Sasa ukimuonea wivu mtu badala ya kujitafuta unakuwa unawaza vizuri kweli?Haiwezekani mkaleta agenda za upigaji debe JF kienyeji na muda haujaruhusu.Mnawaharibia.Kamati ya maadili ikiwatandika viboko watu wenu msijinunishe.Subirini.
 
Kurudisha chenji serikalini si kigezo cha uadilifu.

Mkapa alisharudisha chenji sana serikali za urais wa Nyerere na Mwinyi, akapewa nchi, akaiba mara nyingi ya akizorudisha kwenye EPA na ma deal mengine.
 
Kurudisha chenji serikalini si kigezo cha uadilifu.

Mkapa alisharudisha chenji sana serikali za urais wa Nyerere na Mwinyi, akapewa nchi, akaiba mara nyingi ya akizorudisha kwenye EPA na ma deal mengine.
Mkapa aliiba nini? Be serious aisee
 
Kuna kurudisha Kwa sababu pesa imevuka mwaka na miradi haikutekelzwa ipasavyo.

Hoja ni mradi umekwisha na chenji imebakia.

Jerry na Bashungwa walikataa Rushwa za mabilioni

Kurudisha chenji serikalini si kigezo cha uadilifu.

Mkapa alisharudisha chenji sana serikali za urais wa Nyerere na Mwinyi, akapewa nchi, akaiba mara nyingi ya akizorudisha kwenye EPA na ma deal mengine.
Futa hi kauli plz
 
Uzalendo ufundishwe Mashuleni yaani watu wanamlaani mtu kurudisha chenji aiseeee my country😭😭
Hapo ndipo unapoweza kuona laana ya watanzania.badala ya kumtia moyo wao wanaona wivu . Ndio maana wezi na mafisadi wanapata kiburi cha kuiba sana pesa za umma maana wanajuwa watatetewa sana na watanzania hao hao walioibiwa kodi zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…