Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

2016?Leo hii imepita miaka mingapi?Kwa nini habari ya Kafulila(siyo wizara yake) na Tulia (na siyo bunge/utumishi wa bunge)zije nyakati hizi?It's very suspicious activity!??????????
Ulitaka z
2016?Leo hii imepita miaka mingapi?Kwa nini habari ya Kafulila(siyo wizara yake) na Tulia (na siyo bunge/utumishi wa bunge)zije nyakati hizi?It's very suspicious activity!??????????
Ulitaka zije lina habari hizi?
 
Kumbe hata huyo mama hajawahi kurejesha, nilitaka nimtetee lakini maadam wewe haumtambui kuwa amewahi kurejesha basi tuamini hivyo kuwa mama hajawahi kurejesha.
 
Wewe huna akili kabisa, Kiongozi bora angefanya re-allocation kutekeleza miradi au changamoto zingine katika eneo lake. Kwa mfano katika Mkoa wa Songwe lazima kulikuwa na mahitaji mengine muhimu ya wananchi ambayo yalitakiwa yatekelezwe badala ya ya kurudisha fedha Hazina. Kwanini hakufanya?!
 
Acha kutukana matusi.unafahamu sheria za kiutumishi au unaropokatu hapo? Unafahamu kila kitu kinakwenda kwa utaratibu na maandishi ya vikao? Unafahamu kila kitu kinahitaji kupitia miongozo? Acha umbumbumbu wako hapa wewe.
 
nadhani Kurejesha pesa Serikalini Haina maana huwezi kufanya reallocation baada ya approval
 
Mbona walisifiwa na kupewa makaratasi ya pongezi 2016?Hizi "rising from the deads" zenu zina nia gani kwa nyakati hizi?
Historia husimuliwa wakati wote,
Kama watu wamefanya mambo mazuri hata kama ni miaka 20 iliyopita yasemwe tu.
 
Historia husimuliwa wakati wote,
Kama watu wamefanya mambo mazuri hata kama ni miaka 20 iliyopita yasemwe tu.
Kuna kitu.Si bure.Wiki nzima?Kafulila hili,Kafulila mule!Na,ili kupoteza maboya,mmemchomekea na Tulia.You people!πŸ˜‚πŸ™
 
Hawezi akaelewa hilo maana ana msongo wa mawazo
Mimi bado naishi nyumbani mwa Baba yangu.Msongo wa mawazo bin sonona nitoe wapi?Ninyi mnatutapeli na nyuzi za kumsifia Kafulila.Mna agenda ambayo haina tofauti na ile ya kuchora kwenye mawe makubwa na madaraja mwaka ule..."CHAGUA MWIGULU.NI MZALENDO"..!Tofauti yenu ni nini hapo?
 
Shida iko wapi?
Kila mwanasiasa anaambition kubwa,
Ila kwa sasa tuzungumzie kwanza Uzalendo wa huyu 2mbili
 
Napenda mijadala kama hii, tujifunze kutambua vipaji vikiwa bado chini kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…