Naomba kujua je, malengo ya Chama kuhamia Yanga SC kuwa anafuata Mashindano makubwa ili afike mbali yametimia?

Naomba kujua je, malengo ya Chama kuhamia Yanga SC kuwa anafuata Mashindano makubwa ili afike mbali yametimia?

Yaani Simba SC wakuache kwa kukuona Kiwango kimekwisha, kisha ujidanganye kuwa utafanikiwa huko Uendako?
Kwa nilivyomuelewa mimi alifikiria mafanikio yapo upande mmoja tu,he was wrong kwenye hili,Pili alikwisha saliti Kwa kua karibu na viongozi wa yanga wkt bado ni mchezaji wa simba,hapa ni usaliti kabisa,ndipo Yanga wakampatia dau kubwa kuliko alichokua anapata simba.
Kwa yanga hii walijua wamebomoa timu kumbe uongozi wa simba uliwaza mbali zaidi kwakufumua kikosi chote.
Usaliti ndio uliwafanya viongozi wa simba wasihangaike nae kwakua jamaa alikwisha saini yanga wkt viongozi wa simba wakijadili mkataba mpya
 
Yaani Simba SC wakuache kwa kukuona Kiwango kimekwisha, kisha ujidanganye kuwa utafanikiwa huko Uendako?
Amefanikiwa. Ndo hayo mashindano makubwa kayapata anasubiri tena next time. Ametuletea Yanga gundu tu na uzee wake anatembea kama kajinyea. Mimi nliwaambia akina Hersi Chama hamna kitu Simba hawana shida naye tena ameshazeeka....wakawa wabishi.
 
Hee kumbe mlituletea mgonjwa na hamkusema au ndo sitaki mbichi hizi mkuu?
Wana Simba SC wa ndani kwa 100% tunajua Nyaya za Umeme kwa Chama zilikatika Kitambo baada ya Mkude Kumponza kwa yule yule aliyemuumiza pia Boss wa zamani CECAFA, Boss wa zamani Simba SC na Mwandishi wa Kike mkongwe wa Gazeti la Kampuni ya Marehemu Tajiri wa Kichagga na Radio yake Moja. Sitaki Swali / Maswali tafadhali ila jua kuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE tajiri wa kupata Taarifa zote za Ndani na Sera yangu ni kwamba ULIPO NIPO.

Imeisha hiyo......!!!!!!!
 
Back
Top Bottom