Morogoro to chato ulitumia siku ngapicha kwanza angalia gharama ya mafuta kutoka dar dom utatumia shi ngap!!na ghrama ya kusafilisha halafu compair uone!!. ila safal dar dom karibu tu mkuu unafika fresh bila shaka kabisa,, cha mhimu ni kuwa na mavaz mazur kudhibit upepo!!mm mwenyewe usafili wang ni pikpik naenda mikoan bila shida kabisa huu mwaka wa nne sasa,,nakumbuka siku natoka tanga to musoma bila shaka nilifika fresh tu,, musoma to bukoba bila shida, mwanza kigoma bila shida na morogoro to chato na ninatumia tvs 150* ko usiogope cha mihimu hasa ni mavaz unayovaa,, kwanza ni usafili usiokuwa na vituo ving.
siku moja tu niliamusha sa 10 alfajili moro chato sa nne nilipitia kahama, bukombe,lunzewe bwanga nikadumbukia kwa jpm.Morogoro to chato ulitumia siku ngapi
We jamaa mtu mbaya Sana ha ha haaUtapasuka kifua dogo na bodaboda yako utuachie mkeo tumle kilaini
Asante mkuu kwa kunitia moyoKwanza tujue.
1. Dar dom km ngapi
2. Unaenda kwa km ngapi kwa saa
3. Lita inakupeleka km ngapi
4. Je una vifaa vya kujikinga, koti, helmet nk
5. Je una tool box
6. Una pesa ya dharura.
Inawezekana kabisa. Wanaokutisha hata pikipiki hawajui kuendesha. Jipange, inawezekana.