Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Chadema ni kama mmechanganyikiwautapokelewa na muloto kama gaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ni kama mmechanganyikiwautapokelewa na muloto kama gaidi
Bodaboda hajui hata moja kwenye hiyo listKwanza tujue.
1. Dar dom km ngapi
2. Unaenda kwa km ngapi kwa saa
3. Lita inakupeleka km ngapi
4. Je una vifaa vya kujikinga, koti, helmet nk
5. Je una tool box
6. Una pesa ya dharura.
Inawezekana kabisa. Wanaokutisha hata pikipiki hawajui kuendesha. Jipange, inawezekana.
Itabd atafute mtu wa kumkanda hayo makalioUkifika, siku mbili zote makalio yanatetemeka tu....
Mjomba katisha sana! Katoka kariakoo hadi urambo, mi nilijua katoka dar hadi taboraDodoma mbona karibu tu,mi mjomba wangu alitoka na pikipiki kuanzia kariakoo mpaka Urambo Tabora
Dar - Mbeya ulipitia Mikumi, Masasi ua Mtera?Mkuu, kama kufika haraka sio issue kwako, piga gear vyombo hivyo. Adventure.
Utatumia siku 2. Pumzika kila baada ya 2 hours au kila baada ya kilometa 100-150. Pumzika kwa saa moja hivi.
Uzuri izo pikipiki ni famous, kwahiyo kila unavyopumzika unaweza enda sehemu penye mafundi wakacheki upepo na vitu vidogo vidogo.
Ukibadirisha oil huku hauna haja ya kubadirisha hadi Dom.
Mi nishaenda na pikipiki Dar to Mbeya, na ilikua air-cooled, TVS apache 180, na ilikua poa sana.
Utachoka kingese ila iyo safari hautakaa ukaisahau maishani mwako.
Narudia tena, kikubwa usiwe na haraka.
Anaenda kwa ishu gani?Kuna mwamba katoka Kigoma kwa mguu anaelekea Kilimanjaro!
Anaenda kwa ishu gani?
Mi kwetu kigoma ila sipendezwi na hii tabia ya kutembea kwa miguu, huyo sasa atakuwa mtu wa tatu kutembea kwa mwaka huu.
Karne ya 21 kutemvea kwa miguu ni aibu kwa nchi, hii inaashiria uchumi duni wa watu.
Naomba USIJARIBU... Kwa habari zaidi za Onyo langu Muulize Pascal Mayalla wa JF. UTANISHUKURU BAADAYE.Habari za leo wakuu,
Ninafikiria kati ya njia mbili za kusafiri, aidha kwa pikipiki au kuisafirisha chombo yangu used kwa malori ya mizigo. Kwa wale wenye uzoefu na route hii kwa pikipiki mnaweza kunipa muongozo wa sehemu za kupumzika, kufanya service nikiwa njiani, muda wa safari kwa makadirio na changamoto zilizopo barabara hiyo ya Dar - Dodoma.
Chombo ni mbili moja boxer cc125, na Tvs cc 150 madereva tupo wawili.
Natanguliza shukrani.
Nilitaka nimwulize swali hili, ngoja ni cheki kama amekujibuDar - Mbeya ulipitia Mikumi, Masasi ua Mtera?
Habari za leo wakuu,
Ninafikiria kati ya njia mbili za kusafiri, aidha kwa pikipiki au kuisafirisha chombo yangu used kwa malori ya mizigo. Kwa wale wenye uzoefu na route hii kwa pikipiki mnaweza kunipa muongozo wa sehemu za kupumzika, kufanya service nikiwa njiani, muda wa safari kwa makadirio na changamoto zilizopo barabara hiyo ya Dar - Dodoma.
Chombo ni mbili moja boxer cc125, na Tvs cc 150 madereva tupo wawili.
Natanguliza shukrani.
Mkuu Kaluluma , kama ulivyoelezwa na Mkuu Tusker Bariiiidi, mimi ni biker.Naomba USIJARIBU... Kwa habari zaidi za Onyo langu Muulize Pascal Mayalla wa JF. UTANISHUKURU BAADAYE.
Umenena vyemaMkuu Kaluluma , kama ulivyoelezwa na Mkuu Tusker Bariiiidi, mimi ni biker.
Kuna bikes za aina tatu,
1. bikes za matumizi ya kawaita, ambazo ni za masafa mafupi, na safari fupifupi sio za safari za masafa marefu. Hizi zina cc. ndogo from 50cc -250cc
2. Kuna bikes za starehe for fun, na michezo ya pikipiki kama racing, zinaitwa Street bikes, na off roads, hizi pia sio pikipiki za safari ndefu. CC. ni kuanzia 250cc hadi 650cc.
3. Kuna pikipiki za safari au za masafa, hizi ni big bikes kuanzia 750cc -1,800cc. Hizi ndio pikipiki za safari au za masafa.
Mimi kwa upande wangu nilikuwa na seti zote 3, hivyo nilikuwa nakwenda kila mahali na bike. Niliwahi kuwa nafanya kazi Morogoro naenda asubuhi na kurudi jioni. Dar Moro kwa big bike ni 90min.
Dar Dodoma ni 4 hrs
Dar Moshi ni 5 hrs.
Kwa vile hizo bikes zako ni ndogo na sio za safari hivyo zipakie kwenye lori zilete.
Japo mimi kwa upande wangu, nimesafiri sana na bikes, lakini baada bike kunifanya kitu mbaya, sishauri kusafiri kwa pikipiki long distance au masafa marefu kwasababu barabara zetu hazina bike lane, hivyo ni hatari sana. Nchi za wenzetu, wana pedestrian lane, cycles lane, bikes lane na njia za magari.
P