Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Globe monopolization kwenye baadhi ya deals haiepukiki, duniani kuna makundi matatu, moja ni kundi linalofanya mambo yatokee, kundi la pili ni wale watu wanaoelewa kile kinachotokea, kundi la tatu ni wale wasiojua lolote bendera fuata upepo kama watanzania, dunia wakati inahama kwenye mfumo wa ubadilishanaji kutoka burter system kwenda monetary system hao jamaa walihakikisha wanamiliki njia kuu zote hivo kila ukistuka unajikuta uko kwenye mfumo waoKwann wao? Wananguvu gn ya kushawishi yote haya wafanye wao tuu bila compitition, wao wamekuwa Akina nani
Nchi zenye ufalme ni monarch,kwaio king ndo anakua anapewa absolute power,ko nguvu zote anakua nazo yeye,ndo mana visima vya mafuta vyote vya saudi vipo chini yaoKivip, Mali nizawananchi hakuna mtu anamiliki nchi aseme yangu kana kwamba anaweza hata kuwafukuza..
Ndiyo Rocka Fella?Kuna member jana nilikuwa naongea nae, ni mzuri kwa kuelezea vitu vilivyopo kwenye dark web.. Yeye alisema hao Akina Elon musk na Jeff Bezos sijui Akina billgate hawana pesa mbele ya Rothschild family
Niliingia Google as fast as possible nikaja kuona ni kweli, Forbes inaweka wazi kuwa Rothschild family wana utajiri kupindukia wa $20 trillion and above,, hii pesa ni nyingi sana nadhani ni utajiri usiohesabika, jumlisha pesa za matajiri top twenty wote hazifikii
Swali ni kwamba, nini kinafichwa juu ya hii Familia mpaka Forbes wamuweke Elon musk kuwa tajiri kuliko wote duniani ilihali Kuna binadam wenye pesa ndefu nahawatajwi
Huyu jamaa alisema ukiingia kwenye dark web, Kuna orodha ya watu wanaomiliki pesa zaidi ya kumi na majina yao sio maarufu, mbali na hapo wenye pesa kubwa majina yao hayajulikani
Naombeni kujua zaidi kuhusu huu ukweli. Asante
Baresa ana hela gn na ww bhnaa, hata apo Kongo Kuna watu hawamjui.. Unamjua Martin Fayulu? Ana pesa huwez kuhesabuForbes wanaweka matajiri halali ambao biashara zao zinaokena ,, kuna matajiri wengi huyo Musk kuna watu pale mashariki ya kati hasa saudi hawakuti hata nusu ,sema hao biashara hazieleweki ni watu wana siri za hatari sana , wanapata easy money.
Forbes na bloomberg wanadili na watu wanaofanya biashara na uchumi kwa ujumla ...Hapa bongo kuna jamaa anaitwa Bakhresa nae ana pesa ila hayo majarida hayamjui .
DuuuhGlobe monopolization kwenye baadhi ya deals haiepukiki, duniani kuna makundi matatu, moja ni kundi linalofanya mambo yatokee, kundi la pili ni wale watu wanaoelewa kile kinachotokea, kundi la tatu ni wale wasiojua lolote bendera fuata upepo kama watanzania, dunia wakati inahama kwenye mfumo wa ubadilishanaji kutoka burter system kwenda monetary system hao jamaa walihakikisha wanamiliki njia kuu zote hivo kila ukistuka unajikuta uko kwenye mfumo wao
Kwa bongo hapa yuko juu ya Mod hata ubishe , ni billion pia ila anajulikana Mo ...Zipo sababu ambazo Bekhresa anaficha zile pesa wanazoweka wanamkadiria.Baresa ana hela gn na ww bhnaa, hata apo Kongo Kuna watu hawamjui.. Unamjua Martin Fayulu? Ana pesa huwez kuhesabu
Huku sisi baba yupo busy kuuza dawa za nguvu za kiume 🤣🤣🤣Babu yao uyo anaitwa Mayer Rothschild yeye ndo akili nyingi alianza na banking industry mdogo mdogo
😁Huku sisi baba yupo busy kuuza dawa za nguvu za kiume 🤣🤣🤣
Shida hutaki kuwa flexible, MO dewji ni tajiri Sema nyie mmekalili Azam tu kisa niwakitamboKwa bongo hapa yuko juu ya Mod hata ubishe , ni billion pia ila anajulikana Mo ...Zipo sababu ambazo Bekhresa anaficha zile pesa wanazoweka wanamkadiria.
Bakhresa hamfikii Mo,tuanzishe uziKwa bongo hapa yuko juu ya Mod hata ubishe , ni billion pia ila anajulikana Mo ...Zipo sababu ambazo Bekhresa anaficha zile pesa wanazoweka wanamkadiria.
Mnamchukuliaje bakhresa,amewekeza karibu kila kona ya AfricaShida hutaki kuwa flexible, MO dewji ni tajiri Sema nyie mmekalili Azam tu kisa niwakitambo
Weh! Weeh!! SSB ni levl nyingine achana nae .Shida hutaki kuwa flexible, MO dewji ni tajiri Sema nyie mmekalili Azam tu kisa niwakitambo
Sio kweli , SSB yuko mbali sana yule umri wake sio wa show offBakhresa hamfikii Mo,tuanzishe uzi
Mo anapesa ivi ushawah kusafiri nchi za SADEC uku chini? Mo bidhaa zake anauza nje sana,ndo mana unamchukulia poaMnamchukuliaje bakhresa,amewekeza karibu kila kona ya Africa
Noma sana mimi kikioiga jaga master mbili nikichoma na kuku wa kienyeji hiyo laki tatu imeishaHalafu huku bongo ticha analipwa laki tatu kwa mwezi dahhh! Dunia hii Tuache tu
Rothschild family ni raia wa nchi gani? Umewahi kumuona?Yeye alisema hao Akina Elon musk na Jeff Bezos sijui Akina billgate hawana pesa mbele ya Rothschild family
Hakuna kinachofichwa, ila mtafute huyo Rothschild kwanza watu wamuone.Swali ni kwamba, nini kinafichwa juu ya hii Familia mpaka Forbes wamuweke Elon musk kuwa tajiri kuliko wote duniani ilihali Kuna binadam wenye pesa ndefu nahawatajwi
Dark-web again🤣🤣🤣🤣Huyu jamaa alisema ukiingia kwenye dark web, Kuna orodha ya watu wanaomiliki pesa zaidi ya kumi na majina yao sio maarufu, mbali na hapo wenye pesa kubwa majina yao hayajulikani
Nchi ngap ushawah kusafir africa?Sio kweli , SSB yuko mbali sana yule umri wake sio wa show off