Mi sipo huko sema niko nao hao kina Li Xing kwa upande mwengine wa game.Nlikula maisha saiv npo npo tu niunganishe kama una duka la simu niweke benchi hapo nianze kuita wapitaji
Acha utani basi we boss ya mboka uwe bush tenaMe sipo uko ni story tu nasikiaga πππ€£
Me niko bush nipe mchongo basi
Tupeni michongo basi mbona mnakaza hivo?? πππMi sipo huko sema niko nao hao kina Li Xing kwa upande mwengine wa game.
Boss wapi cazee naganga njaa tu.Acha utani basi we boss ya mboka uwe bush tena
πππ hutaki kupewa limbwata?Kinoma weeee yaan mi hata demu tu nikiona chale sitmbio tena, mtu mwenye hayo mambo mapema sana namkimbia
Vzr sana mi npo napambana japo sijajitoa vzr kariakoo ila nahis ntatoka mwaka huu mwishoni baada ya hapo sirudi tenaMi sipo huko sema niko nao hao kina Li Xing kwa upande mwengine wa game.
Hahahah et Jet Li. Ngoja tucheki upepo kwanza ikitokea kimeo unawahi chap.Boss wapi cazee naganga njaa tu.
We niweke huko kwa ndugu zake Jet lii na mie sister ako ni shine town πππ
Usitoke maana maisha ya nje ya hapo yatakuwa magumu maradufu kama hujajipangaVzr sana mi npo napambana japo sijajitoa vzr kariakoo ila nahis ntatoka mwaka huu mwishoni baada ya hapo sirudi tena
Fanya hivo cazee mjini kuwekana πππHahahah et Jet Li. Ngoja tucheki upepo kwanza ikitokea kimeo unawahi chap.
π€£π€£π€£Uje ofisini unipe wasifu wakoTupeni michongo basi mbona mnakaza hivo?? πππ
Hiyo haiepukiki aisee hawa wadada wanaokuja na kusepa Wana Siri nyingi π§π§ndo maana mi ni team kataaa oandπππ hutaki kupewa limbwata?
Nipe maelezo ya kufika ofisini boss ππππ€£π€£π€£Uje ofisini unipe wasifu wako
Acha uoga wewe πππHiyo haiepukiki aisee hawa wadada wanaokuja na kusepa Wana Siri nyingi π§π§ndo maana mi ni team kataaa oand
Nataka nirudi kwa kina mysql bn nimemis profession yanguUsitoke maana maisha ya nje ya hapo yatakuwa magumu maradufu kama hujajipanga
Sogea kwenye mlango ulioandikwa Private Mes..... Utanikuta hukoNipe maelezo ya kufika ofisini boss πππ
πππππ kama una fani we endelea nayo tuNataka nirudi kwa kina mysql bn nimemis profession yangu
Njoo ww! Ili usinisumbue na hayo mamboAcha uoga wewe πππ
Anakupa mganga reject ili usimfunikie boss alikuleta mjini.Kwaiyo mganga atatafuta mwenyewe au vipi bhana
πππ huo mlango ndio wa ofisiSogea kwenye mlango ulioandikwa Private Mes..... Utanikuta huko