Naomba kujuzwa mahali pazuri pa kufikia Zanzibar

Naomba kujuzwa mahali pazuri pa kufikia Zanzibar

DAh hiyo mtendeni nimeenda leo asubuhi ni kuchafu sana nimekuta Kuna mzee amekaa mnene mlemavu yupo ananyolewa nywele kwa ndani nikavua viatu ndani Kuna wafaa wenyeji maana Ile ni familia 30,000k ni maajabu nipo zangu Fuoni lodge nimelipa 500 kwa dara dara nipazuli 30,000 at least ahsante kwa mchangiaji na mleta mada pia imenisaidia kwa kiasi kikubwa 🙏
Hapo ni pa ovyo mno!!yaani chumba cha 30,000 choo kiko nje!!mi siku hizi nafikia mamba lodge 25,000 chumba ni self contained na ni pa safi kabisa!!Unguja bnana ukienda kichwa kichwa unaweza kukosa pa kulala,tumezoea huku bara kila chocholo ni guest house.
 
Tafsiri ya gharama sana ni kias gan? ZNZ hakuna mtandao wa lodges na Gesthouse kama huku bara nyingi ni Hotels

May be uandae budget ya kuanzia Dollar 30 kupata Malazi kuhsu hayo mengine ya totoz labda kama kama utaenda kwenye night clubs zao eg Kwa Komba kama bado ipo.
Nawachukia watu wote mnaoongelea malipo au manunuzi in terms of dollar. Katika Taifa lako unaptomote currency ya watu wengine?

Au ndo uonekane unajua! Acheni ulimbukeni
 
Acha tu ndugu yangu haya mambo ya utafutaji utakutana na changamoto nyingi ila yapaswa uvumilivu tu.
Tena mbaya zaidi hapo nlikuwa nimechukua mkopo wa 7m bank ilikuwa kipindi kile Corona ndo imechanganya wakawa wanasema watu watakufa sana mwanaume nikajua nikiwekeza pesa nyingi lazima nipige hela mwanaume nikavuta mkopo nikaandaa mzigo mkubwa nikaweka kwenye office yangu hapa Dom then mzigo mwingine nikaugawanya Dar na Zenji nikitaraji kupiga hela msimu wa Corona ila kilichonikuta mpaka leo sintosahau!
Unajisikiaje kutoa kisa cha uongo ili tu ufurahishe watu?
 
Back
Top Bottom