secretagent
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 204
- 317
Dar to zanzibar nauli bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
35,000Dar to zanzibar nauli bei gani?
Nashukuru sanaKuwa makini tu, ile ni nchi nyingine yenye waarabu weusi.
Kuwa makini huko hakunaga gesti za bei chee kama hizo ulizozizoea hapo ubungo za buku teni teniWakuu nifikie wapi au nikakeshe forodhani
"Tobo la pili"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120]Ipo moja tobo la pili sokoni, inaitwa mtendeni Lodge
Nenda Jumbo, ipo karibu na Lukmaan.Wakuu nifikie wapi au nikakeshe forodhani
Yaan ndio kusema vyumba hakuna au kukomoana mbon bongo huku 30/35 unalala chumba kikali, hio 40/50/60/70/80 ni bed & breakfast au ?za 40/30 zipo ila inabidi uwe mwenyeji sana au waombe boda wakupeleke kiembe samaki ipo moja, au mtaa wa kariakoo wanapouza vifaa vya umeme used. sehemu nyingi average ni 60-80 hata hiyo ya 50 utaangahika sana za kubahatisha
Kuna sehem inaitwa kwa mama Janet ni maarufu sana kwa kitimoto...Wana room Safi za "kawaida" ni 25000 ila kulala ni kuanzia saa tatu...Wakuu nifikie wapi au nikakeshe forodhani
Weka na gharamaNenda Jumbo, ipo karibu na Lukmaan.
Walking distance to Forodhani na mazingira yote ya Stone Town.
30000Dar to zanzibar nauli bei gani?
Sasa naelewa Kwann nimeangushiwa hii safari,walijua sitabaki na chochote...za 40/30 zipo ila inabidi uwe mwenyeji sana au waombe boda wakupeleke kiembe samaki ipo moja, au mtaa wa kariakoo wanapouza vifaa vya umeme used. sehemu nyingi average ni 60-80 hata hiyo ya 50 utaangahika sana za kubahatisha
Bei ndio hizo hizo anazotaka. 40 - 50k.Weka na gharama
Wazo zuri , ni mwendo wa kupiga swala tuuTafuta msikiti ulale
Mkuu breakfast kuanzia 70, zingine zote unpagishwa mswaki. Ilivyokuapo merryland pale malindi ndo ilikua around 40 na unapiga na breakfast fresh, ila yule owner nadhani alipata some issue akaifunga. Zenji is very expensive kule wavuvu kibao ila bei ya samaki motoYaan ndio kusema vyumba hakuna au kukomoana mbon bongo huku 30/35 unalala chumba kikali, hio 40/50/60/70/80 ni bed & breakfast au ?