Naomba kujuzwa mahali pazuri pa kufikia Zanzibar

Naomba kujuzwa mahali pazuri pa kufikia Zanzibar

[emoji1][emoji1] Dah!
Kwanza ukiwa Kule usiseme Guest, Znz kuna Guest ambazo ni Nyumba tu za kawaida na watu wanashare, Chumba kimoja analala mtu zaidi ya Mmoja. We nenda tu Hoteli.

Eneo zuri ambalo Hoteli bei Chini na halipo mbali na Mjini ni hapo Mlandege utazikuta hizo Super lodge Basarte na nyengine nyingi.

Stone town hotel za Hovyo ( za kitalii ) na Bei ndefu.
 
Wakuu nimepata ka-trip kuelekea Zanzibar, katika kutembea kwang kote, sijawahi fika Zanzibar, hii ni mara ya kwanza, sasa naomba kujuzwa mahali pazuri pa kufikia (pasiwe gharama sana) sehemu za kwenda kupata kilaji na ku enjoy na totoz, kwa anayefahamu please ningeomba ange-share hapa nipate kauzoefu kabla ya safari.

Karibuni!
Mchamba wima
 
Bwawani siku hizi pamefungwa?
Nilifika hapo miaka ya 2000s ,pana amshaamsha flani.
 
Ndio madhara ya kukataa watanganyika kuwekeza huko..kisa sio wazenjo..ona sasa hata lodge hakuna..maisha gani haya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Weeh ulizia kwa Mzushi tuu bei chee 20,000 mpk 25,000..ndo ninapo pigia mikasi hapo kama unaenda bara bara ya Benjamin Mkapa..inshort panajulikana sababu jamaa mwnyw ni mbishi kitambo mpk akapewa jina la Mzushi
 
Nenda ccm maisala na chakula hapo ni laki znz hotel ni bei mbay au yuma ya ccm kukahotel
 
Kwanza ukiwa Kule usiseme Guest, Znz kuna Guest ambazo ni Nyumba tu za kawaida na watu wanashare, Chumba kimoja analala mtu zaidi ya Mmoja. We nenda tu Hoteli.

Eneo zuri ambalo Hoteli bei Chini na halipo mbali na Mjini ni hapo Mlandege utazikuta hizo Super lodge Basarte na nyengine nyingi.

Stone town hotel za Hovyo ( za kitalii ) na Bei ndefu.

Sijawahi kuzielewa zile Hoteli za Stone Town ya yale mabei. Wazungu sio wazima kabisa
 
Zanzibar kuna hotel inaitwa Baraste lodge kagorofa flani hivi, madem zangu wawili nilifika nao hapo kwa nyakati tofauti pale ni pazuri sana sema kwa siku ni 65,000 kuendelea , chumba kikubwa full ac , friji, viatanda viwili ukienda hatanna watoto fresh, choo bafu humo humo , asubuhi unapata breakfast safi

Sema kwa kipindi hichi ukilia nao 60 hadi 65 unapata chumba cha gorofani safii tu full ac
Kumbe na hoteli Kuna ku bargain?
It has never crossed my mind.
 
Back
Top Bottom