Nibiru
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 596
- 828
Pole kaka, kule hauweni unaipata kama una jamaa au nduguSasa naelewa Kwann nimeangushiwa hii safari,walijua sitabaki na chochote...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kaka, kule hauweni unaipata kama una jamaa au nduguSasa naelewa Kwann nimeangushiwa hii safari,walijua sitabaki na chochote...
Pole sana ila nimecheka sana navuta picha ulivokuwa unahangaika na majenezaNakumbuka mara ya mwisho nilienda huko miaka ya hivi karibuni kupeleka biashara yangu ya majeneza mambo yakawa magumu kule wengi
Machaka yako mengi mno labda kama utembei 25kBei ndio hizo hizo anazotaka. 40 - 50k.
Shukrani sana Kiongozi angalau naanza kupata matumainiShida kuna wapuuzi wengi hawajui lolote kuhusu unguja,wanaropoka tu,gest Safi usinielewe tofauti zinaanzia 30k...Kuna moja inaitwa sayi pia sio mbaya iko fuoni mwisho..ni maarufu tu..iko pemben kidogo ya mji...ukishuka bandarini panda boda ni buku mbili,mwambie unaenda tobo la pili,ukishuka ulizia daladala za fuoni...ama angalia kwenye kioo cha mbele zimeandikwa "Fuoni" mwambie konda unaenda "sayi" akifika akushushe...nauli ya daladala ni jero tu.
Screen shot hio comment itakufikisha,then utanishukuru baadae.Shukrani sana Kiongozi angalau naanza kupata matumaini
Hii ya kingese mno,unapanga gesti na wenyeji wanaishi humo humo.Ipo moja tobo la pili sokoni, inaitwa mtendeni Lodge
Acha tu ndugu yangu haya mambo ya utafutaji utakutana na changamoto nyingi ila yapaswa uvumilivu tu.Pole sana ila nimecheka sana navuta picha ulivokuwa unahangaika na majeneza
Biashara ikawa ngumu sio😂😂😂 dah wauza majeneza banaa!Nakumbuka mara ya mwisho nilienda huko miaka ya hivi karibuni kupeleka biashara yangu ya majeneza mambo yakawa magumu kule wengi ni waislamu hawaziki kwa majeneza niliishi kwa taabu sana mpaka nikaamua kusafirisha mzigo uliobaki nikarudi nao kwenye branch yangu ya Dar
Kwa siku nilizokaa huko nisingekuwa jeuri lingenikuta jambo[emoji848]
Kuna mzee mmoja bonge sana!!una mkuta yupo nje muda woteIpo moja tobo la pili sokoni, inaitwa mtendeni Lodge
Kuna moja ipo maeneo ya uwanja wa amani kwa mbele kidogo panaitwa daraja bovu kuna guest ipo fresh tu kwa tsh.25,000 hiyo ndio huniokoa nikiwa huko!!inaitwa MAMBA LODGE.Sasa naelewa Kwann nimeangushiwa hii safari,walijua sitabaki na chochote...
2500030000
Naskia zanzibar one wameshusha bei, ila azam marine ni 30000.25000
Kipindi haswa cha Covid bei ilikuwa tuna bargain. Bargaining inatokea wateja wakiwa wachacheKumbe na hoteli Kuna ku bargain?
It has never crossed my mind.
DAh hiyo mtendeni nimeenda leo asubuhi ni kuchafu sana nimekuta Kuna mzee amekaa mnene mlemavu yupo ananyolewa nywele kwa ndani nikavua viatu ndani Kuna wafaa wenyeji maana Ile ni familia 30,000k ni maajabu nipo zangu Fuoni lodge nimelipa 500 kwa dara dara nipazuli 30,000 at least ahsante kwa mchangiaji na mleta mada pia imenisaidia kwa kiasi kikubwa 🙏Kuna mzee mmoja bonge sana!!una mkuta yupo nje muda wote
Acha tu ndugu yangu haya mambo ya utafutaji utakutana na changamoto nyingi ila yapaswa uvumilivu tu.
Tena mbaya zaidi hapo nlikuwa nimechukua mkopo wa 7m bank ilikuwa kipindi kile Corona ndo imechanganya wakawa wanasema watu watakufa sana mwanaume nikajua nikiwekeza pesa nyingi lazima nipige hela mwanaume nikavuta mkopo nikaandaa mzigo mkubwa nikaweka kwenye office yangu hapa Dom then mzigo mwingine nikaugawanya Dar na Zenji nikitaraji kupiga hela msimu wa Corona ila kilichonikuta mpaka leo sintosahau!