white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hapo ni pa ovyo mno!!yaani chumba cha 30,000 choo kiko nje!!mi siku hizi nafikia mamba lodge 25,000 chumba ni self contained na ni pa safi kabisa!!Unguja bnana ukienda kichwa kichwa unaweza kukosa pa kulala,tumezoea huku bara kila chocholo ni guest house.DAh hiyo mtendeni nimeenda leo asubuhi ni kuchafu sana nimekuta Kuna mzee amekaa mnene mlemavu yupo ananyolewa nywele kwa ndani nikavua viatu ndani Kuna wafaa wenyeji maana Ile ni familia 30,000k ni maajabu nipo zangu Fuoni lodge nimelipa 500 kwa dara dara nipazuli 30,000 at least ahsante kwa mchangiaji na mleta mada pia imenisaidia kwa kiasi kikubwa 🙏
Nawachukia watu wote mnaoongelea malipo au manunuzi in terms of dollar. Katika Taifa lako unaptomote currency ya watu wengine?Tafsiri ya gharama sana ni kias gan? ZNZ hakuna mtandao wa lodges na Gesthouse kama huku bara nyingi ni Hotels
May be uandae budget ya kuanzia Dollar 30 kupata Malazi kuhsu hayo mengine ya totoz labda kama kama utaenda kwenye night clubs zao eg Kwa Komba kama bado ipo.
Na hizo wanaita hotel usidhan ni za maana, hizo 60 80 ni vituko tu.Yaan ndio kusema vyumba hakuna au kukomoana mbon bongo huku 30/35 unalala chumba kikali, hio 40/50/60/70/80 ni bed & breakfast au ?
Mabanda ya kuku kwa watu wa Dar sio hotel ni vijihotel au sio mkuu ? Labda ile ya Bakhresa aliyowajengeaNa hizo wanaita hotel usidhan ni za maana, hizo 60 80 ni vituko tu.
Unampata eeKuna mzee mmoja bonge sana!!una mkuta yupo nje muda wote
Mbona unashanga bosi wangu,hilo jina kawaida tu kwa zenji"Tobo la pili"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120]
Unajisikiaje kutoa kisa cha uongo ili tu ufurahishe watu?Acha tu ndugu yangu haya mambo ya utafutaji utakutana na changamoto nyingi ila yapaswa uvumilivu tu.
Tena mbaya zaidi hapo nlikuwa nimechukua mkopo wa 7m bank ilikuwa kipindi kile Corona ndo imechanganya wakawa wanasema watu watakufa sana mwanaume nikajua nikiwekeza pesa nyingi lazima nipige hela mwanaume nikavuta mkopo nikaandaa mzigo mkubwa nikaweka kwenye office yangu hapa Dom then mzigo mwingine nikaugawanya Dar na Zenji nikitaraji kupiga hela msimu wa Corona ila kilichonikuta mpaka leo sintosahau!