Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Huyo ni kinda kabisa katoka timu ndogo kwenda timu kubwa so hoja yako imekufa kibudu tuAston Villa alikuwa kwenye viwango gani vya soka Ulaya wakati Jack Grealish alipokuwa hapo, hadi City wanalazimika kuvunja benki ili kumng'oa?!
Kwahiyo wakati anacheza pale Aston Villa, hao Aston walikuwa wakubwa kuliko City?! Au unataka kusema wakati huo hakuwa na viwango vya kuchezea timu kubwa?!Huyo ni kinda kabisa katoka timu ndogo kwenda timu kubwa so hoja yako imekufa kibudu tu
Kama Aucho ana ubora unaoutaja asingekwenda Yanga angekwenda timu kubwa Africa hii na hata Ulaya kiulaini tu
Si huyu hapa aucho ebu jionee mwenyewe hapa, hata kocha mwenyewe hakuridhika na kiwango cha jamaa mpaka kumtema kabisa asiwepo hata benchDuh kumbe tunabishana na Bashite hapa
Alikujibu unitag mkuumfano unamtoa nani pale simba ili acheze huyo. hebu niambie huyo aucho anacheza na timu zipi pinzani ili umsfie. mfano luanga, mkude, mzamiru wanapambana na viungo wa al ahly, mazembe, kaizer. sasa aucho anacheza na viungo wa DTB, FRIENDS RANGERS, KAGERA ALAFU UNASIFU
Hakuna kiungo yoyote wa chini kwa apa Tanzania si Kwasasa Ila kwa miaka ya hivi karibuni anaye mkaribia Aucho.Alikujibu unitag mkuu
Sana mkuu.Kuna watu uwezo wenu wa kificha ujinga uko chini Sana. Yaani Mzamiru kucheza na Al Ahly ndo amekuwa kiungo Bora kuliko wote ambao hawajawahi kucheza na Al Ahly?
hawawezi, kipimo cha kuwa mzusri lazima ucheze na machampionoJibu swali wewe! Ina maana kwavile hawajawahi kucheza robo fainali, ndo hawawezi kucheza na akina Al Ahyl wakato wote wanacheza kwenye ligi hiyo hiyo?!
kabisa mkuu. timu round ya kwanza tu njeKama yeye ni bora sana asingekuja Yanga timu ya kiwango cha chini kabisa Africa
kmkm, biashara, azam ni bora kuliko yangsNdo maana nimekuuliza umeanza kufuatilia soka lini!! Champion League hata KMKM wanashiriki!!
wew unamrate mchezaji kwa mechi ya simba basYanga haijakutana na hao watu, mbona akina Kamusoko/Shishimbi walishawahi kuichakaza Al Ahly taifa na kule ugenini Al Ahly mpaka possession hakuongoza? Je ina maana wale ni bora kuliko viungo wa kipind kile wa Al Ahly.
Kuna muda mfumo unaweza ukabeba timu na kufunika udhaifu wa wachezaji, ndo maana akina Iniesta na Xavi hawakuwezs kupigiwa debe kununuliwa cause walijua ni mfumo ndo umewafanya wawe vile.
Aucho ulimtazama ktk ile Derby? Kiwango chake mbali na Bangala, kuna kiungo yoyote ndan ya Yanga na Simba aliyeonesha uwezo nusu yake?
sawa nilikuwa nataka kujua hilo tuMuunganiko ulishapatikana kwenye match ya Hisani,au hukuuona?
bado kukukojoza tu ndugu popomaunanikuna sana.
Lazima muwe wapumbavu popomaSimba SC Kumkosa Fundi Khalid Aucho Kikosini Kwetu tumethibitisha jinsi gani hatuna Akili.
Unahangaika Kumsajili Kanoute wakati unae anayefanana nae Ndemla au Mkude huku ukiacha ( tena kwa Ubahili ) Mchezaji Mahiri na Fundi Khalid Aucho kwanini tusiitwe Wapumbavu?
unatupotezea muda kubishana na jinga kama wewe.mfano unamtoa nani pale simba ili acheze huyo. hebu niambie huyo aucho anacheza na timu zipi pinzani ili umsfie. mfano luanga, mkude, mzamiru wanapambana na viungo wa al ahly, mazembe, kaizer. sasa aucho anacheza na viungo wa DTB, FRIENDS RANGERS, KAGERA ALAFU UNASIFU
Yule bangala usajili wake mikia walitaka kuuingilia,tukawatoa kwenye reli tukajifanya tunamtaka inonga,basi fasta na wao wakamuwahi inonga,tukawaingiza cha kikeNamfananisha na Sergio Busquets wa zaman, hakamii mpira anatumia akili na mtulivu mno. Uyu jamaa na Bangala ni viungo haswa.
Weka rekodi za chama wakati anatoka egypty anakuja hapo mkiani free agent uone aibu yako,aucho egypty aliingia kwenye mgogoro na timu,so muda mwingi alikua kwao uganda huku akifanya taratibu za kuvunja mkatabaSi huyu hapa aucho ebu jionee mwenyewe hapa, hata kocha mwenyewe hakuridhika na kiwango cha jamaa mpaka kumtema kabisa asiwepo hata bench
Katika mechi kumi kacheza mechi tatu tu, hizo mechi saba hata bench hakuwepo.
Haya angalia hizo mechi tatu alizocheza, hana assist, hana goal, ana yellow card moja
View attachment 1958494
Haya muangalie record zake kwenye premium league, kutoka 2013 (kabla hata manara hajaajiliwa aimba) mpaka 2021 mchizi ana goli 9 tu, sasa hiki kibwengo ni chakukifananisha na chama?
Jamaa hana record ya kufunga goli kwenye club bingwa afu mandezi wa humu wanasema eti angekuwepo kwenye mechi ya rivers angefunga, angefunga nini? kwa kiwango gani? mnautani labda angefunga ramadhani au kwaresma
Hizi hapa ni record za chama ambaye huyo marieta aliyeanzisha huu uzi kama disqualify
View attachment 1958510
Chama ana magoli 12 ya club bingwa, hapa hata ukichukua squad yote ya yanga wachange magoli ambayo walishawahi kufunga kwenye mashindano ya club bingwa hawamfikii chama
Unazungumzia aucho egypt kua alikua kwenye mgogoro kua ndio sababu ya kutokuwekwa hata kwenye squad as if kwamba angekuwepo angeleta impact, wakati katika hizo mechi tatu alizocheza na timu yake ya taifa kwa dakika zote 90 hakuna goli wala assist aliyopata zaidi ya yellow card?Weka rekodi za chama wakati anatoka egypty anakuja hapo mkiani free agent uone aibu yako,aucho egypty aliingia kwenye mgogoro na timu,so muda mwingi alikua kwao uganda huku akifanya taratibu za kuvunja mkataba
Basi mkuu,tufanye Aucho ni Jr Lokosa.Unazungumzia aucho egypt kua alikua kwenye mgogoro kua ndio sababu ya kutokuwekwa hata kwenye squad wakati katika hizo mechi tatu alizocheza na timu yake ya taifa kwa dakika zote 90 hakuna goli wala assist aliyopata zaidi ya yellow card?
Yani kutoka 2013-2021 mshkaji ana assit 2, halafu bado mnamuita mchezaji si utani huu?
Pole sanaSi huyu hapa aucho ebu jionee mwenyewe hapa, hata kocha mwenyewe hakuridhika na kiwango cha jamaa mpaka kumtema kabisa asiwepo hata bench
Katika mechi kumi kacheza mechi tatu tu, hizo mechi saba hata bench hakuwepo.
Haya angalia hizo mechi tatu alizocheza, hana assist, hana goal, ana yellow card moja
View attachment 1958494
Haya muangalie record zake kwenye premium league, kutoka 2013 (kabla hata manara hajaajiliwa aimba) mpaka 2021 mchizi ana goli 9 tu, sasa hiki kibwengo ni chakukifananisha na chama?
Jamaa hana record ya kufunga goli kwenye club bingwa afu mandezi wa humu wanasema eti angekuwepo kwenye mechi ya rivers angefunga, angefunga nini? kwa kiwango gani? mnautani labda angefunga ramadhani au kwaresma
Hizi hapa ni record za chama ambaye huyo marieta aliyeanzisha huu uzi kama disqualify
View attachment 1958510
Chama ana magoli 12 ya club bingwa, hapa hata ukichukua squad yote ya yanga wachange magoli ambayo walishawahi kufunga kwenye mashindano ya club bingwa hawamfikii chama