Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Tukiamua kuulizana humu kwanini wewe ni mkristo au kwanini wewe ni muislamu basi naamini unaweza kushangaa tena kwa sababu ambazo watu watatoa.
 
Dah usiseme mengi kanisa la maombi lilinishirikisha wizi wa spika njaa mbaya ..bora nibaki korelo
 
Sasa ndugu yangu mtoa mada, yesu hawezi kurudi amevaa kanzu. unajua kwann? Akiwa anashuka toka mbinguni ataonekana uchi kwa sisi tulio chini uku 😂😂😂Apa piga geuza lazma agonge suti😂😂
 
utamkuta katika hari gani?kavaa kanzu anaswali au utamkuta kavaa suti anahubiri kwa sauti?hilo ndiyo jibu ninalolitaka,sababu dini zote zinahubiri Yesu ataludi
Mkuu nashukuru kwa elim yako hii pana, nilikuwa sijui kumbe DINI zote zinamsubiria YESU arudii?? Ivi ni yeye yule mnazareth? Je wakati huo YESU anarudi Mtume Muhammad yeye atakuwa wapi? Na je kama atarudi kuhukum au kuhitimisha mwisho wa dunia atakuwa ametumwa na nani?? Ivi msemo ule wa kiswahili usemao akufae kwa dhiki (wakat mgum) ndie rafiki wa kwel una mantiki apa? Naomba kuwasilisha
 
Umechanganya sana mambo,Yesu ataludi kama mwanadamu na kwa sura yake aliyeondoka nayo,sasa kama huwa mnamtafsiri kwa sura za watu wengine wa kuchora,hapo ndipo utakapokuwa mtihani
Sijachanganya hata kidogo nadhani ni mtazamo wako! Kama umedanganywa kwamba Yesu atarudi kifala kama alivyokuja imekula kwako!!!! Jiandae kwa mshangao! Maandiko yameweka wazi hatarudi kimasikini kama alivyokuja awali! Atarudi na nguvu, na utukufu, na mamlaka!! Tulimchezea na tumeendelea kumchezea vya kutosha! Ingia makanisani uone yanayoendelea humo!! Ni kinyaa na ni aibu! Endelea kusubiri uone kama atarudi kama mwanzo!!
 
Kifupi kabisa ni kwamba, Uislamu haujakanilika!
Ni imani pekee Duniani ambayo inategemea imani nyingine ili ikamilike.
Bora hata wabaoabudu Ng'ombe hawahitaji dini nyingine kujikamilisha.

Uislamu haupo bila kujihalalisha kwa Ukristo
 
Yaani huu ubishi wote ni katika ku justify dini ipi ni ya kweli. Hapa ulipo unatoka mpaka mishipa ya shingo kutetea dini ambayo uko hapo sababu tu umezaliwa na wazazi walioko hapo, sio kwamba ume study dini zote ukaamua uifuate ipi.

Uko radhi hata ubague yule asieamini katika unachoamini wewe Kwa kujiona wewe ndio sahihi zaidi yake. Hivi niwaulize wafia dini zote/wote, what if ukija kukuta dini ya mwenzio ndio ilikua sahihi kuliko yako? Or what if dini zote ni Sahihi? Or what if dini zote sio Sahihi? Or what if hizi story za Mungu, Yesu, Mtume Muhammad (SAW), sijui Adam, Mussa ni uzushi tu?

Fanya yaliyo mema hapa duniani, amini unachoamini wewe na waache wengine waamini wanavyoamini wao. Usiwashikie wengine akili zao wala usishikiwe akili na wengine.

Tanzania ni Nchi kubwa yenye mikoa zaidi ya 25. Anaekaa Arusha leo anafurahia maisha kuliko ukamuhamisha akakae Songea. Vivyo hivyo aliezoea kukaa Songea anafurahia maisha kuliko ukamuhamisha akakae Arusha. Huwezi kusema mmoja yuko sawa kuliko mwengine. Mtu akikuambia Uislam/Ukristo ndio dini ya kweli kuliko ingine mjibu tu poa.
 
so yesu alihubiri ukristo?
[emoji848][emoji848]
 
dah...
mungu mkuu, bwana, mungu baba..
 
Hizi akili hizi,miaka 2000 iliyopita hakukuwa na tekinolojia ya kutengeneza suruali!angevaa ipi?
Leo hii wewe unatumia smartphone,kipindi hicho hakukuwa na smartphone,kwahiyo wewe sio muumin kama wao wa kipindi hicho!
Kuvaa kanzu,kutawaza,kusujudu,kuimba kwaya hayo yote,ni mambo ya kimwili zaidi,hayaonyeshi status ya roho yako,ambayo Mungu anaitaka,
 
Yesu au Issa bin mariamu ni mtume wa mwenyezi Mungu kama mitume wengine,ingawa alisema wengine watasema tulihubiri kwa jina lako,lakini yeye atawakana.Swali langu linakuja je kina nani hao wanaohubiri kwa jina lake?
Sasa unauliza nini wakati unafahamu unachokiuliza acha chokochoko kwa watu wenye Yesu wao wewe endelea kuamini unavyoamini.
 
Pamoja na kujiunga jf juzi ila maswali kama haya yanaulizwa huko facebook, ni ya kitoto sana.

Then kama walivaa kanzu na akasujudu what gonna get fixed your heart.

Kwa nini ndugu yangu?nilichouliza kina ubaya
 
Hizo nukuu lazima uwekewee ili usikwepe. Nimeshakufa mfano. Je mbingu zina mdomo au kijiti mungu wenu kwa sababu aliongea na Musa? Unakwepa nini hapo? Majibu mengine inalazimu tuwekee vyanzo kwenye vitabu vyenu humo humo ili muelewe vizuri.


Wala hana anaye fanana naye hata mmoja(112:4)

Hao wenyewe mnaodai wayahudi mnaotumia pamoja agano la kale hakuna mambo hayo ya utatu ya Mungu kugeuka mtu. We vumilia ndiyo haki ilivyo japokuwa ukweli unauma. Sio rahisi kupinga kitu ambacho umeaminishwa kuanzia udogoni hadi ukubwani. Vumilia ndiyo haki ilivyo.
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • If God can do everything, can He become a physical being_.mp4
    10.2 MB
Hizo nukuu lazima uwekewee ili usikwepe. Nimeshakufa mfano. Je mbingu zina mdomo au kijiti mungu wenu kwa sababu aliongea na Musa? Unakwepa nini hapo? Majibu mengine inalazimu tuwekee vyanzo kwenye vitabu vyenu humo humo ili muelewe vizuri.
In cae una kichwa kigumu kuelewa, nitajaribu mara ya mwisho. Umesema haukubali Yesu ni Mungu kwa sababu Mungu hawezi kuwa na mwili. Nikasema sawa, twende na logic yako. Allah anasema ana mwili. Ana mikono, ana jicho ana mguu. Na haya hakuongea kama figure of speech wala hakuandika kama mfano kuelezea concept ili wanadamu tuelewe. Aliandika akionesha jinsi alivyo.

Sasa kwa kuwa kwa logic yako Mungu hawezi kuwa na mwili under any circumstance, unamkana Allah? Hili ndilo swali la msingi. LIJIBU!

Kuleta Biblia kama smoke screen haisaidii. Hata kabla ya Yesu, Mungu wa Biblia amejitokeza mara kadhaa katika umbo la mwanadamu. Na pia kuna sehemu nyingi ameongea kwa mifano, na figure of speech. Kwa hiyo kwa Wakristo hilo sio tatizo, ndio maana nikakwambia usipoteze muda kunukuu kitu ambacho kwetu sisi sio tatizo.

Kwa mara nyingine nikukumbuashe tena, kuwa swali ni Allah ana mwili na umesema under any circumstance Mungu hawezi kuwa na mwili. So logical conclusion ni kuwa unamkana Allah kuwa sio mungu wako? Na kama Allah ana mwili na huoni kama ni tatizo, huoni ni unafiki na double standard unapoukataa Uungu wa Yesu kwa sababu hiyo?

Hili ndio swali unalolikimbia. Naomba niulize tena, ili hata kama ni slow catcher ulielewe. Allah ana mwili kwa maana ana jicho, ana mguu na ana mikono kwa uchache. Quran na Hadith zimesema wazi. Wanazuoni wa Kiislam wamesema wazi na nimekuwekea video hapo ujionee!
SWALI: UTAMKANA ALLAH KUWA SIO MUNGU WAKO KWA SABABU ANA MWILI?

Nategemea utajibu badala ya kuruka kama walivyofanya waliokutangulia!
 
Kifupi kabisa ni kwamba, Uislamu haujakanilika!
Ni imani pekee Duniani ambayo inategemea imani nyingine ili ikamilike.
Bora hata wabaoabudu Ng'ombe hawahitaji dini nyingine kujikamilisha.

Uislamu haupo bila kujihalalisha kwa Ukristo
Una maana gani mkuu kwamba uislamu haukamiliki hadi hujihalalishe na utatu au kwamba Yesu ni Mungu au vp mkuu hebu fafanua? Au kwamba Yesu ni mali ya wakristo na hakuna mwengine anaruhusiwa kumuelezea Yesu tofauti na wanavyomueleza na kuamini wakristo?
 
alivaa kanzu yesu,,,Maria alifunika kichwa chake...

What is your point?
 
Mkuu unaamini ngozi ya rangi inamfanya mtu kuwa bora?
 
Nina maana kwamba, wakristo hawauhitaji uislam wala chochote kilichoko katika Quran ili wakamilike. Tofauti na waislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…