Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

km ni kweli waislamu wote msiwe na wasiwasi mbingu ina wasubili!!
Unajua faida ya Waisilamu wanasoma vitu vyote kwa pamoja tena kwa ufasaha zaidi, mfano ukisoma habari ya kuzaliwa kwa Yesu Biblia inamtaja Mama wa Yesu na Baba yake mlishi tu Yosefu,lakini Quruani inaanza na kumtaja Babu yake na Bibi yake,sasa hapo nani atakuwa na uelewa zaidi
 
Linapokuja swala la Dini waislamu sjui wanasahaugu ubongo wapi sijui akili Huwa zinaenda matakoni maana hizi ni hoja gani sasa
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Alivaa kanzu na viatu(aina fulani ya sendo) vipi broo kwani ulikuwa unasemaje?
 
Linapokuja swala la Dini waislamu sjui wanasahaugu ubongo wapi sijui akili Huwa zinaenda matakoni maana hizi ni hoja gani sasa
Kama majibu yapo kwanini msimwambie. Ni siri?
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Yesu hakuoa na Bikira Mariamu alioewa[emoji2][emoji3]

Vv
 
Kiini Cha mgogo wa dayosisi ya konde nin acha kuleta mambo ya kukah bench hapa
 
Sasa nani alianzisha makanisa na huu utaratibu wa kusali?
Ok Haya yafuatayo ni Maneno ya Yesu Mwenyewe👇

Mt 16:18​

Mt 16:18 SUV​

Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
 
Unajua nachokushangaa mkuu umepania sana halafu mie hata sipo huko kwenye hiyo ligi, mie nimekuuliza swali vizuri tu. Ok ushajibu kwamba ukitangulia kusema jambo ndio inahesabika kuwa umesema kweli kwa sababu tu umetangulia kusema.

Mie nimemaliza.
Hii ni excuse ya kuondokea Unapokuja katika mjadala utajibiwa sio kwa manufaa yako tu na yeyote atakayepita hapa.
Swala la pili ni hili wewe ulileta Mtazamo wako kwamba yupo aliyekuja na hicho kinachoitwa kitabu kisicho na shaka na kwamba kina ukweli kuliko nyaraka za kihistoria zenye umri wa zaid ya miaka 2000.
Na hili ndilo nalotaka uje kuthibitisha ...Very simple mkuu
 
Ndani ya Quruani kuna Habari zote zilizopo ndani ya Biblia tena kiufasaa, sasa sijui uongo gani wewe unaousema?
Umeelewa Swali ama umejikurupukia tu.
Embu shughulisha Akili Biblia na Hiyo Qur'an imepishana muda gani Kihistoria.
Najua una ubongo Mgumu
Niambie quran imeandikwa Lini...( Jibu liambatane na ushahidi wa Kihistoria )
Kuhusu habari za biblia nitakuonea tu ikiwa nitaamua kukuuliza.
 
“Upumbavu wa Mungu” ni kwa nyie mnaojiona mna akili zaidi kushinda yale aliyoamrisha Mungu na huo huo mnaouona ni “upumbavu” eg Utatu Mtakatifu,Yesu kusulubiwa kufa na kufufuka kwenu mnaona ni jambo la kipumbavu ila Mungu kwa hekima yake akaona libaki kama lilivyo ili atakayekuwa tayari kuamini kinachosemekana ni upumbavu apate mema atakayeona huo ni upumbavu ampe haki yake siku ikifika.

Biblia haisomwi kama gazette ni kitabu kitakatifu hakisomwi ili mtu akariri kinasomwa ili mtu kuelewa.
Hivi kumbe ukimjibu...Nilifikiri angekwenda kuweka kama mada mpya kwingineko ili kupunguza mvurugano hapa ndani....

Tatizo mada inaanza na swali moja huku mbele wanaanza changanya..huu mjadala ungekuwa ushafika tamati kama wasingekuwa wanatoka nje ya mada.
 
Isa bin Mariam na Yesu hawawezi kuwa mtu mmoja, maelezo yao ni tofauti sana hivyo watakuwa ni watu wawili tofauti kabisa.
Unajua faida ya Waisilamu wanasoma vitu vyote kwa pamoja tena kwa ufasaha zaidi, mfano ukisoma habari ya kuzaliwa kwa Yesu Biblia inamtaja Mama wa Yesu na Baba yake mlishi tu Yosefu,lakini Quruani inaanza na kumtaja Babu yake na Bibi yake,sasa hapo nani atakuwa na uelewa zaidi
 
Hii ni excuse ya kuondokea Unapokuja katika mjadala utajibiwa sio kwa manufaa yako tu na yeyote atakayepita hapa. Swala la pili ni hili wewe ulileta Mtazamo wako kwamba yupo aliyekuja na hicho kinachoitwa kitabu kisicho na shaka na kwamba kina ukweli kuliko nyaraka za kihistoria zenye umri wa zaid ya miaka 2000.
Na hili ndilo nalotaka uje kuthibitisha ...Very simple mkuu
Sikuja na mtazamo wowote bali nilikuja na swali tu la kuuliza kwamba kutangulia kusema jambo ndio hufanya kuhesabika ulichokisema kuwa ndio sahihi?

Umeshajibu kuwa ni ndio, basi mimi sina cha ziada labda tu swali lengine ambalo nakumbuka kuuliza ni una ushahidi gani wa kuthibitisha kwamba kweli Yesu aliwahi kuwepo kwa mtu ambaye anasema hakujapata kuwepo Yesu kwenye uhalisia nje ya story zilizobuniwa kwenye biblia?

Kwahiyo mkuu mimi sikuwa na mtazamo wowote zaidi ya kuuliza maswali tu basi, sema tu wewe ulikuwa umepania kuanzisha ligi.
 
Unajua faida ya Waisilamu wanasoma vitu vyote kwa pamoja tena kwa ufasaha zaidi, mfano ukisoma habari ya kuzaliwa kwa Yesu Biblia inamtaja Mama wa Yesu na Baba yake mlishi tu Yosefu,lakini Quruani inaanza na kumtaja Babu yake na Bibi yake,sasa hapo nani atakuwa na uelewa zaidi
Nafikiri ni wakati sahihi wa mimi kukuita Mjinga

Mathayo 1:1-23​

Mathayo 1:1-23 BHN​

Yesu Kristo alikuwa wa ukoo wa Daudi, wa ukoo wa Abrahamu. Hii ndiyo orodha ya ukoo wake: Abrahamu alimzaa Isaka, Isaka alimzaa Yakobo, Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake, Yuda alimzaa Peresi na Zera (mama yao alikuwa Tamari), Peresi alimzaa Hesroni, Hesroni alimzaa Rami, Rami alimzaa Aminadabu, Aminadabu alimzaa Nashoni, Nashoni alimzaa Salmoni, Salmoni alimzaa Boazi (mama yake Boazi alikuwa Rahabu) Boazi na Ruthu walikuwa wazazi wa Obedi, Obedi alimzaa Yese, naye Yese alimzaa Mfalme Daudi.

Daudi alimzaa Solomoni (mama yake Solomoni alikuwa Bath-Sheba mke wa Uria). Solomoni alimzaa Rehoboamu, Rehoboamu alimzaa Abiya, Abiya alimzaa Asa, Asa alimzaa Yehoshafati, Yehoshafati alimzaa Yoramu, Yoramu alimzaa Uzia, Uzia alimzaa Yothamu, Yothamu alimzaa Ahazi, Ahazi alimzaa Hezekia, Hezekia alimzaa Manase, Manase alimzaa Amoni, Amoni alimzaa Yosia, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.

Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni. Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishoni Babuloni, Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli alimzaa Zerubabeli, Zerubabeli alimzaa Abiudi, Abiudi alimzaa Eliakimu, Eliakimu alimzaa Azori, Azori alimzaa Zadoki, Zadoki alimzaa Akimu, Akimu alimzaa Eliudi, Eliudi alimzaa Eleazari, Eleazari alimzaa Mathani, Mathani alimzaa Yakobo, Yakobo alimzaa Yosefu, mumewe Maria mama yake Yesu aitwaye Kristo.

Basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo. Basi, hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa: Maria, mama yake, alikuwa ameposwa na Yosefu.

Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke, alionekana kuwa mjamzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Yosefu, mumewe, kwa vile alikuwa mwadilifu, hakutaka kumwaibisha hadharani; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri. Alipokuwa bado anawaza jambo hilo, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akamwambia, “Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, maana amekuwa mjamzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.

Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu, kwa kuwa yeye ndiye atakayewaokoa watu wake katika dhambi zao.” Basi, haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii: “Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, nao watampa jina Emanueli” (maana yake, “Mungu yuko nasi”).
 
Umeelewa Swali ama umejikurupukia tu.
Embu shughulisha Akili Biblia na Hiyo Qur'an imepishana muda gani Kihistoria.
Najua una ubongo Mgumu
Niambie quran imeandikwa Lini...( Jibu liambatane na ushahidi wa Kihistoria )
Kuhusu habari za biblia nitakuonea tu ikiwa nitaamua kukuuliza.
Ila usisahau kuwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu mkuu kutoka kwa manabii tofauti tofauti waliyokuwepo zama tofauti tofauti.

Ni muhimu sana kuzingatia hilo kwenye hii mijadala.
 
Isa bin Mariam na Yesu hawawezi kuwa mtu mmoja, maelezo yao ni tofauti sana hivyo watakuwa ni watu wawili tofauti kabisa.
Hata maelezo ya majini ni tofauti na malaika ila bado majini uhusishwa ama kuitwa malaika wale waovu.
 
Back
Top Bottom