Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

[emoji23][emoji23][emoji23]
Charles kama hakuwa na madukuduku mengine basi hakuwa sawa upstairs, ungejaribu kumdodosa zaidi.
🤣🤣 Nilimuangaliaaa, nikashindwa nianzie wapi kumfafanulia, nikaona nimpuuze, nisimjibu chochote.
Kuna watu inabidi Mungu adili nao yeye mwenyewe🤣🤣 aisee.
Baada ya siku 3 mbele mdhamana ukatiki nikachomoka gwanta ukawa ndiyo mwisho wangu na yeye ila hadi leo uwa ninamkumbuka Charles na mkasa wa Wagidion wafanyabiashara.
 
Aliyafanya yote yapaswayo kufanywa katika tamaduni ya myahudi wa wakati huo. Naye mama yake vivyo hivyo alitenda sawa na taratibu za mwanamke wa Kiyahudi. Asante.
Kwa hiyo kama Yesu ataludi leo kupitia Tanzania tungali wazima atavaa kanzu au suruali?
 
Unauliza kwa sababu huelewi,unapima uelewa wa watu au kuna mambo umekaririshwa unakuja kupima upepo kwa wenye Yesu wao.
Yesu au Issa bin mariamu ni mtume wa mwenyezi Mungu kama mitume wengine,ingawa alisema wengine watasema tulihubiri kwa jina lako,lakini yeye atawakana.Swali langu linakuja je kina nani hao wanaohubiri kwa jina lake?
 
Yohane 19:23-37
Yesu vazi lake ni kanzu ni vazi la kikristo
Yohane 19:23-37 BHN

Askari walipokwisha msulubisha Yesu, walizichukua nguo zake, wakazigawa mafungu manne, fungu moja kwa kila askari. Walichukua pia na kanzu yake; kanzu hiyo ilikuwa imefumwa kwa kipande kimoja tu, bila mshono. Basi, hao askari wakashauriana: “Tusiipasue, ila tuipigie kura itakuwa ya nani.” Jambo hilo lilifanyika ili yatimie Maandiko Matakatifu yasemayo: “Waligawana mavazi yangu, na nguo yangu wakaipigia kura.” Basi
 
Yesu alizikwa na sanda hakuzikwa na jeneza,lakini kinafirauni ndiyo waliokuwa wanazikwa na majeneza,jamani mnakosea wapi?
 
Yesu au Issa bin mariamu ni mtume wa mwenyezi Mungu kama mitume wengine,ingawa alisema wengine watasema tulihubiri kwa jina lako,lakini yeye atawakana.Swali langu linakuja je kina nani hao wanaohubiri kwa jina lake?
Yesu sio Isa!
Yesu sio Isa!
Yesu sio Isa!
Na kama una akili timamu elewa Yesu sio Isa!
Uwe na usiku mwema.
 
Kwa unajua tafsiri ya Uisilamu?na je ukiambiwa mitume wote wa Mwenyezi Mungu walikuwa waisilamu utaamini?
 
Kwa unajua tafsiri ya Uisilamu?na je ukiambiwa mitume wote wa Mwenyezi Mungu walikuwa waisilamu utaamini?
Tafsiri manyotuambia leo au halisi?
Kama ni ile fake mnahitudanganyaga kila wakati, hata Buddha anaweza kuwa Muislam.

Kama ni ile halisi ya kuitaja shahada, na kufuata Maisha ya Muhammad kama mfano wa kuishi, hakuna mtume wa Allah zaidi ya Muhammad!
 
Yesu sio Isa. Unasoma comments lakini?
Aliyewafundisha Yesu ni Isa ni nani? Maana Quran haifundishi hivyo wala hakuna hadith ya Yesu kuwa Isa. Wewe umejifunza wapi?
pole sana,kama aliyekufundisha Quruani ni mkristo mwenzeko,kweli atakuwa amekwambia Yesu na Issa ni tofauti, na mama yake Mariamu ni nani?
 
Yesu sio Isa. Unasoma comments lakini?
Aliyewafundisha Yesu ni Isa ni nani? Maana Quran haifundishi hivyo wala hakuna hadith ya Yesu kuwa Isa. Wewe umejifunza wapi?
pole sana,kama aliyekufundisha Quruani ni mkristo mwenzeko,kweli atakuwa amekwambia Yesu na Issa ni tofauti, na mama yake Mariamu ni nani?
Yesu asingeweza kupiga alama ya msalaba wakati msalaba haukuwa umewahi kutumika kama alama ya ukombozi bali ulikuwa unatumika kuadhibu wenye hatia.Kitendo cha yeye kusuubiwa msalabani ndiyo kilichoufanya msalaba kuwa alama ya ukombozi.
kwa hiyo aliyeanzisha alama ya msalaba na ishara ya msalaba ni nani? na mitume wake Yesu pamoja na mama yake walifanya ishara ya msalaba?
 
Pole sana bwana jibu hoja siyo kutukana
 
Umechanganya sana mambo,Yesu ataludi kama mwanadamu na kwa sura yake aliyeondoka nayo,sasa kama huwa mnamtafsiri kwa sura za watu wengine wa kuchora,hapo ndipo utakapokuwa mtihani
 
Kanzu ni vazi la mashariki sababu ya upepo na joto. Kavae sweta mashariki uive.
Kavae kanzu Urusi au ulaya kama ujaganda
Vp mavazi ya wanawake yenye kufunika mwili mzima huko mashariki hawaogopi joto?
 
Kwa hiyo atakaporudi atarudi na kanzu yake?
 
Mkuu si kuna ile filamu inayoaminika kuwa ni ya yesu na tunawekewagwa inapofika kipindi cha pasaka au x-mass nenda kaitazame kiujumla majibu yote yapo mule mkuu..
 
That white dude so called jesus he never existed...

Tafuta ushahid popote pale dunian kamwe hutoona ushahid wa mabaki wala ya kihistoria kuhusu uwepo wa icho kiumbe mnachokiita yesu.

Kwanza hilo taifa la huyo yesu wenu hapo middle East halijawai kuwepo before 1945 so where your jesus found?[emoji23][emoji23].

Someni histories za kweli achaneni na vijihabar vya kutunga vya uongo wa biblia na Quran, hakuna ukwel huko, ni makanjanja wachache waliamua kuchakachua history ya mtu mweusi wa kale na kuamua kuedit ili kupata matoleo ya nakala za vitabu vya hizo dini za kizushi zinazowatawala leo akili zenu na roho zenu.

Kuna mengi ya kuthibitisha kuwa hao Bible's characters wenu mnaowaabudu na kuwaita watakatifu hawajawai kuwepo na hawatowai kuwepo.

Ni aibu jitu jeusi kupigania na kushadadia dini za mtu mweupe, aibu sana, babu zenu wakifufuka hivi leo, watashangaa sana , yale waliyoyapinga ninyi mmeyakubari kiwepesi japo maisha yao yalipotezwa na hao waliokupeni hizo takataka mnazoabudu..

SHAME ON YOU religions believers

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
View attachment 2166502
 
Watu wanatoka mapovu baada ya kuleta hoja🤣🤣🤣, kimsingi wakristo wapo mbali sana na mafundisho ya biblia,

Dini ambayo ukiwa na hela tu unaanzisha kanisa lako na dhehebu lako unapiga pesa🤣🤣🤣

Halafu wanaweka sanamu la muigizaji kwenye makanisa yao wakiitikadi ni yesu,

Dunia simama nishuke🏃🏃🏃🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…