Naomba majibu wanaume mmeniacha njia panda mmeshindikana kabisa

Naomba majibu wanaume mmeniacha njia panda mmeshindikana kabisa

Jamani za leo?

Mimi kwangu nipo sawa tunashukuru Mungu.

Sasa wanaume mnanishangaza sana walahi tuanze hawa wanaume namba 1 .

1. Wanaume msiojielewa.
Hivi inakuwaje unampa mtu mimba anakuzalia mtoto halafu matunzo unasua sua halafu unaenda kuoa halafu unazaa na mkeo unaenda kuzaa na mchepuko tena. Hii hali ya kiganga au hii hali ni ya kihuni au ni nini shida yako???

2. Unamke uhudumii kwa lolote bahati umkumbuke ila kwa watu njee unahonga unatunza unapenda na mwisho wasiku ukiishiwa unarudi home kila kitu cheupe .
Yaani hadi kero .

Wewe hata siku moja hujui watoto wanaishije wewe upo chakula kipo na kama hakipo kipigo.

3. Wanaume malaya ambaye kashindikana mpaka makanisani .
Anaombewa leo kesho ananza tena umalaya na pombe kila bar yeye hadi asubuhi .
Kila siku niwanawake wapya wapya tu na anamke na watoto nani mwanaume umri umeenda hivi shida huwaga nini..??

Je huyu mwanaume ambaye anaoa kila siku anamletea mke wake wake zake aliwaoa kila baada ya miezi anasema ni ndoa ya mitala inakubalika zake kwenye kitanda ambacho mke analal anamtoa halafu anamwambia umechuja alale mpya wanakunywa mapombe weeeh nakuja kuamrisha chakula kwa mke mkubwa hivi huwa nini shida??

Wengine vipigo unampiga mwanamke hadi anatoa ujauzito kosa hamna kaulizwa umetoka wapi?
Hujaniambia utachelewa wengine wanampiga mke hadi kumuua.

Kama humtakagi mwanamke hata kama mumezalishana vyakutosha mwache kwa amani kuliko visa kama hivi.

Maisha ni magumu tusipotezeane muda .
Suala la kuzaa mwanamke ndo mwenye uamuzi kabla ya kubeba mimba akikisha mmekubaliana na mwenzako, akikisha ni mwenza wako rasmi(mchumba au mume), akikisha ana kipato cha kuweza kumudu kutunza mtoto na mama mtoto na baada ya kuzaa akikisha unaeheshimu nafasi ya mzazi mwenzako kama baba mtoto.. ukijibebesha mimba ya mtu ambae sio mpenzi wako rasmi, kipato ni kidogo au hana kabisa, kwa mawazo ya kwamba kwa kubeba mimba ndo hawezi kukuacha au baada ya kujifungua basi ukataka kutumia kigezo cha kuzaa pamoja kama nyenzo ya kumpelekesha (kumpanda kichwani) kotakachofata usianze kulia lia kusumbua watu
 
Jamani za leo?

Mimi kwangu nipo sawa tunashukuru Mungu.

Sasa wanaume mnanishangaza sana walahi tuanze hawa wanaume namba 1 .

1. Wanaume msiojielewa.
Hivi inakuwaje unampa mtu mimba anakuzalia mtoto halafu matunzo unasua sua halafu unaenda kuoa halafu unazaa na mkeo unaenda kuzaa na mchepuko tena. Hii hali ya kiganga au hii hali ni ya kihuni au ni nini shida yako???

2. Unamke uhudumii kwa lolote bahati umkumbuke ila kwa watu njee unahonga unatunza unapenda na mwisho wasiku ukiishiwa unarudi home kila kitu cheupe .
Yaani hadi kero .

Wewe hata siku moja hujui watoto wanaishije wewe upo chakula kipo na kama hakipo kipigo.

3. Wanaume malaya ambaye kashindikana mpaka makanisani .
Anaombewa leo kesho ananza tena umalaya na pombe kila bar yeye hadi asubuhi .
Kila siku niwanawake wapya wapya tu na anamke na watoto nani mwanaume umri umeenda hivi shida huwaga nini..??

Je huyu mwanaume ambaye anaoa kila siku anamletea mke wake wake zake aliwaoa kila baada ya miezi anasema ni ndoa ya mitala inakubalika zake kwenye kitanda ambacho mke analal anamtoa halafu anamwambia umechuja alale mpya wanakunywa mapombe weeeh nakuja kuamrisha chakula kwa mke mkubwa hivi huwa nini shida??

Wengine vipigo unampiga mwanamke hadi anatoa ujauzito kosa hamna kaulizwa umetoka wapi?
Hujaniambia utachelewa wengine wanampiga mke hadi kumuua.

Kama humtakagi mwanamke hata kama mumezalishana vyakutosha mwache kwa amani kuliko visa kama hivi.

Maisha ni magumu tusipotezeane muda .
Ngoja tukushauri Ili ukamshauri ambaye hajapata matatizo hayo mpaka sasa.


Chaguo la mwenza wako ni kitu muhimu sana katika mustakbali wako, ustawi wa familia yako na Maisha ya baadae ya watoto wako.

Wanaume wa hovyo huonekana mwanzo tu wa mahusiano na viashiria vyote huonekana na wanawake hupuuza kwa kufikiria watu hubadilika.

Unaingia kwenye mahusiano mtu habadiliki ana anakuwa worse than before.

Na hili sio kwa wanawake tu na wanaume wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya shape ya mwanamke lakini ndani kwenye Maisha ni balaa.

Usioe au kuolewa kwa wrong reasons. Sababu za muda mfupi zisikufanye uingie katika mahusiano hasa ya ndoa.

Kwa hiyo wa kwanza kulaumiwa ni wewe mwenyewe uliyechagua bomu na kusubiri likulipukie.

Kama umechagua mwenyewe na unampenda na hayo ndio MAPUNGUFU yake, find a way to deal with them au kimbia tu kama huwezi kuvumilia.

Sehemu ya matatizo yako yanatokana na bad choices ulizofanya katika Maisha yako.
 
Aina zote hizo za wanaume ushakua nao na washakuoa na leo haupo na hata mmoja wao

sasa hapo shida ipo kwa wanaume tuu au hata na side B? Sema una ma experience bwana

lakini na wewe unajua wanaume tabia zetu huonekana mapemaa,hivi tangia mwanzo wakati unaitega hadi mimba inashika ulikua hujamkagua vizuri baba la baba?

Hamnaga Mwanaume/Mwanamke Perfect Ukisikia NDOA ujue siri namba 1 ni UVUMILIVU yani una jinaume lako levi ila unalivumilia tu,jinaume lako malaya unalivumilia tu,NK

Ndoa haitaki shobo yani ukishachanua miguuu ikanasa mkaekana ndani nisiskie fye fye fye....
 
Aina zote hizo za wanaume ushakua nao na washakuoa na leo haupo na hata mmoja wao

sasa hapo shida ipo kwa wanaume tuu au hata na side B? Sema una ma experience bwana

lakini na wewe unajua wanaume tabia zetu huonekana mapemaa,hivi tangia mwanzo wakati unaitega hadi mimba inashika ulikua hujamkagua vizuri baba la baba?

Hamnaga Mwanaume/Mwanamke Perfect Ukisikia NDOA ujue siri namba 1 ni UVUMILIVU yani una jinaume lako levi ila unalivumilia tu,jinaume lako malaya unalivumilia tu,NK

Ndoa haitaki shobo yani ukishachanua miguuu ikanasa mkaekana ndani nisiskie fye fye fye....

Aisee sijajua matahira yapo mengi nchi hii nani kakuambia mimi nibebee mimba matahira kama nyie .
Sio rahisi mwanamke kama mimi niache uhuru wangu nikalee matahira ya watu wengine isitoshe sijaolewa na matahira hayoo.

Jua hili liweke hebu akilini sio kila mwanamke ni mrahisi katika kuwa single mother mi kwangu siwezi na kujiharibu mwili wangu nisipendeze kisa nini eti vishahawa vya matahira hata uwe billionea uwe mzungu uwe malaika hujafuata process yakunipa mimba wewe mtu potea siwezi jizeesha na kushika vimavi vya mtu .
Mimi oa uzalishe watu sio utoe kimboo chako uwe uchafu wako ukue ndani yangu impossible eti niolewe niachike achike please usiniweke mikosi watu huchelewa kuoelewa ili kujipanga.

Halafu usicopy kila uzi wangu ukajua na hamu na matahira ovyoo na mambo mengi yakuwaza kuyafanya aio ujing ujinga tu.
 
Jamani za leo?

Mimi kwangu nipo sawa tunashukuru Mungu.

Sasa wanaume mnanishangaza sana walahi tuanze hawa wanaume namba 1 .

1. Wanaume msiojielewa.
Hivi inakuwaje unampa mtu mimba anakuzalia mtoto halafu matunzo unasua sua halafu unaenda kuoa halafu unazaa na mkeo unaenda kuzaa na mchepuko tena. Hii hali ya kiganga au hii hali ni ya kihuni au ni nini shida yako???

2. Unamke uhudumii kwa lolote bahati umkumbuke ila kwa watu njee unahonga unatunza unapenda na mwisho wasiku ukiishiwa unarudi home kila kitu cheupe .
Yaani hadi kero .

Wewe hata siku moja hujui watoto wanaishije wewe upo chakula kipo na kama hakipo kipigo.

3. Wanaume malaya ambaye kashindikana mpaka makanisani .
Anaombewa leo kesho ananza tena umalaya na pombe kila bar yeye hadi asubuhi .
Kila siku niwanawake wapya wapya tu na anamke na watoto nani mwanaume umri umeenda hivi shida huwaga nini..??

Je huyu mwanaume ambaye anaoa kila siku anamletea mke wake wake zake aliwaoa kila baada ya miezi anasema ni ndoa ya mitala inakubalika zake kwenye kitanda ambacho mke analal anamtoa halafu anamwambia umechuja alale mpya wanakunywa mapombe weeeh nakuja kuamrisha chakula kwa mke mkubwa hivi huwa nini shida??

Wengine vipigo unampiga mwanamke hadi anatoa ujauzito kosa hamna kaulizwa umetoka wapi?
Hujaniambia utachelewa wengine wanampiga mke hadi kumuua.

Kama humtakagi mwanamke hata kama mumezalishana vyakutosha mwache kwa amani kuliko visa kama hivi.

Maisha ni magumu tusipotezeane muda .
Tatizo unaandika kwa hasira maneno mengine hata hayaeleweki...embu tulia uandike ufikishe ujumbe bidada
 
Hao uliosema ni Wanaume Wasiojielewa,,, unawakosea sana....kuna factors nyingi sana umeziacha kuzizungumzia.,,kabla hujahitimisha na kusema HAWAJIELEWI

Wewe binti hujaolewa unategaje uchi udake mimba..??? na pia Mwanamke unajijua ni mchepuko,,unapata wapi ujasiri wa kubeba ujauzito.... Mwanamke ndio mwenye uamuzi ni wakati gani abebe mimba na wakati gani asibebe.....
Tena kama kabinti kakishajua ni mtu wa Serikalini dah... Shidaa asee.
 
Unakuja kuniletea nuksi hapa na leo nina raha zangu wewe[emoji1866][emoji1866][emoji1866] nitakupiga hadi ujipange upya
[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91]sipigani na maua wew endelea na raha zako staki kesi...
 
Mbona ulituahidi hii ndio post yako ya mwisho Unique Flower lkn naona bado unaendelea kupost kuwa na msimamo madam

 
Back
Top Bottom