Naomba majibu wanaume mmeniacha njia panda mmeshindikana kabisa

Mm naona mengine ni maamuz ya mwanamke na kama ni upuuz bas wetu wenyew kama hutak kuzaa jizuie na usizae kutegemea Matunzo uwe umejiandaa kisaikolojia kuwa mama
Hayo mengine sijui
Kwahapa, shikamoo dada Sophy!
 
Sawa dada unique flower nimekuelewa...Hongera kwa kufanyika mwana.
 
Punguza makasiriko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo nikuoe mimi dada. Nakuahidi hutapta hizo shida kabisa... Nitakupenda, nitakuheshimu,nitakujali na nitakutunza. Pole kwa hayo yaliyokukuta kama ni wewe. Kama ni rafikiyo pia tuwasiliane private. Sitotaka sex naye mpaka tumekubaliana kuwa pamoja.
 
Utaona kati yangu na wewe nani Mungu atamuumbua
Hako ka-mungu kako kazungu! kanako furahia kuumbua watu hakoo!! nikikashika heee!!! kwanza haka nihusu kabisaaa!! tena kamwambie wazi kunakijana sugu anitwa pichu kodada

Anakusubiri njia panda akupige makofi !! ...atakuja kukusimulia vizuri.......
 
Kweli shetani yupo kazini
 
Uzi umeegemea upande mmoja unaangalia matokeo kabla ya sababu, Uzi wa hovyo
 

😂😂😂

Unazungumzia special number sio
 
Ukiacha jeuri utahudumiwa ila kwa sasa acha wakusaidie akina michepuko.
 
Wewe una uhakika gani yule mtoto wa hamisa ni wa diamond? Tuanzie hapo kwanza
 
Wewe mpuuzi usinifananishe nahao malaya zako waliokosa akili kama wewe
Dada kuwa mpole hapa tupo kwenye mjadala na siku zote kwenye mjadala kuna mawazo tofauti tofauti hakuna haja ya kutoa kauli chafu maana lengo ni kujifunza
 
Mkuu umemaliza kila kitu kwa mujibu wa diamond mwenyewe walikubaliana mahusiano yao yawe ya siri yeye akaenda kutangaza mtandaoni shida nyingine ikawa hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…