Naomba mbinu ya kumuacha mwanamke aliyekuganda

Mwambie wewe ni shoga, afu mtumie na hii........


Your browser is not able to display this video.
 
Mungu anakupa dhahabu wewd unataka fedha!
Anakupa shamba una kwenda kununua mahindi na mchele..
Ama kweli kwenye wajenzi hakuna wajenzi...
Kilaza mkubwa wahedi..
 
Haihitaji siasa, mwambie humhitaji, kwan shida nini? Just say to her that it is over and to all of the future
 
Nilimwambia tuko mbali mbali sana akasema ye yuko tayari kuja muda wowote nikitaka aje ikabidi nikate hiyo stori nikaanza kumuuliza "vipi mvua huko zinanyesha?"
Daah..nmepata pacha angu...ila haya yote yamefanya sipati wa maana ...kiuhalisia kama mwanamke ana dalili za kukuelewa hata kwa asilimia 50 rukq nae tu na uoe kabisa..the word can't mess up with a broke men
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…