kindikinyer leborosier
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 456
- 833
Exactly.Pretty Hot And Tempting
Watu hatuna muda huo siku hizi wa kuzingushana wakati hizi sukari zinapatikana kwa wingi.Ukitaka mwanaume akupende/avutiwe na wewe, mpotezee (ignore him)..
Utammaliza halafu utakuja niita mi kungwi[emoji38]
Kweli kabisa..Kwani siku hizi wanaume wanatongoza?? Akikuomba namba ndio tyr ushatongozwa hapo jamaa linakulia timing sema ww una haraka tyuuu.!!!
Kuna heka moja hapa goba kulangwa ya kulimaSasa mjini tutalima wapi?
Content za hivi zinaniboa sijui akili yangu imekuwa kwenda juu au nakaribia utajiri. Samahani mtoa threadHello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Iliwahi kunitokea hii 2019,kuna dada tulikuwa tukiwasilina naye mambo mengine kabisa, kumbe yeye alisha legea nyang'anyang'a na kuoza ju yangu .Hello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Mwanamme hatongozwi, anaambiwa tu nataka nikutoe out na yeye anaingia kingi ndio hivyo tena.Hello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Ndo manakeHeee
Kicheche hataki kuonekana kicheche japo Bado ni kicheche😄😄😄Hiyo sentence na mm ndio imenifanya nishindwe kutoa maoni, aiseee dunia inakwenda kasi sana.
Ntakubondaaa 🤣🤣🤣🤣Kwendraaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Sorry ila nilimaanisha huyo dada asifanye hivyo sikukwambia wewe.Me ni mwanaume Joline.
Kuwa na adabu basi unaposema nisimtongoze mwanaume kwa kumwambia.
Kwani kila mtu lazima alime?ushuzi mtupu
watu wanapiga jembe uko mashambani nyie ka mvua kidogo tuh ni ngono kichwani ndio inawazunguka
Mambo ya kikoloni haya ,yaani mtu anaelezea hisia zake wewe unasema shetani?[emoji445] shetani anamjarbu rafiki yako yaani ni ajabu mwanamke kutaka tu kulala naye(mwanaume) with no blah blah, mwambie akemeee hilo jaribu
Hii mbinu si kwa wanaume hit and run, mbinu hii hufanya kazi kwa wanaume fulani tuwaite levels😛 ambao kila mwanamke anatamani kuwadate, kwahiyo mbinu hii inategemea dizaini yako na level/class ya madem unaopendelea.Watu hatuna muda huo siku hizi wa kuzingushana wakati hizi sukari zinapatikana kwa wingi.
Ukihit ndo mara nyingi unajua ubaki ama urun.Hii mbinu si kwa wanaume hit and run, mbinu hii hufanya kazi kwa wanaume fulani tuwaite levels[emoji14] ambao kila mwanamke anatamani kuwadate, kwahiyo mbinu hii inategemea dizaini yako na level/class ya madem unaopendelea.
Hidden kichecheHello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Yeye aseme can we watch a movie together at ur place....mengine yataendelea bila wasiwasimzabzab njoo mpe maufundi