Naomba msaada: Uume wangu hulegea wakati wa tendo

Ukizingatia hii baaaaaas, umemaliza.
 
Hujui ulisemalo!
 
Hutaki tu kuelewa nilisemalo kwa sababu unazozijua wewe.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Umeeleweka mkuu ila ulichokisema hakina ukweli wowote ndyo mana watu wanakupinga.

Unaambiwa dushe inalegea mpaka inashindwa kuingia katika k kutokana na ule unato wa k yenyewe we unasema k pana?!

Ndyo mana watu wanakupinga kwa sababu bado akili yako changa katika hili.
 

Kama unavuta sigara acha mara moja na pendelea kula matango (na maganda yake).
 

Kwa mchango huu na mimi naaza mazoezi Duh
 
Kama kaacha nyeto basi hili ndio jibu la tatizo lake.
 
Kama kaacha nyeto basi hili ndio jibu la tatizo lake.
Mku niliachaga hyo kitu muda kidogo ila tu sikuitia akilini kwamba imeniletea madhara.

Nikawa free nakula vitamu vitamu sina mazoezi wala nini ila nyeto nilishaachaga
 


POLE SANA.
NAKUSHAURI UKAWAONE MADAKTARI WANAWEZA KUKUSAIDIA TIBA. PIA YAWEZEKANA UMEATHIRIKA KUSAIKOLOJIA HIVYO TAFUTA WASHAURI ILI WAKUSHAURI
 
Moja ya Uzi bora na ambao uko serious ni huu hapa, yani umebeba matatizo ya watu zaidi ya milioni na ambaye ameupitia huu uzi akausoma kwa makini pasipo kuwa na shughuli nyingine inayo mshughulisha atakuwa kaokota kitu hapa..
 
Mku niliachaga hyo kitu muda kidogo ila tu sikuitia akilini kwamba imeniletea madhara.

Nikawa free nakula vitamu vitamu sina mazoezi wala nini ila nyeto nilishaachaga
Then jiamini, ondoa woga,tena ukiweza jipe likizo ya kuto sex kwa mwezi au zaidi (ukiweza) piga zoezi, zingatia chakula bora!!
 
Wacha nitafanya hvyo wife akisafiri nitapata wasaa mzuri sana.

Nimeanza na 4km asubuhi na jioni kisha itakuwa kila siku lazima nipate chai ya tangawizi na karanga mbichi.
Then jiamini, ondoa woga,tena ukiweza jipe likizo ya kuto sex kwa mwezi au zaidi (ukiweza) piga zoezi, zingatia chakula bora!!
 
Nimeanza jana mazoezi kukimbia km 4 mpaka jasho linanitoka lile jasho hasa.
Nina uchungu sana nikikimbia navuta picha udhalili ninaokutana nao kitandani napata molari zaidi ya kufanya mazoezi.

Bado nakomaa nitaleta mrejesho kwa wadau hapa hapa.
 
POLE SANA.
NAKUSHAURI UKAWAONE MADAKTARI WANAWEZA KUKUSAIDIA TIBA. PIA YAWEZEKANA UMEATHIRIKA KUSAIKOLOJIA HIVYO TAFUTA WASHAURI ILI WAKUSHAURI
Ni spitali huko huko mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…