Certificate ya hii course ninayo ,nimeatach kila kitu tatizo linakuja section ya kuapply inagomaEm tuandikie hapa academic qualifications zinazohitajika kwenye hy kazi na pia tuambie kwenye cheti chako imeandikwa vipi
Itapendeza kama ukiweka screenshot na hizo academic qualifications za kwenye kazi ili usaidiwe kirahisi
Hiyo certificate uliyonayo imeandikwajeCertificate ya hii course ninayo ,nimeatach kila kitu tatizo linakuja section ya kuapply inagomaView attachment 1901417
Ndo hvy, ajira portal academic qualifications zake inatakiwa ifanane kila kitu na jinsi cheti kilivyo. Mfano mtu akiwa na bachelor ya finance hawezi kuomba kazi ya bachelor ya banking and finance sasa inawezekana tatizo la mtoa mada liko hapoHilo tatizo linatokana kutoweka vyeti husika.....mdogoangu ndo kaniambia apa
Mkuu nimesoma instructions nikaelewa..lakin nashindwa kutuma application ndio maana nipo hapa kuomba msaada
Umesema sahihi Ezekiel Mbaga mfumo wa ajira portal unataka taarifa zi match exactly kama mfano ulio utoaNdo hvy, ajira portal academic qualifications zake inatakiwa ifanane kila kitu na jinsi cheti kilivyo. Mfano mtu akiwa na bachelor ya finance hawezi kuomba kazi ya bachelor ya banking and finance sasa inawezekana tatizo la mtoa mada liko hapo
Nursing assistantHiyo certificate uliyonayo imeandikwaje
Daah ww jamaa bhana, yn bado mtu atashindwa kujua tatizo lako mana bado unaandika kwa ufupi, ajira portal ina ujinga mwingi sana wakisema wanataka 'certificate in mass communication' bc ni lazima cheti chako kiwe kimeandikwa hvy hvy kama ikiwa ni 'certificate in mass communication management πππ itakataa. Sasa ww naona bado huwezi kusema cheti chako kimeandikwaje. Ila muda kama bado upo unaweza kuwachek kwenye namba zaoNursing assistant
Pia wakitaka mfano 'degree in finance' halafu hapo hapo wakasema pia wenye 'degree in banking' wanaweza kuomba, ww ukiwa na hiyo degree in banking huwezi kuomba πππUmesema sahihi Ezekiel Mbaga mfumo wa ajira portal unataka taarifa zi match exactly kama mfano ulio utoa
Yaaan wakisema BA Edu hata kama umesoma BEdu ..yaan BEdu huna sifa tayar hapoo kiukweli jamaa inabidi wauangalie upya huu mfumo wao
Bro sijui hujaelewa wapi? Chet changu kjmeandikwa nursing assistant na nimejaza sehemu zote nimefikia 92% shida nikituma inagoma inaandika nicheki accademic program...na kuhusu inshu yako hii ni Mara ya pili naaply nishawahi aply first around ilikubali na niliitwa kwenye interview.Daah ww jamaa bhana, yn bado mtu atashindwa kujua tatizo lako mana bado unaandika kwa ufupi, ajira portal ina ujinga mwingi sana wakisema wanataka 'certificate in mass communication' bc ni lazima cheti chako kiwe kimeandikwa hvy hvy kama ikiwa ni 'certificate in mass communication management [emoji23][emoji23][emoji23] itakataa. Sasa ww naona bado huwezi kusema cheti chako kimeandikwaje. Ila muda kama bado upo unaweza kuwachek kwenye namba zao
Em jaribu kuwapigia boss wanguBro sijui hujaelewa wapi? Chet changu kjmeandikwa nursing assistant na nimejaza sehemu zote nimefikia 92% shida nikituma inagoma inaandika nicheki accademic program...na kuhusu inshu yako hii ni Mara ya pili naaply nishawahi aply first around ilikubali na niliitwa kwenye interview.
[emoji120]Em jaribu kuwapigia boss wangu
Kama ni taasisi/chuo cha serikali HAWAPOKEAGI SIMU NG'O!Wapigie wao watakuelekeza humu kila mtu anajua
Kabisa kaka yaan huu mfumo umewafanya wafanya kazi wa utumishi wasifikirie nje ya box kabisa yaanPia wakitaka mfano 'degree in finance' halafu hapo hapo wakasema pia wenye 'degree in banking' wanaweza kuomba, ww ukiwa na hiyo degree in banking huwezi kuomba πππ
Mm nadhani walioitengeneza hy systems pia akili zao zinatakiwa kutengenezwa.