Naomba picha ya Stendi kuu ya mabasi Moshi nione kama ina tofauti na ile ya Bukoba tujiridhishe na CHADEMA!

Naomba picha ya Stendi kuu ya mabasi Moshi nione kama ina tofauti na ile ya Bukoba tujiridhishe na CHADEMA!

Jo sometimes nalinganisha akili zako na za ndugai
Tuko pamoja na wewe! Huyu mtu pamoja na kuonekana mchangiaji mkubwa JF lakini kumbe akili zake bado ni za level ya chini kiasi hiki?
Kimfananisha na Ndugai unaweza kuwa umempa hadhi, huyu ni sawa na Musukuma Kasheku ambaye anaongea sana Bungeni lakini hakuna la maana zaidi ya yeye kudhani anamwaga points
 
Sina mambo mengi naomba bwashee yoyote mwenye picha ya stendi kuu ya mabasi pale Moshi aitupie hapa.

Manispaa ya Moshi kwa muda mrefu imeongozwa na Chadema nataka kujiridhisha na ubunifu wao.
Hapa Iringa Chadema walijitahidi wakatujengea Stendi ya kisasa pale Igumbilo ila sijajua kule Mbeya kwa Sugu hali ikoje.

Mungu ni mwema wakati wote!
Akili yako kichwa maji kabisa, cdm ndo wanaokusanya kodi?
 
Aisee nimepita mikoa mingi stendi ya moshi iko safi tatizo sio chadema tatizo ni mipango miji hii stendi iko katikati ya mji kitu ambacho hakikupangiliwa kwa utashi ila naskia kuna eneo liko Toyota sijajua itamishwa lini
Rudi tena jijini Dodoma, ndio utaelewa namna stand inapaswa iweje

Nimetembea mikoa mingi, ila ile bus terminal ya Dodoma ni ya kiwango kizuri sana sana

BIG up kwa waliokuwa viongozi wa jiji la Dom Dk Mahenge, Godwin Kunambi na Patrobas Katambi
 
Rudi tena jijini Dodoma, ndio utaelewa namna stand inapaswa iweje

Nimetembea mikoa mingi, ila ile bus terminal ya Dodoma ni ya kiwango kizuri sana sana

BIG up kwa waliokuwa viongozi wa jiji la Dom Dk Mahenge, Godwin Kunambi na Patrobas Katambi
Rudi kwenye comment angu
 
Sina mambo mengi naomba bwashee yoyote mwenye picha ya stendi kuu ya mabasi pale Moshi aitupie hapa.

Manispaa ya Moshi kwa muda mrefu imeongozwa na Chadema nataka kujiridhisha na ubunifu wao.
Hapa Iringa Chadema walijitahidi wakatujengea Stendi ya kisasa pale Igumbilo ila sijajua kule Mbeya kwa Sugu hali ikoje.

Mungu ni mwema wakati wote!
Mbunge anajenga stand au mkurugenzi?
 
Moshi tulikua Na stendi nzuri way back 2006. Wewe unakuja kuuliza leo?
 
Sina mambo mengi naomba bwashee yoyote mwenye picha ya stendi kuu ya mabasi pale Moshi aitupie hapa.

Manispaa ya Moshi kwa muda mrefu imeongozwa na Chadema nataka kujiridhisha na ubunifu wao.
Hapa Iringa Chadema walijitahidi wakatujengea Stendi ya kisasa pale Igumbilo ila sijajua kule Mbeya kwa Sugu hali ikoje.

Mungu ni mwema wakati wote!
Stendi ya moshi ni nzuri sana
 
10 Jun 2020
Serikali mkoani Kilimanjaro imeongeza timu ya wataalam kufanya utafiti wa kina kubaini kiini cha chemchemi chini ya jengo la kituo kipya cha mabasi cha kimataifa Ngangamfumuni mjini Moshi, Tanzania.





Habari za ziada :

July 9th, 2020
Moshi, Kilimanjaro
Tanzania

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Selemani Jafo ametoa ushauri kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Mjini kukaa na wataalam ili wafanye utafiti wa kina wa jinsi ya kukabiliana na maji yaliyopo chini ya ardhi katika eneo lililojengwa kituo cha Mabasi.
Ujenzi Wa Stendi Ya Mabus Moshi Mjini Mkondo Wa Maji

Picha : Ujenzi wa Stendi mpya ya Kimataifa ya mabasi , Moshi Tanzania

Ujenzi Wa Stendi Ya Mabasi Moshi Mjini unakabiliwa na changamoto Mkondo Wa Maji unaoibua chemchem katika ghorofa ya chini ya ardhi katika ujenzi wa stendi hiyo.

Ametoa kauli hiyo leo baada ya kukutana na uongozi wa Mkoa na Wilaya ya Moshi wakati akikagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo.

Mhe. Jafo amesema kuwa kwa sasa maji yanapita katika eneo hilo lakini yakiwa yamepungua, huku wataalamu wakiendelea kutafuta ufumbuzi kwa maji kujaa yakitokea chini ya Ardhi.

Ameupongeza Uongozi wa Mkoa wa Moshi kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo hasa katika ujenzi wa miradi ya kimkakati japokuwa mradi huo umekuwa na changamoto ya jengo kujaa maji kwa chini.

Aidha Mradi wa Stendi ya Mabasi Mkoani huo utagharimu shilingi bilioni 28 fedha ambazo zilitolewa na Serikali kwa Halmashauri kwa ajili ya ujenzi wa Miradi ya kimkakati.

Wakati huohuo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Bw. Michael Mwandesi ameeleza kuwa mradi wa stendi ya mabasi umepata changamoto kubwa ya jengo kujaa maji chini jambo ambalo lilisababisha Halmashauri kusimamisha ujenzi kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa chanzo cha maji hayo.

Amesema mpaka sasa wataalam wameshafanya utafiti wa kina na imegundulika kuwa jengo hilo halijaathrika na maji hayo, kutokana na uimara mkubwa wa jengo hilo.

Source : Jafo aagiza wataalamu kufanya utafiti wa maji yaliyochini ya ardhi mradi wa Stendi ya Mabasi


21 June 2020
Moshi, Kilimanjaro
Tanzania

Wataalamu wa Jiolojia wafanya utafiti wa Chemchem mkoani Kilimanjaro



Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia Kurugenzi ya Huduma kwa Umma pamoja na Idara ya Jiologia kutoka Ndaki ya Sayansi Asili na Sayansi Tumizi, imeleta wataalamu wa maji ya ardhini ili kuisaidia Manispaa na Moshi kupima na kuangalia maji yanayotoka ardhini na kujaa kwenye makazi ya watu na katika mradi mpya wa Stendi maeneo ya Majengo. Msafara huo wa wataalamu unaongozwa na Dkt. Mona Mwakalinga- Mkurugenzi Huduma kwa Umma, Dkt. Simon Melekioly, Dr. Remigius Gama na Bwn. Majura Songo kutoka Idara ya Jiolojia.
Source : University of Dar es Salaam

Wabadili matumizi kiwe kiwanda cha mbege!
 
Tuko pamoja na wewe! Huyu mtu pamoja na kuonekana mchangiaji mkubwa JF lakini kumbe akili zake bado ni za level ya chini kiasi hiki?
Kimfananisha na Ndugai unaweza kuwa umempa hadhi, huyu ni sawa na Musukuma Kasheku ambaye anaongea sana Bungeni lakini hakuna la maana zaidi ya yeye kudhani anamwaga points
Msukuma akija Chadema anapewa uenyekiti wa taifa saa moja asubuhi!
 
Bukoba imeogozwa kila Aina ya chama.
Cuf 2000-2005
CCM 2005-2015
Hawa walipewa hela ya stendi wakaanza kugombana CCM wao Kwa wao

Chadema 2015-2020.
Hawa walianza ujenzi wa stendi kule kyakairabwa na walishindwa kuimaliza Kwa sababu ya siasa za kichama za jiwe.

CCM 2020 to present.
Wapo kimya Tu mbunge anasema stendi na soko vitajengwa na wanabukoba wenyew as if hawalipi Kodi.


Meanwhile stendi ya mji mkongwe na muhumu wa bukoba
FB_IMG_16206790090564851.jpg
FB_IMG_16206790006920158.jpg
 
Bukoba uwekezaji wao upo Airport..
Ina uafadhali kuliko ya Mwanza...

Kwenye stand ni tope tu limejaa pale halifananishiki na popote
Walijenga airport kwanza ambayo nayo walijenga ndogo mno kulinganisha na abiria.
Nayo wakaijenga mjini wakabana mji na kusababisha folen kwenye baadhi ya barabara.

Sasa naskia bukoba stendi hela hakuna wakati na magari mengi Sana kuliko hata stendi ya kibaha ambayo haina magari kabisa


Hiv kibaha pesa walitoa wap
 
Bukoba imeogozwa kila Aina ya chama.
Cuf 2000-2005
CCM 2005-2015
Hawa walipewa hela ya stendi wakaanza kugombana CCM wao Kwa wao

Chadema 2015-2020.
Hawa walianza ujenzi wa stendi kule kyakairabwa na walishindwa kuimaliza Kwa sababu ya siasa za kichama za jiwe.

CCM 2020 to present.
Wapo kimya Tu mbunge anasema stendi na soko vitajengwa na wanabukoba wenyew as if hawalipi Kodi.


Meanwhile stendi ya mji mkongwe na muhumu wa bukobaView attachment 1797839View attachment 1797840
Tope tupu.

Ya Moshi wamejenga kwenye chemchem ya maji!

Wahaya na Wachaga akili zao zinafanana!
 
Back
Top Bottom