Tuko pamoja na wewe! Huyu mtu pamoja na kuonekana mchangiaji mkubwa JF lakini kumbe akili zake bado ni za level ya chini kiasi hiki?Jo sometimes nalinganisha akili zako na za ndugai
Akili yako kichwa maji kabisa, cdm ndo wanaokusanya kodi?Sina mambo mengi naomba bwashee yoyote mwenye picha ya stendi kuu ya mabasi pale Moshi aitupie hapa.
Manispaa ya Moshi kwa muda mrefu imeongozwa na Chadema nataka kujiridhisha na ubunifu wao.
Hapa Iringa Chadema walijitahidi wakatujengea Stendi ya kisasa pale Igumbilo ila sijajua kule Mbeya kwa Sugu hali ikoje.
Mungu ni mwema wakati wote!
Rudi tena jijini Dodoma, ndio utaelewa namna stand inapaswa iwejeAisee nimepita mikoa mingi stendi ya moshi iko safi tatizo sio chadema tatizo ni mipango miji hii stendi iko katikati ya mji kitu ambacho hakikupangiliwa kwa utashi ila naskia kuna eneo liko Toyota sijajua itamishwa lini
Rudi kwenye comment anguRudi tena jijini Dodoma, ndio utaelewa namna stand inapaswa iweje
Nimetembea mikoa mingi, ila ile bus terminal ya Dodoma ni ya kiwango kizuri sana sana
BIG up kwa waliokuwa viongozi wa jiji la Dom Dk Mahenge, Godwin Kunambi na Patrobas Katambi
Sijasema kabila nimesema akiliMimi siyo mgogo lakini!
Mbunge anajenga stand au mkurugenzi?Sina mambo mengi naomba bwashee yoyote mwenye picha ya stendi kuu ya mabasi pale Moshi aitupie hapa.
Manispaa ya Moshi kwa muda mrefu imeongozwa na Chadema nataka kujiridhisha na ubunifu wao.
Hapa Iringa Chadema walijitahidi wakatujengea Stendi ya kisasa pale Igumbilo ila sijajua kule Mbeya kwa Sugu hali ikoje.
Mungu ni mwema wakati wote!
Stendi ya moshi ni nzuri sanaSina mambo mengi naomba bwashee yoyote mwenye picha ya stendi kuu ya mabasi pale Moshi aitupie hapa.
Manispaa ya Moshi kwa muda mrefu imeongozwa na Chadema nataka kujiridhisha na ubunifu wao.
Hapa Iringa Chadema walijitahidi wakatujengea Stendi ya kisasa pale Igumbilo ila sijajua kule Mbeya kwa Sugu hali ikoje.
Mungu ni mwema wakati wote!
Wabadili matumizi kiwe kiwanda cha mbege!10 Jun 2020
Serikali mkoani Kilimanjaro imeongeza timu ya wataalam kufanya utafiti wa kina kubaini kiini cha chemchemi chini ya jengo la kituo kipya cha mabasi cha kimataifa Ngangamfumuni mjini Moshi, Tanzania.
Habari za ziada :
July 9th, 2020
Moshi, Kilimanjaro
Tanzania
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Selemani Jafo ametoa ushauri kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Mjini kukaa na wataalam ili wafanye utafiti wa kina wa jinsi ya kukabiliana na maji yaliyopo chini ya ardhi katika eneo lililojengwa kituo cha Mabasi.
Picha : Ujenzi wa Stendi mpya ya Kimataifa ya mabasi , Moshi Tanzania
Ujenzi Wa Stendi Ya Mabasi Moshi Mjini unakabiliwa na changamoto Mkondo Wa Maji unaoibua chemchem katika ghorofa ya chini ya ardhi katika ujenzi wa stendi hiyo.
Ametoa kauli hiyo leo baada ya kukutana na uongozi wa Mkoa na Wilaya ya Moshi wakati akikagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo.
Mhe. Jafo amesema kuwa kwa sasa maji yanapita katika eneo hilo lakini yakiwa yamepungua, huku wataalamu wakiendelea kutafuta ufumbuzi kwa maji kujaa yakitokea chini ya Ardhi.
Ameupongeza Uongozi wa Mkoa wa Moshi kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo hasa katika ujenzi wa miradi ya kimkakati japokuwa mradi huo umekuwa na changamoto ya jengo kujaa maji kwa chini.
Aidha Mradi wa Stendi ya Mabasi Mkoani huo utagharimu shilingi bilioni 28 fedha ambazo zilitolewa na Serikali kwa Halmashauri kwa ajili ya ujenzi wa Miradi ya kimkakati.
Wakati huohuo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Bw. Michael Mwandesi ameeleza kuwa mradi wa stendi ya mabasi umepata changamoto kubwa ya jengo kujaa maji chini jambo ambalo lilisababisha Halmashauri kusimamisha ujenzi kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa chanzo cha maji hayo.
Amesema mpaka sasa wataalam wameshafanya utafiti wa kina na imegundulika kuwa jengo hilo halijaathrika na maji hayo, kutokana na uimara mkubwa wa jengo hilo.
Source : Jafo aagiza wataalamu kufanya utafiti wa maji yaliyochini ya ardhi mradi wa Stendi ya Mabasi
21 June 2020
Moshi, Kilimanjaro
Tanzania
Wataalamu wa Jiolojia wafanya utafiti wa Chemchem mkoani Kilimanjaro
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia Kurugenzi ya Huduma kwa Umma pamoja na Idara ya Jiologia kutoka Ndaki ya Sayansi Asili na Sayansi Tumizi, imeleta wataalamu wa maji ya ardhini ili kuisaidia Manispaa na Moshi kupima na kuangalia maji yanayotoka ardhini na kujaa kwenye makazi ya watu na katika mradi mpya wa Stendi maeneo ya Majengo. Msafara huo wa wataalamu unaongozwa na Dkt. Mona Mwakalinga- Mkurugenzi Huduma kwa Umma, Dkt. Simon Melekioly, Dr. Remigius Gama na Bwn. Majura Songo kutoka Idara ya Jiolojia.
Source : University of Dar es Salaam
Magufuli Bus Terminal ni zao la Isaya Mwita wa Chadema kama ulikuwa haujui!Hivi kuna halmashauri yoyote ya mji au wilaya iliyokuwa inaongozwa na chadema ambako wamefanya jambo lolote la maana kweli? Mbona sijaona wala kusikia!
Kama ofisi ya makao makuu imewashinda, itakuwa kujenga stendi?
Msukuma akija Chadema anapewa uenyekiti wa taifa saa moja asubuhi!Tuko pamoja na wewe! Huyu mtu pamoja na kuonekana mchangiaji mkubwa JF lakini kumbe akili zake bado ni za level ya chini kiasi hiki?
Kimfananisha na Ndugai unaweza kuwa umempa hadhi, huyu ni sawa na Musukuma Kasheku ambaye anaongea sana Bungeni lakini hakuna la maana zaidi ya yeye kudhani anamwaga points
Malizia kuchuja hiyo mbege manka.Mbunge anajenga stand au mkurugenzi?
Akili na kabila zinaendana kwa mfano wapare!Sijasema kabila nimesema akili
Wewe Bavicha ndio bure kabisa!Akili yako kichwa maji kabisa, cdm ndo wanaokusanya kodi?
Mwenda zake aliwayumbisha sana lumumba, na ambavyo hamjielewi basi tabu tupuWewe Bavicha ndio bure kabisa!
Walijenga airport kwanza ambayo nayo walijenga ndogo mno kulinganisha na abiria.Bukoba uwekezaji wao upo Airport..
Ina uafadhali kuliko ya Mwanza...
Kwenye stand ni tope tu limejaa pale halifananishiki na popote
Tope tupu.Bukoba imeogozwa kila Aina ya chama.
Cuf 2000-2005
CCM 2005-2015
Hawa walipewa hela ya stendi wakaanza kugombana CCM wao Kwa wao
Chadema 2015-2020.
Hawa walianza ujenzi wa stendi kule kyakairabwa na walishindwa kuimaliza Kwa sababu ya siasa za kichama za jiwe.
CCM 2020 to present.
Wapo kimya Tu mbunge anasema stendi na soko vitajengwa na wanabukoba wenyew as if hawalipi Kodi.
Meanwhile stendi ya mji mkongwe na muhumu wa bukobaView attachment 1797839View attachment 1797840
Nawewe huwa ni kajinga sana mkuu.Zishakufa, na Chato rasmi inarudi kuwa Shimo la Tewa.
Maombi ya kuomba Uwanja uanikiwe mpunga [emoji264] yameshafika dawatini kwa mama