Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 778
- 2,764
Hapo lazima afaulu akifuata ushauri huu itakuwa rahisi kuyaendea yale atakayoSimple way, tafuta mtu anaefanya kazi bongo uingie nae partnership,
Au promote page yako mitandaoni, ila wabongo wanahitaji mtu awepo na ofis bongo ili wamuamini, so kuweka ofisi bongo ni lazima
Nikweli Used ya UK imepishana kidogo Naya bongo,Asante sana kwa ushauri wenu Mungu awabariki.Na anawaginga bei kishenzi. Sema tofauti yake na huyu yule anaokota ma screpa anakuja Kuwahonga watu Kwa bei ya juu. Kumbuka UK wanaoagoza Kwa kutupa vitu
Engine used za Japan unapata za miaka ya 2000 na 1990. Huku soko lazima limsumbue, pia TRA mzigo wa Japan hata iwe fiberboat kodi yake kubwaSoko la Engine za boti ni kubwa sana. Na boti za fiber sema ndio hivyo uletaji ndio shida
Mkuu vip kuhusu baiskel uko japana zinauzwaje1.Namba moja kilakitu kipo kama ulivyo shauri.
2.kuhusu Website mteja kushawishika kununua kitu kwasabu ya muonekano mzuri wa website au kutokununua kitu kwasabu website haina .com sina akika sana kwasabu kuna watu wanafanya biashara bila hata website,
Kikuu na Allexpress necha ya biashara yao ni tofauti sana na biashara hii wao usafiri bidhaa ndogo ndogo za kusafirisha kwa njia ya ndege tofatu na biashara hii,
Nfumo wa hii biashara unanunua container kabla ya kufanya mauzo ya kitu chochote kila ukiuza unapanga mzigo kwenye container kidogo kidogo,
Kuchanganya Magari na mizigo kwenye container moja nilisikia kwenye kushusha kunausunbufu mkubwa sana pia faida ya Magari ni kidogo sana.
Point muhimu ni matangazo ya kulipia nadhani hii inaweza boost watu wengi kuona.
Baiskeli Kima aina nyingi kama mountain Luna fimbo kuna za watoto kuna mayai unataka zipiMkuu vip kuhusu baiskel uko japana zinauzwaje
Baiskeli za namna hii zinauzwajeBaiskeli Kima aina nyingi kama mountain Luna fimbo kuna za watoto kuna mayai unataka zipi
Hizi zinatwa mayai, zipo nyingi sana.Baiskeli za namna hii zinauzwajeView attachment 2900711
Zinauzwaje uko ..nazinauzwa kwa stail ipiHizi zinatwa mayai, zipo nyingi sana.
Zina Grade kuna Grade A B c nitakupa bei yake.Zinauzwaje uko ..nazinauzwa kwa stail ipi
Ungepitia vizuri bandiko langu naona umekuja kiungonvi badala ya kushauriAcha ubinafs mkuu....biashara ni ushirikiano...unafeli sababu una ule ubinafs.
Funguka tafuta washirika weka share mezani mpige kazi.....una nafasi nzuri ya kutengeneza pesa ila ndo hvyo hutaki wengne wale kupitia wewe..
Tafuta connection hao tra bandarini ni waraini sanaa,
Nimekuelewa mkuu....sorry kwa lugha niliyoitumia.Ungepitia vizuri bandiko langu naona umekuja kiungonvi badala ya kushauri
Hakuna sehemu nimesema TRA ni kikwazo wala Mtaji kuwa kikwazo,
Niliomba ushauri wa kutumia njia za kikisasa za digital platforms kufanya biashara ambazo wanunuzi ulipia kabla ya ku Derivery mizigo,badala kununua bidhaa kuzipakia kuzisafirisha kulipia ushuru Kisha ukaziingiza sokoni na zikakosa wanunuzi huu sio nfumo sahihi kwenye biashara
Utakapotoa ushauri wako ujikite kwenye Mada.
Utanisaidia sana ukinipa gradeZina Grade kuna Grade A B c nitakupa bei yake.
KombanwaaaaaNipo Japan
Mimi piaMm naitaji baiskeli za mtumba