Asante nitapaboreshaLabda fanya marekebisho kwenye registration form kwasababu nimeandika user name Jasusi mweusi ikaniambia maneno mengi sana nika force nika submit tena ikakubali kama inataka kuwapingia users majina gani watume.
Umesaga kunguni sio?Wabongo tunafeli pakubwa sana huyu jamaa ana access sawa na Beforward na SBT tatizo utamaduni wa kudhamini wageni pia unatuponza hawa wapakistani Be forward na SBT wameteka soko la Tanzania na nchi jirani hivi kweli mpakistani anaweza kunisaidia chochote hadi nimuungishe hii kitu inafikirisha sana.
Hapana mimi ni msema ukweli tuna mioyo mieusi sana.Umesaga kunguni sio?
Size gani utaka?Hizo engine za boat bei yake Iko je na gharama za usafirishaji?
Bot u axozungumzia ni fiber au?
Safi sanaKWA BONGO YEYE KAWIN KWA SASA UKIONGEZEKA NA WEWE MTAKUWA WAWILI MAANA HII BIASHARA KWA BONGO HAINA WATU WENGI YUPO YEYE TU KWA SASA!?
Asantepole sana mkuu. ndi changamoto bizy na wabongoland
Ukweli ni mchungu I see.Wabongo tunafeli pakubwa sana huyu jamaa ana access sawa na Beforward na SBT tatizo utamaduni wa kudhamini wageni pia unatuponza hawa wapakistani Be forward na SBT wameteka soko la Tanzania na nchi jirani hivi kweli mpakistani anaweza kunisaidia chochote hadi nimuungishe hii kitu inafikirisha sana.
Ukowapi?Ukweli ni mchungu I see.
Karibu sanaUmenikumbusha nilikutafuta sana i see namba yako nilipoteza please namoba namba yako nikai save kwenye dayal.
Hili Lina ukweli kabisa, hizo changamoto hata mimi nilizipitia sana kwenye biashara yangu ya kwanza. Sasa nikaja na biashara ya kuuza vitu vinavyohusiana na swimming lakini lugha hapo ni English tu, yaani chat zote za DM ni English basi bwana trust kama yote kwa wageni mpaka wenyeji. Yaani Sisi wa Tanzania kutuwin hutakiwi kuwa serious sana. Kikubwa waambie ukweli wateja wako kuwa mzigo utachelewa.pakia mizigo kwenye kontena tunakuja kuuzia hukuhuku. mbinu nyingine chukua hii. ukija bongo tafuta mbia mmoja mgeni "mweupe" wapo wafilipino wapo wazungu njaa. watz wanakuamini sana wakiona mgeni wa nje ktk jambo lako.
mm zamani nilikua na mfilipino jamaa alfanya nifanye biashara kiwepesi sana.
wateja walimuamini sana akiongea imo.
maana watz wana prefer quantity over quality..
Sasa hiyo trust ya mtu kukutumia pesa nyingi na mtu haupo Tanzania halafu ndo unaanza yaani kaka si kitu rahisi, imagine unauza goggles kwa sh. 25,000 mtu anagoma kabisa kutuma advance just half of the price, ndo ikaje million haki trust kwenye business ni changamoto.Sikuwepo nasipendi kukumbuka kilichotokea na siwezi kufunga mzigo na kutuma hapo bila kuona pesa kwenye account.
haha mimi si nawajua wabongolandHili Lina ukweli kabisa, hizo changamoto hata mimi nilizipitia sana kwenye biashara yangu ya kwanza. Sasa nikaja na biashara ya kuuza vitu vinavyohusiana na swimming lakini lugha hapo ni English tu, yaani chat zote za DM ni English basi bwana trust kama yote kwa wageni mpaka wenyeji. Yaani Sisi wa Tanzania kutuwin hutakiwi kuwa serious sana. Kikubwa waambie ukweli wateja wako kuwa mzigo utachelewa.
Kwani watu wananunuaje Magari na vitu vingine huko Amazon na Ebay, kwani wanatumiwa kwanza ndio wanalipa hii inawezekana vizuri sana, tatizo ni kupata watu serious na namatangazo pia mtu akisumbua anarudishiwa pesa yake.Sasa hiyo trust ya mtu kukutumia pesa nyingi na mtu haupo Tanzania halafu ndo unaanza yaani kaka si kitu rahisi, imagine unauza goggles kwa sh. 25,000 mtu anagoma kabisa kutuma advance just half of the price, ndo ikaje million haki trust kwenye business ni changamoto.
Ndio mbona sbt na be foward watu wanalipa beforeKwani watu wananunuaje Magari na vitu vingine huko Amazon na Ebay, kwani wanatumiwa kwanza ndio wanalipa hii inawezekana vizuri sana, tatizo ni kupata watu serious na namatangazo pia mtu akisumbua anarudishiwa pesa yake.
Tatizo liliko hapo ni moja wabango wengi wanawaza kutapeliwa kwasababu wanazozijua waoNdio mbona sbt na be foward watu wanalipa before
Mkuu mim nataka baiskeli kama hizo nilizoweka picha tufanye kazi bossAsante