Naomba ushauri kuhusu biashara yangu inakoelekea inaenda kukata roho sio muda

Naomba ushauri kuhusu biashara yangu inakoelekea inaenda kukata roho sio muda

Biashara ya hasara sana hiyo....uchawi mwingi mno.Unaweza dhani wauza mchele kumbe wateja waona chumvi ya mawe.

Kuna mtu jirani hapa yalimkuta,yeye anauza kuni Kila siku wateja wanalalamika kuwa Kuni mbichi haziwaki.

kimuonekano Kuni ni kaukau balaa...kumbe.

walishambadilishia walimwekea miwa yeye hajui
Duh🙀🙀
 
Hbarii wan jf natumai wote mko salama.

Mimi ni mfanyabiashara wa mchele hapa Dar es Salaam
Nauza jumla na rejareja.

Ila nasikitika toka nifungue hiii baishara yangu nimepitia changamoto nying sana mpka leo na nimekuwa mtu ambaye sikatii tamaa nikijipa moyo kwamba ndo napata experience maana ndo mara yang ya kwanza hii biashara.

Lakini changamoto amabyo imenipelekea kuandika huu uzii ni hapa ambayo nimetumia njia zote nimeshindwa biashara naiendesha kwa hasara sipatii faida hata kidg na basi ikipatikana inakuwa ni ndgo sana..

Hiyo changamoto ni kwamba kila nikileta mchele kweny store yang wateja wanarukaruka kwamb mchele wanaona siyo mzurii najitahidii kugradee jambo amablo linapelekea faida yang yote kuishia huko ilimradii tu niwateke wateja kwa vitu vizurii lakini wapi nimejikuta napoteza mtaji wang nusu nzima mpka sasa.

Na kingine mimi nipo mbagala dar es salaam nzima wanasifia mbagala kuuza mchele bei rahisii ni kwelii huku bei ni rahissiii jana nimetoka nimeenda sehem nyingine nimekuta mchele naouza mimi huku 1400 wao wanauza 1600
Sasa niko nawaza nifunge hapa flemu nikatafute sehem nyingine niendelezee baishara hiii hii ya mchele au nitafutee tu biashra nyingine nifanye naomba mnisadie sana.

Ushaurii wenu unahitajika hii biashara hemu imagine miezii saba sasa haijawah kunipa faida hata kidg nimevumilia nimechoka nahisii napoteza tu kila siku.

Maduka ya mchele sasa yamejaa kila kona kila mtu anauza mchele, na wakulima hawajkaa mbalii kila mkoa unalima mchelee.

Miaka yotee huu mwezii wa tisaa michele inapanda bei ila mwaka huu mpka mchele wa 1300 ninao mimi ofisini afu baishara haiendii kabisa yaniii

Nitafute eneo linginee au nibadilishe baishara msaada wenuu wakuu
1.jitahidi dukani ukae mwenyewe
2.Tumia watu wanaoujua Mchele kuutafuta
 
Nitafute eneo linginee au nibadilishe baishara msaada wenuu wakuu
Tafuta wapishi mamalishe wa maeneo tofauti uongee nao uwapelekee mzigo kwa bei nafuu wenzio wanafanya hivyo ukipata hata 10 kila mmoja akiwa unampelekea hata kilo 5 kwa siku 5×10=50 na 50×30=150 unapiga faida unajua biashara ni strategy ingawa pia biashara ni siri nimekutobolea hio hapo moja
 
ww ndio mwenye matatizo na hao waliokushauri huko juu eti sijui kuna uchawi au ubadili biashara wengi wanakupotosha siku zote biashara ni uvumilivu.. ww ni mgeni na mpya kwenye biashara ya mchele eneo hilo ndio kwanza una miezi sita alafu eti unaumia roho kwa uliowakuta wanauza hadi tani 30 kwa siku lakini hutaki kujiuliza hao wenzio wana mda gani eneo hilo usikute wana miaka kuanzia 3 hadi 5 wanafanya biashara hapo washatengeneza connection za wateja wao wa kudumu na pia washaweka jina si unajua biashara za uswahilini nyingi zinaenda kwa kujuana na kiaminiana..sasa ww mgeni wa miezi sita tu apo unataka uuze na kupata faida sawa na hao waliokaa miaka hata 5 washatengeneza wateja wao wa kudumu.! tatizo wabongo wengi tunataka faida ya haraka kwenye biashara bila kutengeneza msingi kwanza mfano mleta mada anaona wivu na hasira kali jirani yake kuuza tani 30 kwa siku wengine mtaji hadi million 100 wakati hao wenzie wametumia miaka kibao kufika hapo walipo alafu yeye na miezi yake sita anataka awe level hizo wakati nao walianza chini miaka imepita kama anavyoanza yeye leo.. pambana na ww kutengeneza connection zako na wateja wako wa kudumu miaka miwili mbele utaanza kula matunda
 
Hbarii wan jf natumai wote mko salama.

Mimi ni mfanyabiashara wa mchele hapa Dar es Salaam
Nauza jumla na rejareja.

Ila nasikitika toka nifungue hiii baishara yangu nimepitia changamoto nying sana mpka leo na nimekuwa mtu ambaye sikatii tamaa nikijipa moyo kwamba ndo napata experience maana ndo mara yang ya kwanza hii biashara.

Lakini changamoto amabyo imenipelekea kuandika huu uzii ni hapa ambayo nimetumia njia zote nimeshindwa biashara naiendesha kwa hasara sipatii faida hata kidg na basi ikipatikana inakuwa ni ndgo sana..

Hiyo changamoto ni kwamba kila nikileta mchele kweny store yang wateja wanarukaruka kwamb mchele wanaona siyo mzurii najitahidii kugradee jambo amablo linapelekea faida yang yote kuishia huko ilimradii tu niwateke wateja kwa vitu vizurii lakini wapi nimejikuta napoteza mtaji wang nusu nzima mpka sasa.

Na kingine mimi nipo mbagala dar es salaam nzima wanasifia mbagala kuuza mchele bei rahisii ni kwelii huku bei ni rahissiii jana nimetoka nimeenda sehem nyingine nimekuta mchele naouza mimi huku 1400 wao wanauza 1600
Sasa niko nawaza nifunge hapa flemu nikatafute sehem nyingine niendelezee baishara hiii hii ya mchele au nitafutee tu biashra nyingine nifanye naomba mnisadie sana.

Ushaurii wenu unahitajika hii biashara hemu imagine miezii saba sasa haijawah kunipa faida hata kidg nimevumilia nimechoka nahisii napoteza tu kila siku.

Maduka ya mchele sasa yamejaa kila kona kila mtu anauza mchele, na wakulima hawajkaa mbalii kila mkoa unalima mchelee.

Miaka yotee huu mwezii wa tisaa michele inapanda bei ila mwaka huu mpka mchele wa 1300 ninao mimi ofisini afu baishara haiendii kabisa yaniii

Nitafute eneo linginee au nibadilishe baishara msaada wenuu wakuu
Naomba na mimi nikushauri mambo matano (5), jambo la NNE ni muhimu zaidi.

✍️KWANZA: Usibadili biashara kwasababu hiyo ni biashara ulioizoea. Huwezi kuthibitisha kuwa hiyo biashara ya mchele ni mbaya kwasababu umesema wenzako wanaofanya biashara hiyo hiyo wamesonga mbele. Hivyo sikushauri kubadili.

✍️PILI: Hilo wazo lako la kubadili Location kwa biashara hiyo hiyo ni wazo zuri sana. Kwasababu Location inaweza kuchangia kukurudisha nyuma hasa aina ya wateja wako wanaokuzunguka - wateja wengine wapo kama Muhindi ambaye anaruka saluni kumi za mtaani kwake anakwenda kunyoa saluni ya muhindi mwenzake iliyopo mtaa wa saba. Hivyo fanya uchunguzi kama tatizo sio biashara yako ni wateja, fanya mpango uhame Location.

✍️TATU: Ni vizuri pia unapoona biashara moja haitembei changanya biashara nyingine, lengo ni kujitofautisha na wengine. Biashara yako ya mchele inafaa kuchanganya na biashara ya Maharage ya rangi tofauti, Njegele, karanga, n.k.

✍️NNE: Hebu chunguza uone wenzako wanauza mchele wa aina gani. Kwenye biashara (bidhaa) kuna vitu vingi sana, kwa sasa nikwambie vitu vitatu vifuatavyo......

1. UBORA (QUALITY) - Nashukuru umesema kuwa kipengele hiki cha ubora umekizingatia. Lakini ngoja nikuongezee; asilimia kubwa ya wateja wa mikoa ya ukanda wa pwani (Tanga, Zenji, Dar, Pwani, hata Moro) huwa kwenye mchele wanapenda harufu (mchele unaonukia sana) kuliko ubora mwingine, hivyo hakikisha kwenye hilo.

2. CHAPA (BRAND) YA BIDHAA - Wateja wengine hawavutwi na ubora wa bidhaa, wanavutwa na chapa ya bidhaa. Kuna watu tangu utotoni wameshakaririshwa kuwa mchele wa kutoka mahali fulani ni mzuri kuliko wa sehemu fulani. Mteja mwingine ukimwambia huu mchele ni wa kutoka Mbeya tayari ushammaliza hata kama sio mchele mzuri, mwingine ukimwambia huu mchele ni wa kutoka Morogoro ushammaliza hata kama siku hiyo ulijumua mchele mbovu. Yaani mtu anafuata BRAND tu. Ndo maana sikuhizi usishangae kumkuta mtu mwenye iphone ya Tsh 500,000 anamdharau mwenye samsung ya Tsh 2,000,000.

3. CHAPA (BRAND) YAKO - Ni vizuri uendelee kutengeneza connection kwa wateja wengi ili ukuze jina lako. Huenda wenzako wanauza sana kwasababu ya majina yao (washatengeneza majina). Tengeneza jina lako, wapelekee mchele hadi mlangoni. Mteja akinunua hata debe moja kama anaishi umbali wa chini ya kilomita mbili; mtume kijana wako ambebee mzigo mteja.

✍️TANO: Usikate tamaa, changamoto na vikwazo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu.
 
Hbarii wan jf natumai wote mko salama.

Mimi ni mfanyabiashara wa mchele hapa Dar es Salaam
Nauza jumla na rejareja.

Ila nasikitika toka nifungue hiii baishara yangu nimepitia changamoto nying sana mpka leo na nimekuwa mtu ambaye sikatii tamaa nikijipa moyo kwamba ndo napata experience maana ndo mara yang ya kwanza hii biashara.

Lakini changamoto amabyo imenipelekea kuandika huu uzii ni hapa ambayo nimetumia njia zote nimeshindwa biashara naiendesha kwa hasara sipatii faida hata kidg na basi ikipatikana inakuwa ni ndgo sana..

Hiyo changamoto ni kwamba kila nikileta mchele kweny store yang wateja wanarukaruka kwamb mchele wanaona siyo mzurii najitahidii kugradee jambo amablo linapelekea faida yang yote kuishia huko ilimradii tu niwateke wateja kwa vitu vizurii lakini wapi nimejikuta napoteza mtaji wang nusu nzima mpka sasa.

Na kingine mimi nipo mbagala dar es salaam nzima wanasifia mbagala kuuza mchele bei rahisii ni kwelii huku bei ni rahissiii jana nimetoka nimeenda sehem nyingine nimekuta mchele naouza mimi huku 1400 wao wanauza 1600
Sasa niko nawaza nifunge hapa flemu nikatafute sehem nyingine niendelezee baishara hiii hii ya mchele au nitafutee tu biashra nyingine nifanye naomba mnisadie sana.

Ushaurii wenu unahitajika hii biashara hemu imagine miezii saba sasa haijawah kunipa faida hata kidg nimevumilia nimechoka nahisii napoteza tu kila siku.

Maduka ya mchele sasa yamejaa kila kona kila mtu anauza mchele, na wakulima hawajkaa mbalii kila mkoa unalima mchelee.

Miaka yotee huu mwezii wa tisaa michele inapanda bei ila mwaka huu mpka mchele wa 1300 ninao mimi ofisini afu baishara haiendii kabisa yaniii

Nitafute eneo linginee au nibadilishe baishara msaada wenuu wakuu
Endelea na biashara yako ya zamani lakini ongezea na biashara ya mahindi naunga wa kupima

kisha huko mbeleni utaangalia udeal Sana na kipi
 
Hbarii wan jf natumai wote mko salama.

Mimi ni mfanyabiashara wa mchele hapa Dar es Salaam
Nauza jumla na rejareja.

Ila nasikitika toka nifungue hiii baishara yangu nimepitia changamoto nying sana mpka leo na nimekuwa mtu ambaye sikatii tamaa nikijipa moyo kwamba ndo napata experience maana ndo mara yang ya kwanza hii biashara.

Lakini changamoto amabyo imenipelekea kuandika huu uzii ni hapa ambayo nimetumia njia zote nimeshindwa biashara naiendesha kwa hasara sipatii faida hata kidg na basi ikipatikana inakuwa ni ndgo sana..

Hiyo changamoto ni kwamba kila nikileta mchele kweny store yang wateja wanarukaruka kwamb mchele wanaona siyo mzurii najitahidii kugradee jambo amablo linapelekea faida yang yote kuishia huko ilimradii tu niwateke wateja kwa vitu vizurii lakini wapi nimejikuta napoteza mtaji wang nusu nzima mpka sasa.

Na kingine mimi nipo mbagala dar es salaam nzima wanasifia mbagala kuuza mchele bei rahisii ni kwelii huku bei ni rahissiii jana nimetoka nimeenda sehem nyingine nimekuta mchele naouza mimi huku 1400 wao wanauza 1600
Sasa niko nawaza nifunge hapa flemu nikatafute sehem nyingine niendelezee baishara hiii hii ya mchele au nitafutee tu biashra nyingine nifanye naomba mnisadie sana.

Ushaurii wenu unahitajika hii biashara hemu imagine miezii saba sasa haijawah kunipa faida hata kidg nimevumilia nimechoka nahisii napoteza tu kila siku.

Maduka ya mchele sasa yamejaa kila kona kila mtu anauza mchele, na wakulima hawajkaa mbalii kila mkoa unalima mchelee.

Miaka yotee huu mwezii wa tisaa michele inapanda bei ila mwaka huu mpka mchele wa 1300 ninao mimi ofisini afu baishara haiendii kabisa yaniii

Nitafute eneo linginee au nibadilishe baishara msaada wenuu wakuu
Ushauri wangu utajikita kwenye maeneo matatu. Mosi, neno 'flemu' halipo kwenye kamusi ya kiswahili sanifu.
Pili ulikosea kufungua biashara bila kufanya upembuzi yakinifu,yumkini mahitaji ya watu wa mbagala ni maboga ila kwa ukaidi wa makusudi unawalazimisha kula mchele.
Tatu unapaswa kuwa mvumilivu,hakuna biashara isiyokuwa na changamoto,mathalan dada poa anayefanyia biashara yake Ohio St. ni tofauti na anayefanyia biashara ubandani Gezaulole Kigamboni hukilo.
 
ww ndio mwenye matatizo na hao waliokushauri huko juu eti sijui kuna uchawi au ubadili biashara wengi wanakupotosha siku zote biashara ni uvumilivu.. ww ni mgeni na mpya kwenye biashara ya mchele eneo hilo ndio kwanza una miezi sita alafu eti unaumia roho kwa uliowakuta wanauza hadi tani 30 kwa siku lakini hutaki kujiuliza hao wenzio wana mda gani eneo hilo usikute wana miaka kuanzia 3 hadi 5 wanafanya biashara hapo washatengeneza connection za wateja wao wa kudumu na pia washaweka jina si unajua biashara za uswahilini nyingi zinaenda kwa kujuana na kiaminiana..sasa ww mgeni wa miezi sita tu apo unataka uuze na kupata faida sawa na hao waliokaa miaka hata 5 washatengeneza wateja wao wa kudumu.! tatizo wabongo wengi tunataka faida ya haraka kwenye biashara bila kutengeneza msingi kwanza mfano mleta mada anaona wivu na hasira kali jirani yake kuuza tani 30 kwa siku wengine mtaji hadi million 100 wakati hao wenzie wametumia miaka kibao kufika hapo walipo alafu yeye na miezi yake sita anataka awe level hizo wakati nao walianza chini miaka imepita kama anavyoanza yeye leo.. pambana na ww kutengeneza connection zako na wateja wako wa kudumu miaka miwili mbele utaanza kula matunda
Inshu kubwa sio wivu hakuna sehem amabayo inaonesha mimi nina wivu nimeongelea biahara kutokuingiza faida na kuiendesha kwa hasara wateja wanataka mchele bei ya chini wakat shamba mchele umepanda bei na hawa majirani zang mchele wanauza bei rahisii kwakuwa wana mtaji mkubwa hata akiweka sh 50 faida kwkee yeye anapata ila mimi nanaejitafuta nikisema niwageze wao faida inakuwa ndogo kurun bussiness lazima nile hasara ndo niko naomaba ushaurii nihame location nikaendelee sehem nyingine au nibadilii biashara nazani utakuwa umeeelewa sasa
 
Naomba na mimi nikushauri mambo matano (5), jambo la NNE ni muhimu zaidi.

✍️KWANZA: Usibadili biashara kwasababu hiyo ni biashara ulioizoea. Huwezi kuthibitisha kuwa hiyo biashara ya mchele ni mbaya kwasababu umesema wenzako wanaofanya biashara hiyo hiyo wamesonga mbele. Hivyo sikushauri kubadili.

✍️PILI: Hilo wazo lako la kubadili Location kwa biashara hiyo hiyo ni wazo zuri sana. Kwasababu Location inaweza kuchangia kukurudisha nyuma hasa aina ya wateja wako wanaokuzunguka - wateja wengine wapo kama Muhindi ambaye anaruka saluni kumi za mtaani kwake anakwenda kunyoa saluni ya muhindi mwenzake iliyopo mtaa wa saba. Hivyo fanya uchunguzi kama tatizo sio biashara yako ni wateja, fanya mpango uhame Location.

✍️TATU: Ni vizuri pia unapoona biashara moja haitembei changanya biashara nyingine, lengo ni kujitofautisha na wengine. Biashara yako ya mchele inafaa kuchanganya na biashara ya Maharage ya rangi tofauti, Njegele, karanga, n.k.

✍️NNE: Hebu chunguza uone wenzako wanauza mchele wa aina gani. Kwenye biashara (bidhaa) kuna vitu vingi sana, kwa sasa nikwambie vitu vitatu vifuatavyo......

1. UBORA (QUALITY) - Nashukuru umesema kuwa kipengele hiki cha ubora umekizingatia. Lakini ngoja nikuongezee; asilimia kubwa ya wateja wa mikoa ya ukanda wa pwani (Tanga, Zenji, Dar, Pwani, hata Moro) huwa kwenye mchele wanapenda harufu (mchele unaonukia sana) kuliko ubora mwingine, hivyo hakikisha kwenye hilo.

2. CHAPA (BRAND) YA BIDHAA - Wateja wengine hawavutwi na ubora wa bidhaa, wanavutwa na chapa ya bidhaa. Kuna watu tangu utotoni wameshakaririshwa kuwa mchele wa kutoka mahali fulani ni mzuri kuliko wa sehemu fulani. Mteja mwingine ukimwambia huu mchele ni wa kutoka Mbeya tayari ushammaliza hata kama sio mchele mzuri, mwingine ukimwambia huu mchele ni wa kutoka Morogoro ushammaliza hata kama siku hiyo ulijumua mchele mbovu. Yaani mtu anafuata BRAND tu. Ndo maana sikuhizi usishangae kumkuta mtu mwenye iphone ya Tsh 500,000 anamdharau mwenye samsung ya Tsh 2,000,000.

3. CHAPA (BRAND) YAKO - Ni vizuri uendelee kutengeneza connection kwa wateja wengi ili ukuze jina lako. Huenda wenzako wanauza sana kwasababu ya majina yao (washatengeneza majina). Tengeneza jina lako, wapelekee mchele hadi mlangoni. Mteja akinunua hata debe moja kama anaishi umbali wa chini ya kilomita mbili; mtume kijana wako ambebee mzigo mteja.

✍️TANO: Usikate tamaa, changamoto na vikwazo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu.
Shukranii sana kk ntayafanyia kazi ushaurii wako
 
Tafuta wapishi mamalishe wa maeneo tofauti uongee nao uwapelekee mzigo kwa bei nafuu wenzio wanafanya hivyo ukipata hata 10 kila mmoja akiwa unampelekea hata kilo 5 kwa siku 5×10=50 na 50×30=150 unapiga faida unajua biashara ni strategy ingawa pia biashara ni siri nimekutobolea hio hapo moja
Ntajitahid hivo chief ila nikwambie kitu kimoja mteja wa kipato cha chini kwamaana maskini ukimfanyia hivo anakuona wewe unashida kwaiyo atachukua nafasii ile kukulalia katika bei atataka umuuzie bei ya chini sana nimeshwah kujaribu, na mikopo inaanza humohumo
 
Mimi nakushauri bila kupepesa macho, badilisha biashara au punguza mtaji wako kwenye hio biashara uanzishe nyingine. Biashara ya mchele pasua kichwa. Unaweza kumaliza mtaji.

Kama bado hujafanya maamuzi ya kuacha basi badili location ucheki.
 
Hbarii wan jf natumai wote mko salama.

Mimi ni mfanyabiashara wa mchele hapa Dar es Salaam
Nauza jumla na rejareja.

Ila nasikitika toka nifungue hiii baishara yangu nimepitia changamoto nying sana mpka leo na nimekuwa mtu ambaye sikatii tamaa nikijipa moyo kwamba ndo napata experience maana ndo mara yang ya kwanza hii biashara.

Lakini changamoto amabyo imenipelekea kuandika huu uzii ni hapa ambayo nimetumia njia zote nimeshindwa biashara naiendesha kwa hasara sipatii faida hata kidg na basi ikipatikana inakuwa ni ndgo sana..

Hiyo changamoto ni kwamba kila nikileta mchele kweny store yang wateja wanarukaruka kwamb mchele wanaona siyo mzurii najitahidii kugradee jambo amablo linapelekea faida yang yote kuishia huko ilimradii tu niwateke wateja kwa vitu vizurii lakini wapi nimejikuta napoteza mtaji wang nusu nzima mpka sasa.

Na kingine mimi nipo mbagala dar es salaam nzima wanasifia mbagala kuuza mchele bei rahisii ni kwelii huku bei ni rahissiii jana nimetoka nimeenda sehem nyingine nimekuta mchele naouza mimi huku 1400 wao wanauza 1600
Sasa niko nawaza nifunge hapa flemu nikatafute sehem nyingine niendelezee baishara hiii hii ya mchele au nitafutee tu biashra nyingine nifanye naomba mnisadie sana.

Ushaurii wenu unahitajika hii biashara hemu imagine miezii saba sasa haijawah kunipa faida hata kidg nimevumilia nimechoka nahisii napoteza tu kila siku.

Maduka ya mchele sasa yamejaa kila kona kila mtu anauza mchele, na wakulima hawajkaa mbalii kila mkoa unalima mchelee.

Miaka yotee huu mwezii wa tisaa michele inapanda bei ila mwaka huu mpka mchele wa 1300 ninao mimi ofisini afu baishara haiendii kabisa yaniii

Nitafute eneo linginee au nibadilishe baishara msaada wenuu wakuu
Mbagala kawaida me mwenyewe nipo mbagala nauza viatu vya kike nilikuwa nauzia ndani kule stendi ndogo nimepata hasara siuzi nyingi nikahamia puma kule hasara siuzi kabisa nataka kupakimbia kodi nimelipa miezi 4 nina wiki moja
 
Mzee ninavioo pale ofisini achaa nina super za kila aina tena zinanukia blaaa ila ujinga wake zeneywe utokaji wake ni mudg kwa sabab mbagala wengii ni kipato cha chini kwaiyo wanahitaji michele ya bei ndg na ndo yenye mznguko mkubwa
Dah yanayokukuta wewe na mimi hayohayo nauza viatu vya kike sema
 
Back
Top Bottom