Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Aombe udhamini wa mashirika bnafsi, kuna mikopo ya mama samia na had MO foundation za kudhamini wanachuo
 
Mkuu ushawahi kata gogo huku unalia?
Unaoga huku unalia?

Unaangalia timu yako pendwa bar iwe simba au yanga huku unalia?

Sasa jaribu
Uone
Hawa paka wa bangladesh atakavomaliza anakugeukaje[emoji16]
Watu wanatoa ushauri kwa uchungu sasa mtoa mada kama hauta sikia jua kabisa kitacho tokea
 
Du inamana una huruma au una pesa mingi FANYA HIVI NUNUA MBWA MPELEKE SUA MLIPIE ADA AJIFUNZE KUTEGUA MABOMU, AU KUMTAMBUA MTU MWENYE KIFUA KIKUU NA KUMTAMBUA MUARIFU
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Usikivu na utiifu wa kuigiziwa usikuchanganye ukaingia King [emoji146] hutakuja kuamini kama ndyo yule aliyekuwa msikivu atakapoonyesha rangi yake kamili.Hii Dunia mwamini Baba au Mama Yako na Mungu hao wengine achana nao usije jutia
 
Mpeleke chuo watu tukamle huko. Mi nafanya Phd sasa. Mlete nimeshakula sana mabinti wasikivu. Anavyokusikiliza wewe ndo hata mimi atanisikiliza hivyo hivyo. Mlete tumle huku chuo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
 
Hii nakataa, wanakutreat kama hawakujui. Sina hamu, ila ulimwengu unamfundisha na Mungu amsaidie.
Hakuna namna huenda huyu akamshukuru sio wote hufanya hivyo ,kama unamsaidia mtu we saidia TU ndio maisha yalivyo
 
I second this.
 
Hovyo sana fisi
 
Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
fanya tu kama unatoa msaada ila usiweke matumaini usijejinyonga siku moja. kwani bei ya kusomesha sh ngapi? kuna watu huwa wanadiscourage kusomesha mwanamke, ukweli ni kwamba, out of ten women waliosomeshwa, ni mmoja au wawili tu huwageuka wapenzi waliowasomesha. nimeshuhudia watu wengi sana wamesomeshwa na wachumba na hadi leo wapo nao kwenye ndoa. nasema ukweli kabisa.
 
Wajinga kama nyie hampaswi shauriwa lolote lile
 
Fanya hvo
Kama unampenda
Na una uwezo wa kufanya hvo
Pia Uwe flexible Kwa lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…