Naomba uzoefu wa kuendana na mke wenye uhitaji wa "sex" kila wakati

Naomba uzoefu wa kuendana na mke wenye uhitaji wa "sex" kila wakati

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
kwa uzoefu wangu nimefikia hitimisho la kusemackua, mke wangu ana nguvu nyingi kwenye tendo la ndoa na si kuwa nina tatizo la nguvu za kiume.

Nimejaribu kuendana na kasi yake ya uhitaji wa jambo hili lakini nimeona uhitaji wake ni above average.

Naomba msaada wa namna ya kuedanda nae, anapokua kazini au akiwa period imekua kama nimepewa likizo kazni, nakuwa na wakati wa kupunzika, mana mchakamchaka wake umepitiliza viwango vya kawaida kabisa ndugu zangu.

Pengine labda kwakua ananiona mi ni handsome sana ndo mana anataka kuni keep busy ili nisiwe na nafasi ya kufanya utundu nje? Sielewi ila ukweli nimechoka.
 
kwa uzoefu wangu nimefikia hitimisho la kusemackua, mke wangu ananguvu nyingi kwenye tendo la ndoa na si kua ninatatizo la nguvu za kiume. Nimejaribu kuendana na kasi yake ya uhitaji wa jambo hili lakini nimeona kua uhitaji wake ni above average.
Naomba msaada wa namna ya kuedanda nae, anapokua kazini au akiwa period imekua kama nimepewa likizo kazni, nakua na wakati wa kupunzika, mana mchakamchaka wake umepitiliza viwango vya kawaida kabisa ndugu zangu.
pengine labda kwakua ananiona mi ni handsome sana ndo mana anataka kuni keep busy ili nisiwe na nafasi ya kufanya utundu nje? sielewi ila ukweli nimechoka.
Wewe una umri gani na mke wako ana umri gani?
 
kwa uzoefu wangu nimefikia hitimisho la kusemackua, mke wangu ananguvu nyingi kwenye tendo la ndoa na si kua ninatatizo la nguvu za kiume. Nimejaribu kuendana na kasi yake ya uhitaji wa jambo hili lakini nimeona kua uhitaji wake ni above average.
Naomba msaada wa namna ya kuedanda nae, anapokua kazini au akiwa period imekua kama nimepewa likizo kazni, nakua na wakati wa kupunzika, mana mchakamchaka wake umepitiliza viwango vya kawaida kabisa ndugu zangu.
pengine labda kwakua ananiona mi ni handsome sana ndo mana anataka kuni keep busy ili nisiwe na nafasi ya kufanya utundu nje? sielewi ila ukweli nimechoka.
Nani kakuambia wewe ni handsome mwenyewe au wewe ndo umejiona kua handsome?
 
kwa uzoefu wangu nimefikia hitimisho la kusemackua, mke wangu ananguvu nyingi kwenye tendo la ndoa na si kua ninatatizo la nguvu za kiume. Nimejaribu kuendana na kasi yake ya uhitaji wa jambo hili lakini nimeona kua uhitaji wake ni above average.
Naomba msaada wa namna ya kuedanda nae, anapokua kazini au akiwa period imekua kama nimepewa likizo kazni, nakua na wakati wa kupunzika, mana mchakamchaka wake umepitiliza viwango vya kawaida kabisa ndugu zangu.
pengine labda kwakua ananiona mi ni handsome sana ndo mana anataka kuni keep busy ili nisiwe na nafasi ya kufanya utundu nje? sielewi ila ukweli nimechoka.
Dah! Kwenye miti hakuna wajenzi!!
 
Niko na mke wa hivyo,mwanzo nilipomuoa ilikuwa n mchaka mchaka ila baadae nilichoka na kuanza kumpuuza,kuna wakat anaomba afu nakataaa
hongera sana, mim sasa hivi nimeiomba nimebaniwa.. Asubuhi nimeipiga ila katikati ya game imekolea akishamaliza imeisha hiyo anadai amechoka yan ule ushirikiano unakata unabaki unahangaika mwenyewe mpaka pale utakapomaliza... Ni mvivu sijapata kuona
 
Huyo mkeo atakuwa ni mfupi kiasi afu ni mnene maana wanawake wafupi afu wanene walahi ukioa jiandae wao kila siku wanahitaji pum*u hapo sasa kazi n kwako na lazima umjulie usipomjulia utakonda na utamuona kero.
Ushauri kwa wanaume wanzangu ambao wameoa hakikisha mkeo unamjulia kumjulia namaanisha ujue hisia zake zilipo na hakikisha unamkojolesha kila mnapokutana utakuja kunishukuru baadae.
 
Back
Top Bottom