Imefika tajiriππ«‘πImeisha.
Enjoy your lunch mdogo wangu.Imefika tajiriππ«‘π
Ishi sana tajiri πππ₯³π₯³Enjoy your lunch mdogo wangu.
Hamna hii itakuwa na faida kwa mleta mada ππ mbona kama n matumiz mabaya ya uzi wa wenyewe
Quote ya mwisho πππΎπΆπΎββοΈHamna hii itakuwa na faida kwa mleta mada π
Mkuu mbona kazi wewe umeshamaliza unachofanya ni uhakiki tu nae anakuwekea mapozi ya kike ili ujae anavyotaka yeye πAkiskia itakua kasheshe hapa mkuu ππππππ
Na asipoelewa hatoelewa tena.Tupo very matured kwa haya mambo
Huo unakua ni utoto wa level za kunywa maziwa kwenye kichuchu...... I dislikeWanaume wengi wana hii tabia. Wanasahau si kila unachokitaka lazima ukipate.
NIitaomba kukusaidia mazoezi ya kutomchezea!!Note: kama mambo yakienda vizuri, sito mchezea
Sare muhimu na sherehe ya kumpeleka mtu aliechoka uhuru πππππππ
Sasa tutashonaje sare, tumcheze mwali eti mamaa..??
Ni ulikuwa wapiππππ
Nikiwazaga uhuru wangu kuna siku utatwaliwa na mtoto wa watu nakata tamaa..!!
Depal
πππππNi ulikuwa wapi
Ulimuaga nani
Nilipanga kutembea na rafikiyangu akaaga Ile kajiandaa kajipodoa akaambiwa hakuna kwenda alinipigia simu analiaππππ
πππAisee Yani ukiolewa uhuru hamna Tena sasa ndo nn hivoπππππ
Kipindi bado nasuka nilikuwa nipo saloon, mmama akawa analalamika, yeye alikuwa kwenye kamati ya harusi, kashona mpaka sare, kampikia mumewe chap, kajiandaa kamsubiri arudi ale ndiyo aondoke kheeeh', akanyimwa..!!
akaenda zake kuvua nguo na kunawa 'mekap'...!π
Kumbe we ndo unamvujishiaga pepa Half american mpaka anafanikiwa, mi nikimuuliza umefanikiwaje ananambia yy hua anaandika point mpaka wachumba wanaandika "Nakazia" kwenye comment yakeFanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!
Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!π
HahahahUshapewa mbinu.....mie nakupa nyongeza tu ukishapata chance ya kufika pm ingia na miguu miwili salimia, jitambulishe sema nia yako.
Sio unaenda pm vipi my niambie, sa uambiwe nini?? Kakuambia anataka kukwambia kitu?? We mwenye nacho ndio useme.
Au salamu nyiiiiingi, mambo, unajibiwa poa, za huko.....huku wapi???!!!
Nakugawa Mdogo wangu ππ lolFanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!
Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!π
ππππUshapewa mbinu.....mie nakupa nyongeza tu ukishapata chance ya kufika pm ingia na miguu miwili salimia, jitambulishe sema nia yako.
Sio unaenda pm vipi my niambie, sa uambiwe nini?? Kakuambia anataka kukwambia kitu?? We mwenye nacho ndio useme.
Au salamu nyiiiiingi, mambo, unajibiwa poa, za huko.....huku wapi???!!!
ππππππAisee Yani ukiolewa uhuru hamna Tena sasa ndo nn hivo