Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Upo sahihi! Vijana wengi wanakosa bahati za kupata wenzi kutokana na PM kufungwa. Likewise wanaofunga PM wana uhalali wa kufunga PM zao kutokana na kusumbuliwa kila mara na hit and run.

Huwezi kumtafuta mwanamke aliyejifungia, bila kupata ufunguo. Ufunguo huwa ni mwanamke mwenzake.

Wanawake ambao wana ufunguo, PM zao huwa wazi siku zote. Zama kwao na waombe wakuunganishe. Ila usisahau, hiyo ni kazi na lazima uilipie. Jaribu ikikusaidia usimchezee huyo unayemtaka.
 
Nikioa tu milango mingine nafunga Bahati nzuri mi ni mtu wa kutulia sehem moja mapenzi yamenipitia kushoto kwanza nikionyeshwa napendwa sana naona ni kero
Aya hongera Mungu akujaalie
Nataka nipate wifi mie nilete vyombo ๐Ÿ˜ƒ
 
Bado nachagua na noticeboard chumbani nimebandika picha za wanawake ambao sijawatongoza na yako ikiwepo bado naumiza kichwa kuchagua ili nianze kutuma maombi
Hiyo Kali๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Fikiria Tena mkuu na uzee huu lishangazi kama mm
Chagua chagua vijana under 23 watakufaa
 
Wewe kiboko๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ