Nakazia๐๐Mfuate unae mpenda moja kwa moja kwenye comment yake yoyote mwambie atume account no umwekee pesa ya kula .
Note: maneno mengi hula vitendo.
NaaamJamani๐๐๐๐๐
๐ mbona kama n matumiz mabaya ya uzi wa wenyewePoor Brain anatoa mbinu kwa vitendo siyo vibaya ukitoa ushirikiano ili mleta mada apate kujifunza ๐
[emoji1][emoji1]Sasa utajuaje ni mdada kweli usijekutana na dume ikawa shughuli nyingine.
Nakazia..Mfuate unae mpenda moja kwa moja kwenye comment yake yoyote mwambie atume account no umwekee pesa ya kula .
Note: maneno mengi hula vitendo.
Upo sahihi! Vijana wengi wanakosa bahati za kupata wenzi kutokana na PM kufungwa. Likewise wanaofunga PM wana uhalali wa kufunga PM zao kutokana na kusumbuliwa kila mara na hit and run.Katika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF.
Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu.
Unajiuliza nini hiki sasa.
Sio mbaya kujaribu pengine ikawa kweli.
Basi unajaribu kuzama PM unakuta imefungwa.
Kumuanzishia thread haijakaa poa.
Hapa najua kuna mavetelani kwenye hili swala.
Note: kama mambo yakienda vizuri, sito mchezea.
Rafikyngu niliona humu ulisema unatak kuoa mara hii unatak kutongoza Tena๐๐๐๐Nionyeshe kwanza ni mdada gani nikajaribu kwanza mimi kumtongoza akinishinda ntakuachia
Kuoa ni kazi ngumu sana unavyokaribia kuoa ndo unaona kila mwanamke ni mzuri zaidi imebidi nisubiri kwanza nimechanganyikiwaRafikyngu niliona humu ulisema unatak kuoa mara hii unatak kutongoza Tena๐๐๐๐
Hapo Bado ukioa tu unapata mwanamke anakupenda sana kuliko mkeo๐๐Kuoa ni kazi ngumu sana unavyokaribia kuoa ndo unaona kila mwanamke ni mzuri zaidi imebidi nisubiri kwanza nimechanganyikiwa
Nikioa tu milango mingine nafunga Bahati nzuri mi ni mtu wa kutulia sehem moja mapenzi yamenipitia kushoto kwanza nikionyeshwa napendwa sana naona ni keroHapo Bado ukioa tu unapata mwanamke anakupenda sana kuliko mkeo๐๐
Aya hongera Mungu akujaalieNikioa tu milango mingine nafunga Bahati nzuri mi ni mtu wa kutulia sehem moja mapenzi yamenipitia kushoto kwanza nikionyeshwa napendwa sana naona ni kero
Ngoja ntakutag mahaliSawasawa๐๐
Bado nachagua na noticeboard chumbani nimebandika picha za wanawake ambao sijawatongoza na yako ikiwepo bado naumiza kichwa kuchagua ili nianze kutuma maombiAya hongera Mungu akujaalie
Nataka nipate wifi mie nilete vyombo ๐
Hiyo Kali๐๐๐Bado nachagua na noticeboard chumbani nimebandika picha za wanawake ambao sijawatongoza na yako ikiwepo bado naumiza kichwa kuchagua ili nianze kutuma maombi
Wewe kiboko๐๐๐Fanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!
Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!๐
[emoji1][emoji1]Rafikyngu niliona humu ulisema unatak kuoa mara hii unatak kutongoza Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]