Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ.
Au sio.
Ndo wale wakifuatwa pm unakuta mtu ana charting ya kibabe sana adi unastuka khaaaaa... Kumbe

Inauma sana....imagine unamfata pm mrembo "hello mambo dear" anajibu ni aje aje mzeiya πŸ₯Ή
 
It works πŸ‘πŸ˜‡
 
Inauma sana....imagine unamfata pm mrembo "hello mambo dear" anajibu ni aje aje mzeiya πŸ₯Ή
Yaaani wee acha now nimekua matured sifati mtu mpaka nihakikishe kwa kupitia nyuzi zake hata 5..

Kuna mmoja hivo hivo katika story mbili tatu kumbe ni fundi mafriji.

Nikawa najiuliza kweli fundi + mafriji alafu awe wa kike...
Nikajiongeza tu nikasema mwamba tupambane bana pesa haipatikan simple hivo kaka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwahiyo ulimtongoza fundi 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…