Shangazi umeanza kutupanga!Jf ina wanawake 6 tu hadi kufikia march 2024 (za ndani kabisa hizi)
mi nipo tu juu ya gorofa nawaangalia wanajf wote πΉWewe upo wapi sasa mbona tunatishana ππππππππ
Mshangazi.....Shangazi umeanza kutupanga!
πΆπΎββοΈ
πππππππππππ.mi nipo tu juu ya gorofa nawaangalia wanajf wote πΉ
Mm hayo mengine yatampotezea muda sjui kulike mapost na ku quote unakua unaonekana kama mwendawazimu hiviπ€£Hiyo ni chaguo la mwisho kama hayo mengine yakifail
Ujambo....πΆπΎββοΈ
πππππππππππ.
Au sio.
Ndo wale wakifuatwa pm unakuta mtu ana charting ya kibabe sana adi unastuka khaaaaa... Kumbe
hakika maombi nloomba leo yametendaπππΎπumekumbka kusalimia,, sjambo hujambo....Ujambo....
πππππππππ Hahahaha nmecheka jaman ππππππInauma sana....imagine unamfata pm mrembo "hello mambo dear" anajibu ni aje aje mzeiya π₯Ή
Sikiliza kwa makini mbinu zitolewazo na k, kama ni pepa limevuja hilo.....Mm hayo mengine yatampotezea muda sjui kulike mapost na ku quote unakua unaonekana kama mwendawazimu hiviπ€£
Mshangazi.....
It works ππFanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!
Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!π
Yaaani wee acha now nimekua matured sifati mtu mpaka nihakikishe kwa kupitia nyuzi zake hata 5..Inauma sana....imagine unamfata pm mrembo "hello mambo dear" anajibu ni aje aje mzeiya π₯Ή
Nawe wataka kutuma vocha kama lile gawio la tigo sio??Pisi za humu Vocha tu zinataka 50k.
Ova
Mi mbona siku zote nipo hivo ms....hakika maombi nloomba leo yametendaπππΎπumekumbka kusalimia,, sjambo hujambo....
πππππππumeamkia upande gan we mtu leoNawe wataka kutuma vocha kama lile gawio la tigo sio??
Msg inaingi TIGOPESA umepokea gawio la mwezi kutoka tigo tsh 64. Hakuna TOZO unapotuma pesa na Tigo pesa
π₯Ή
Sasa Tsh 64 unafanyia nini et ππππNawe wataka kutuma vocha kama lile gawio la tigo sio??
Msg inaingi TIGOPESA umepokea gawio la mwezi kutoka tigo tsh 64. Hakuna TOZO unapotuma pesa na Tigo pesa
π₯Ή
Kwahiyo ulimtongoza fundi π€£π€£π€£π€£Yaaani wee acha now nimekua matured sifati mtu mpaka nihakikishe kwa kupitia nyuzi zake hata 5..
Kuna mmoja hivo hivo katika story mbili tatu kumbe ni fundi mafriji.
Nikawa najiuliza kweli fundi + mafriji alafu awe wa kike...
Nikajiongeza tu nikasema mwamba tupambane bana pesa haipatikan simple hivo kaka ππππππ