Naombeni sapoti yenu, nimefungua Pub yangu Kinyerezi

@u

Sahihi ilikuwa mwaka juzi nilikuwa pale wale watoto wa kirangi bado wapo?
Hata najua kaka napita tu nikienda home kwa bro Wallah situmii kilevi chochote kile.mie mlevi wa mbuzi choma supu ya mbuzi mchemsho kwenye bar nikiridhika hawauzi nguruwe kama Tandika napenda Bar ya Sun Diego wana misosi mizuri nakula hapo from morning to evening zamani ilikuwa Savoy Bar Buza kanisani kabla haijawahi ya wadangaji mashoga marioo.
 
Angalia usije ukaanza kuvimba miguu baadae 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…