username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
-
- #181
Sawa kaka.username required weka hata picha au video tuone nina birthday yangu next 2 weeks to go naweza fika hapo na Wana tukachoma mbuzi na kilajj cha kutosha tukanywa
Sahihi ilikuwa mwaka juzi nilikuwa pale wale watoto wa kirangi bado wapo?Kaka kwa Osama hakuna bar hio Dar Safari ipo wacha wacha karibu na hospital ya buza.
Naku whatsapp mkuuSawa kaka.
Nifuate PM au Whatsapp
0757720362
Wapo mkuuWadada wapo?
Hata najua kaka napita tu nikienda home kwa bro Wallah situmii kilevi chochote kile.mie mlevi wa mbuzi choma supu ya mbuzi mchemsho kwenye bar nikiridhika hawauzi nguruwe kama Tandika napenda Bar ya Sun Diego wana misosi mizuri nakula hapo from morning to evening zamani ilikuwa Savoy Bar Buza kanisani kabla haijawahi ya wadangaji mashoga marioo.@u
Sahihi ilikuwa mwaka juzi nilikuwa pale wale watoto wa kirangi bado wapo?
Hivi kufungua pub ya kawaida tu inagharimu km mtaji wa tsh. Ngapi hivi?Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Kwa Mawasiliano na ushauri , ninaomba mnitafute 0757720362.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Hapana.Vipi unakula kondoo?
Maana tusije tukawa tunapiga zetu maji then tukawa tunazibofya vishundu ukaanza wivu
Karibu.Naku whatsapp mkuu
Inategemea unataka iweje.Hivi kufungua pub ya kawaida tu inagharimu km mtaji wa tsh. Ngapi hivi?
Za kutosha mkuu.Una smirnoff ice?
Karibu sana mkuuNakuja
Good. Very good.Za kutosha mkuu.
Angalia usije ukaanza kuvimba miguu baadae 🤣🤣🤣Hata najua kaka napita tu nikienda home kwa bro Wallah situmii kilevi chochote kile.mie mlevi wa mbuzi choma supu ya mbuzi mchemsho kwenye bar nikiridhika hawauzi nguruwe kama Tandika napenda Bar ya Sun Diego wana misosi mizuri nakula hapo from morning to evening zamani ilikuwa Savoy Bar Buza kanisani kabla haijawahi ya wadangaji mashoga marioo.
Nishakucheki whatsapp namba inaishia 800Karibu.
Sawa mkuuNishakucheki whatsapp namba inaishia 800
Nakazia.Mimi ushauri wangu hakikisha huduma yq choo imekaa vzr.
Wewe na ke`s wapi na wapi? Tangu lini max?Boss nitakuja na wanangu. Wahudumu wa kike wazuri wapo?