Naombeni sapoti yenu, nimefungua Pub yangu Kinyerezi

Wengine hawapendi harufu ya nguruwe.

Imagine umekaa unakula , jirani yako kakaa anakula nguruwe ,kwa ambao sio watumiaji wanaelewa
Nguruwe ana kisehemu chake huwa panatengwa kwa pembeni.

Lakini anayeenda bar/pub ni lazima akubaliane na vitu vinavyoenda kinyume na Imani yake.vinginevyo atakua ni mnafki

Zipo pub/lounge nyingi kubwa tu ambazo kitimoto inauzwa hadharani na bado watu wote wanaokula na wasiokulaa huwa wanajaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…