Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Boss nije nikufanyie light decoration Nina taa kwa ajiri ya bar nakodishaNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Kwa Mawasiliano na ushauri , ninaomba mnitafute 0757720362.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Naombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Kwa Mawasiliano na ushauri , ninaomba mnitafute 0757720362.
Asanteni
Pia karibuni sana.
wapo mkuuTukishatoa rok ...waliofungasha wapo?
👏👏wapo mkuu
Weka pichaNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Kwa Mawasiliano na ushauri , ninaomba mnitafute 0757720362.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Siku Lucas Mwashambwa akija mjini nitamuelekeza hiyo pub ilipo?Mliokuja kunisapoti asanteni sana.
pamoja mkuu,Anza kupika na supu yakukuMliokuja kunisapoti asanteni sana.
Utazalishwa usimjue Baba wa Mtoto ni yupi kwa kuchanganya mitwangioNdio my love... hutaki au
raree sometimes nafikiri ni BOT, ni kama automated task ya kutoa likes, sio rahisi for normal human kutoa likes Kwa kiwango Cha rareeUpo bize unaulizia misambwanda hadi umesahau kumwaga likes.....
Bila picha ni mmhNaombeni sapoti yenu.
Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub.
Asanteni
Pia karibuni sana.
Hongera sana, weka zindiko hapo!, biashara ya bar siyo ya kipoa poa, utapigwa pin, uone biashara haifai.Local beer ni Tsh elfu 2 tu.
Wewe ni mganga?Hongera sana, weka zindiko hapo!, biashara ya bar siyo ya kipoa poa, utapigwa pin, uone biashara haifai.
Unataka kuliwa futa babyKufirauni unaipenda sana hio michezo Wewe umekua cocastic BICHWA KOMWE - au Lamomy km sijakosea Kapeace au ledada
Kinyerezi ipo mbele ya segerea kama unaenda mbezi.Kinyerezi ndio wapi?