Naombeni sapoti yenu, nimefungua Pub yangu Kinyerezi

Tafadhari mambo ya picha siyahitaji labda ujipige wewe mwenyewe ujiposti na sio kuwapiga watu.

Mtanisamehe kwa hilo.

Siwezi.
Watu wanataka picha ya pub wathaminishe kama ni hadhi yao. Hizo za wahudumu kaa nazo tutawakuta huko huko na miti tutawapiga kama wazuri.

Humu kuna vibopa na makapuku.
 
Kitimoto, kitimoto, kitimoto
 
Kaka kwa Osama hakuna bar hio Dar Safari ipo wacha wacha karibu na hospital ya buza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…