mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kwanini umeulizamwanamke ni mchaga??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini umeulizamwanamke ni mchaga??
We kwanini umeulizakwanini umeuliza
natamani kufahamu kisa cha wewe kuulizaWe kwanini umeuliza
Huyo Dr. yeye ni Transgander?!, kauliza kama sio mwanaume
kuna faida gani ya kufanya hivyo?ishi na mwanamke mzinzi tena kwa upendo wa kutisha
Wewe mwanaume jibu swaliHuyo Dr. yeye ni Transgander?!, kauliza kama sio mwanaume
Piga chini tafuta pesaHabari zenu, Kwa kweli naomba mnipe ushauri maana ni siku ya tano sasa sili wala silali mpaka nimeamua kuja mbeli zenu mnipe Masada WENU
Maana naona sasa naenda kupata tatizo la moyo.
Kisa kiko hivi mm nimeoa Kwa ndoa kabsa na ndoa ina miaka 3, tumebahatika kupata mtoto mmoja, Mimi na mke hatukuwahi kuwa na ugomvi wowote mm na yeye.
Kila kitu nilijitahidi kumtimizia kadili ya uwezo, na baadae nikamfungulia Duka.
Sasa wiki moja nyuma nilipata safari ya ghafla
nikasafiri baada ya kusafiri nimekaa kama siku tatu mke wangu akaniambia kuwa kuna jirani kapata msiba akumuone.
Basi mm nikamruhusu aende baada ya kwenda masaa kama mawili napigiwa simu na jamaa yangu kuwa kamuona akiwa na jamaa wakiingia ndani Kwa jamaa.
Niliumia Sana kupata taarifa hizo ikabidi nigeuke Kesho yake na kumhoji kuwa ilikuwaje anidanganye kuwa anaenda msibani kumbe si kweli.
Akaniambia kuwa ameenda ila akapotea na wakati anarudi ndo amekutana na jamaa ambaye alikuwa anamtongoza na kuongozana kwenda kwake ila akaniambia kuwa hawakufanya mapenzi.
Sasa nimeshindwa kuamini kuwa kweli hawakufanya na na je mwanamke kama huyu anastahili msamaha hata kama kweli hakucheat?
Pls nisaidieni
Jibu ni kwamba, hakuna nchi moja inaweza kuwa na maraisi wawili at perWewe mwanaume jibu swali
Ndio mambo zao haonatamani kufahamu kisa cha wewe kuuliza
Labda kama wewe na huyo mwanamke wote ni wakike.Comment za gen z ndo kama ivo
Lakin ukishatoka hii stage , utaishi na mwanamke mzinzi tena kwa upendo wa kutisha
Mkuu ulitegemea huyo Mwanamke angekubali kama kainamishwa chuma mboga?Sii kashakwambia hajatombwer sasa wee tatizo nini?
Tuliana nae bro...hizi mbususu hazitaki wivu
Ah sass usipo muamini mkeo umuamini nani tena. Mke kasema hajatombwer, so hajatombwer full stop.Mkuu ulitegemea huyo Mwanamke angekubali kama kainamishwa chuma mboga?