Naombeni ushauri kuhusu nyumba yangu niliyoijenga Maramba Mawili

Sio kwamba yuko Blackmailed??

Kuna kitu aliwahi kusema kuwa walipofungwa mahabusu enzi za Mtu Yule kuna kitu walifanyiwa na kwamba ni cha aibu sana. Sasa huenda wamemwambia mzee ingia mtaani fanya kazi na sisi ukigoma tunasambaza zile issue.

Sasa kwa mazingira jama haya ni Mungu tu ndie anajua.
Alivyosema ni kweli hakuna chama zaidi ya hicho maana mambo yake hata Joka juu, yule joka wa zamani aitwaye Ibilisi na Shetani hawezi kufikia.
 
haters watasema Tatepa tea company
 
Pesa ilikusahulisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usiuze na kijichi ulikosema kuko poa sana, tena kule ndio kuko hot ss hivi.
Na mimi nitafutie plot kijichi napapenda sana.!! Si utanichangia dada mkubwa!!😜

Acha tu dogo tuhela tulikuwepo na majukumu hayakuwa mengi basi hata nyumba unatoq tu sadaka sasa hivi na utawala wa maza kizimka mashauzi kwisha😁😁.

Kwa kijichi worry out hesabu ushapata.
Sipati picha tukiwa majiranj tutakavyokuwa wehu.Hapa mamaa ya Zaba,hapa mzee wa bucci katikati mimi.dada lenu😁😁
 
Unanitia mori sijui kwanini naipuuzia nyumba yangu
Niache uzembe sasa.
Napuuzia maokoto utadhani nimejipata kumbe bado najitafuta.
Si mbali na maeneo hayo hayo

unayotaja
Dear fanyia ukarabatii haraka na pandisha kodi, wapangaji utapata had uwakimbie.

Hili eneo wengi wanazamia, hasa vijana wanao anza maisha.
Hivyoo wapangaji wa kutoshaa sanaa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hapo kwa mzee wa bucci wallahi ntshinda mbavu zinaniuma.!
 
Maramba sehem gani, mboan bado kupo potential kiufupiiii nendaa kairekebishe iwe ktk hali nzuri kabisa kila kitu yani iwe kama mpya kabisa then ndo uanze kupandisha iyo kodi yako
Fanya kila chumba 50kΓ—3 ni 150k living room 50k, apo 200k eneo+ vyoo+jiko na mengineyo 50k kodi wafanyie 250k maximum acha tamaa
 
Hii iko vizuri sanaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…