Huyo mkewe naye azae nje unamheshimu mtu huku hajiheshimu aisee.Kama kulikuwa na wanaume wanammendea anawatolea nje sasa hivi ataanza kuwapa ushirikiano mkubwa.
Yani kuanzia sasa utaanza kumuona mabadiliko makubwa sana na si kazi akaanza kupendeza kuliko awali.
Usiseme ametoa Sema umeua watoto wawili wasio na hatia.. Uliwaadhibu adhabu ya kifo Hao Malaika kwa kosa lipi?? Tamaa zenu wanaadhibiwaje wao.. Damu yao itakulilia hadi siku ya mwisho wa maisha yako... Ni heri uue anayeweza kujitetea kuliko innocent creatures..
Wazo nzuri.Sasa mkuu tukushauri nini na wewe ndio muhusika. Si uamue kusema hiyo tuhuma ni ya uongo au yaukweli.
Kama ni ya ukweli ndio uamue kuishi na yupi kati ya hao wake zako wawili.
Na huyo mkeo hata kama alikuwa hachepuki, kwa tukio lako lazima afanye Revenge ya yeye kuanza kugawa nje kama ulivyofanya wewe.
Kuoa mitala bado sana ijapokuwa dini ina ruhusu.Si ungeoa huyo Mwanamke ijulikane moja roho mbili zisizo na hatia dah
Si mgawane kwani shida iko wapi?Ushauri mke wangu anataka kuondoka kisa nimezalia kwa mwanamke mwingine .Sasa tumebahatika kujenga kibanda na tuna duka sasa anataka tugawame.
Huyo mtoto alikuwepo kabla ya ndoa au umempata ukiwa kwenye ndoa na mke wako?Tangu nimeoa saizi natimiza miaka saba ndani ya ndoa yetu na tumebahatika kupata watoto wawili.
Lakini hapa karibuni mke wangu amepata habari kuwa nina mtoto mwingine ambaye nimezalia kwa mwanamke mwingine sasa ananisumbua sana anataka asepe kwao.
Haki sijawai kutembea na mume wa mtu ila mtu akizaa na mume wangu siondokiUmeolewa? Yamewahi kukukuta hayo? Ama ni wale michepuko ishajitoa kuzaa zaa na yeyote atayeingia 18 zao
Huyo mtoto alikuwepo kabla ya ndoa au umempata ukiwa kwenye ndoa na mke wako?
Wewe kwa comment hii unaweza kumpora kabisa huyo mtoto na akamsahau mpaka mama yake.Haki sijawai kutembea na mume wa mtu.ila mtu akizaa na mume wangu siondoki
Ndo hivo mkuu .Mimi namchukua tu mtoto akae na wenzake maisha yaendelee.ukiondoka unamfaidisha Nani zaidi ya kuleta maafa kwa wanao?Wewe kwa comment hii unaweza kumpora kabisa huyo mtoto na akamsahau mpaka mama yake.
Dah.Kasema amempata akiwa na ndoani.
Kasema mtoto ni mchanga wa miezi takribani 6 .
Mashallah.Ndo hivo mkuu .Mimi namchukua tu mtoto akae na wenzake maisha yaendelee.ukiondoka unamfaidisha Nani zaidi ya kuleta maafa kwa wanao?
Ahaaa labda umeingiwa na jini la kiarabuMashallah.
Nimekupenda bure.
Umemfanya Kiranga kasema Mashallah, mpaka mwenyewe nimecheka contradiction hii.
Before anybody jumps on this, its a purely cultural expession to me.
Abriana .kiukweli nimetania tuTunapozungumza ndoa mama ni kile kiapo, kama ingekua ni rahisi namna hiyo watu wangekua wanazaa tu na kusingekua na sababu ya kuwa na ndoa, ndoa ni familia, kumbuka ana watoto wawili na mke wa ndoa, how do you feel hao watoto wakaenda kulelewa na mzazi mmoja kwa sababu ya usaliti wa mume?
πππππππ€£π€£ Dah!! mnamaneno bandugu!!Mwache aende... Chalamila alisema sisi wanaume ni wa wote, yeye ni nani apinge
Asilimia 70 ya nyuzi za JF kuhusu ndoa zitanifanya nisioe. Yani niko nasikitika mkeo anataka aondoke kwa uchungu wa wewe kuchepuka, kumbe yeye target yake ni kugawana mali.Ushauri mke wangu anataka kuondoka kisa nimezalia kwa mwanamke mwingine .Sasa tumebahatika kujenga kibanda na tuna duka sasa anataka tugawame.