Naombeni ushauri! Mwanangu wa kike kaniambia Mambo yaliyonichanganya sana

Naombeni ushauri! Mwanangu wa kike kaniambia Mambo yaliyonichanganya sana

Usikomplicate mambo kijana,ushawahi ona mtoto wa mbuzi kuzaliwa asubuhi harafu jioni anampanda mama take,je kayajulia wapi huyo mbuzi mtoto!?..?

Nimefanya sana haya mambo enzi za utoto,wewe huenda ni mzazi wa mwendo kasi
 
Naombeni ushauri, namuokoa vipi mwanangu wa miaka minne na kumkinga katika Hali hiii. Ni hivi, Leo nilikuwa nyumbani, na toka asubuhi nilikuwa nae nikicheza nae .

Sasa katika ongea ongea kaniambia Jambo lililonishtua kidogo. Ameniambia watoto wadogo wawili wa pale mtaani wamedakana. Na nilipouuliza kudakana ndio Nini akasema walienda kwenye migomba wakavua nguo na kudakana.

Kwa jinsi alivyoongea,Mimi nimeelewa kuwa hao watoto walifanya mapenzi japo yeye anasema walidakana. Haraka haraka nimejua kuwa lazima Kuna mtu kamwambia kitendo kile ni kudakana .

Kinachonitisha zaidi watoto anaosema wamedakana ni watoto wadogo wachekechea.

Kwa umri wake kuanza kuongea au kusikia Mambo Kama hayo naona Kama sio sawa.

Naombeni ushauri katika mazingira Kama haya namsaidia vipi mwanangu , na pili namweka vipi mbali na hao watoto wengine pasipo kuleta athari. Japo najua kumtenga sio dawa, maana hawezi kuishi ndani peke yake. Tushauriane katika malezi,kwenye Jambo Kama hili unafanyaje kumuokoa mwanao wa kike.
Kwa mtoto wa kike ni hatari ukizingatia ni mtaani hapo. Nadhani kupunguza madhara ni kuzungumza na wazazi wa watoto wote hao mtafute suluhisho kwa pamoja. Kumtenga mwanao peke yake haitosaidia zaidi, chukua wazazi wote wajulishwe na wawaonye vikali watoto wote ikiwezekana na adhabu juu kwa hao waliodakana. Na mjue hayo mambo wamejifunzia wapi mzuie. Kama uko uswahilini sana kazi ya ziada unayo, kuwa strict ukiwa unamfundisha naona mara nyingi kunasaidia. Sio unakuwa strict kimyakimya atakulia timing akitoka aharibikie bweni au chuo.

Angekuwa mtoto wa kiume kwake yeye hamna athari sana kuliko wa kike. Mapenzi mimi nilijifunza kwenye movies hasa za Kihindi, nikiwa awali nikawa napewa kisses na kukubatiwa na dogo mwenzangu, huyo baadae aliacha shule akiwa form 2 kama dada yake na aliolewa, first born wake ni wa kiume alimuita jina la ex wake wa mtaani kwetu.
Darasa la pili nikamwandikia Karen barua ya mapenzi nikaandika I love you so much kwa kukosea spelling hakuelewa sababu nilikuwa mjanja sana next level, akaenda kuuliza nikakamatwa na fimbo juu. Baadae madarasa ya juu tukawa tunafanya kitoto, hakuwa stricted kabisa nyumbani kwao.

Form one nikatongoza demu wa kwanza kumbe ni HIV+. Nikampanga, kuna rafiki yangu Rama (RIP) akatuona tunajifichaficha tunaongea tunafurahi akanidokeza. Huyo binti alikuwa mzuri na hakuwa analindwa sana nyumbani, sadly akaambukizwa na mwalimu wake wa primary. Sasa hivi ni mlokole fake ila anapanga wanaume.

Kutokana na kuokolewa dakika za mwisho, nikaachana na mapenzi nikawa muoga. Baadae nikaanza kutumia kinga mpaka siku nimebakiza moja na demu wangu akaja hapo tupo Form 4 nikaonja bila kinga nikajilaumu sana siku zote nilikuwa wapi. Huyo demu wangu alifariki, inaaminiwa na wote kwamba alirogwa na ndugu yake wa kambo.

Karen kwa sasa ana watoto wawili kila mmoja na baba yake ndani ya miaka miwili. Nikabaki mimi, mapenzi hayanitishi nimepitia mtaa mgumu kutoboa marafiki zangu wa utotoni wote wamezaa kiholela.
Nimeanzia mbali sana ila uswahilini kuna maisha mabovu sana kwa watoto hasa kama wazazi wenyewe kama ni oyaoya siku zisonge. We unategemea nini wazazi shule zinafunguliwa wanafurahi watoto waende kupambana na walimu wazazi wenyewe wapumzike.
 
Hao waliobakana/dakana wameona kwenye video(TV au Simu au Computer) au wameona kupitia kwa wakubwa hasa house girls.
Ondoa baadhi ya channels za TV au isitumike msipokuwepo wenye nyumba.
 
Ingekuwa Enzi za mwalimu mtoto anamwambia mzazi hivyo daa yaani angechezea viboko mpaka akisikia kudaka anakimbia mbio

Ilikuwa ni njia pekee ya kuwafunda watoto kabla hayaja mambo ya don't do that, stop it , hey na kadhalika

Sikushauri upige ila muweke mbali na watoto watukutu ni bora uwe nae home na kununulia vifaa vya michezo na labda awe na rafiki mmoja wa kumtembelea hapo ambae mzazi wake unamjua au ni ndugu.

Watoto wanaelewa ukiwaelewesha vizuri na kuwafundisha mema kila wakati na jaribu kuwa nae karibu na uwe unaongea nae kama mtu mkubwa sio ile sauti ya kitoto

Pia jaribu kujisomea labda na kumfundisha dini pia inasaidia sana maana inamfundisha maadili mengi
 
Kuna jambo la kujifunza hapo
1. Hiki kizazi cha sasa hupenda kulala na watoto hadi miaka 6 wengine hadi 9 na bila uangalizi wa kutosha hivyo wanapokuwa faragha hufanya watoto wawaone na watake kujaribisha walichokiona
2. Kuwaachia watoto simu/komputa wachezee bila uangalizi na mwishoni kuishia kuona vitu vya ajabu
(japo wazazi wengi hawajui; Google humtaka mzazi amfungulie mtoto email yake aweke umri wa mtoto ambapo Google yenyewe itamzuia mtoto kwenda kurasa za watu wazima..
3. Kuangalia sinema za usiku kwenye TV baada ya saa nne ya usiku na watoto wadogo; wakati muda huo ndipo clip za machafu hupita

Kimsingi sio kwamba hao watoto wamefanya kwani hakuna erection bali walikuwa wanaigiza wanacho kiona kwa wazazi wao.
Kuhusu hatua ya kuchukua, nikumfundisha mwanao kuwa ni vibaya na asikubali kabisa kufanya huo mchezo , na akiona tena akuambie. Na ikajatokea akakuambia kuwa amewaona tena, mpe zawadi kidogo hata ice cream kuonesha kuwa amefanya jambo zuri sana kukuambia.
Hapo utafikiria mbinu mpya za kumpunguzia muda wa kucheza; pengine muda mwingi awe shuleni , tuition, games nk baadae bweni
Pia kushirikisha wazazi husika kwa kadri unaona inafaa
 
Naombeni ushauri, namuokoa vipi mwanangu wa miaka minne na kumkinga katika Hali hiii. Ni hivi, Leo nilikuwa nyumbani, na toka asubuhi nilikuwa nae nikicheza nae .

Sasa katika ongea ongea kaniambia Jambo lililonishtua kidogo. Ameniambia watoto wadogo wawili wa pale mtaani wamedakana. Na nilipouuliza kudakana ndio Nini akasema walienda kwenye migomba wakavua nguo na kudakana.

Kwa jinsi alivyoongea,Mimi nimeelewa kuwa hao watoto walifanya mapenzi japo yeye anasema walidakana. Haraka haraka nimejua kuwa lazima Kuna mtu kamwambia kitendo kile ni kudakana .

Kinachonitisha zaidi watoto anaosema wamedakana ni watoto wadogo wachekechea.

Kwa umri wake kuanza kuongea au kusikia Mambo Kama hayo naona Kama sio sawa.

Naombeni ushauri katika mazingira Kama haya namsaidia vipi mwanangu , na pili namweka vipi mbali na hao watoto wengine pasipo kuleta athari. Japo najua kumtenga sio dawa, maana hawezi kuishi ndani peke yake. Tushauriane katika malezi,kwenye Jambo Kama hili unafanyaje kumuokoa mwanao wa kike.
alitaka kumaanisha "wamebakana". usimnyime mapigo.
 
Naombeni ushauri, namuokoa vipi mwanangu wa miaka minne na kumkinga katika Hali hiii. Ni hivi, Leo nilikuwa nyumbani, na toka asubuhi nilikuwa nae nikicheza nae .

Sasa katika ongea ongea kaniambia Jambo lililonishtua kidogo. Ameniambia watoto wadogo wawili wa pale mtaani wamedakana. Na nilipouuliza kudakana ndio Nini akasema walienda kwenye migomba wakavua nguo na kudakana.

Kwa jinsi alivyoongea,Mimi nimeelewa kuwa hao watoto walifanya mapenzi japo yeye anasema walidakana. Haraka haraka nimejua kuwa lazima Kuna mtu kamwambia kitendo kile ni kudakana .

Kinachonitisha zaidi watoto anaosema wamedakana ni watoto wadogo wachekechea.

Kwa umri wake kuanza kuongea au kusikia Mambo Kama hayo naona Kama sio sawa.

Naombeni ushauri katika mazingira Kama haya namsaidia vipi mwanangu , na pili namweka vipi mbali na hao watoto wengine pasipo kuleta athari. Japo najua kumtenga sio dawa, maana hawezi kuishi ndani peke yake. Tushauriane katika malezi,kwenye Jambo Kama hili unafanyaje kumuokoa mwanao wa kike.
Tatizo kubwa la malezi ya watoto Tanzania na Afrika kwa ujumla ni wazazi kuwaacha watoto wacheze wao wenyewe bila kuwepo mtu mzima. Sasa wewe unamwacha mtoto wa umri huo acheze kwenye migomba na watoto wengine huoni ni hatari? Najua pengine unaishi uswahilini na nyumba haina geti lakini jitahidi asicheze mbali na watu wazima. Anyways changamoto kubwa ni fedha kwani kama una fedha za kutosha huwezi kuishi sehemu za changanyikeni ambako ku-control watoto ni vigumu sana.
 
Kama umepanga fanya haraka sana kuhama hayo mazingira, km unaishi kwako basi jaribu kuwashirikisha hilo jambo wazazi wa hao watoto ili mjue mnachukua hatua gani.
Yote kwa yote, muweke mazingira ya mbali sana mwwanao na hivyo vitoto vishenzi maana mpaka hapo akiviona atakuwa anakumbuka hayo matendo machafu yaliyo juu ya umri wake. Pia tumia muda mwingi kuwa naye ww km mzazi.
 
Kuna jambo la kujifunza hapo
1. Hiki kizazi cha sasa hupenda kulala na watoto hadi miaka 6 wengine hadi 9 na bila uangalizi wa kutosha hivyo wanapokuwa faragha hufanya watoto wawaone na watake kujaribisha walichokiona
2. Kuwaachia watoto simu/komputa wachezee bila uangalizi na mwishoni kuishia kuona vitu vya ajabu
3. Kuangalia sinema za usiku kwenye TV baada ya saa nne ya usiku na watoto wadogo; wakati muda huo ndipo clip za machafu hupita

Kimsingi sio kwamba hao watoto wamefanya kwani hakuna erection bali walikuwa wanaigiza wanacho kiona kwa wazazi wao.
Kuhusu hatua ya kuchukua, nikumfundisha mwanao kuwa ni vibaya na asikubali kabisa kufanya huo mchezo , na akiona tena akuambie. Na ikajatokea akakuambia kuwa amewaona tena, mpe zawadi kidogo hata ice cream kuonesha kuwa amefanya jambo zuri sana kukuambia.
Hapo utafikiria mbinu mpya za kumpunguzia muda wa kucheza; pengine muda mwingi awe shuleni, games , tuition nk baadae bweni
Pia kushirikisha wazazi husika kwa kadri unaona inafaa
Hizi sabau ulizotoa zote siyo primary cause. Kwa kifupi maadali ya jamii kwa ujumla ndiyo tatizo kubwa. TV zetu hizi mchana kweupe zina maudhui mengi mabovu kabisa. Wakubwa nao muda wote wanazungumza mambo ya ngono. Wasanii malaya siku hizi ndiyo wanaitwa mastaa na wana followers kibao na kuteuliwa kwenye nafasi za uongozi, CCM ndiyo utaratibu wa Samia.
 
Oohooo muongee ulinzi Mlinde.
Wengine waanze asubuhi
Wenginge tunaanza usiku
Tunaanza usiku
Usiku wa manane
 
Why asicheze mkuu? Na sio kwamba anaenda kucheza mbali No. Anacheza na watoto wenzake was nyumba za jirani
Kucheza siyo vibaya lakini vibaya ni kuwaacha wacheze wenyewe mbali na uangalizi wa mtu mzima. Hivi ukiwaambia chezeni hapa nyumbani hata kama wewe unafanya shughuli huku unawatupia jicho ni vibaya? Na kucheza kuwe na muda, siyo mtoto anacheza asubuhi hadi jioni. Kma anaenda chekechea akirudi nyumbani hatahitaji muda mrefu sana wa kucheza na wenzake.
 
Mfundishe mwambie ni dhambi mbele ya Mungu na tabia mbaya. Small kids hate to be told they have bad manners.

Sasa endelea kujiuliza. Kesho atasema mama leo nimedakwa
 
Hicho mbona kitu cha kawaida kabisa, nakumbuka na Sisi tulianza michezo hiyo tukiwa around umri huo tukiwa kijijini, hakuna cha simu, wala TV wala hatujawahi kuona yeyote akifanya, nadhani ni kitu asili tu
 
Kawaida hio kwani nyie hamjacheza michezo ya kibaba na kimama..tunapokuwa wadogo lazima tupitie pre-mambozi
 
Mtoto wako anaoneka msanii tu, unakuta huo ni uzushi aliousikia kutoka kwa rafiki zake akaamua akufikishie na wewe dingi asikie unasemaje.

Sasa ushauri wangu nilitaka umuongoze apende Madrassa au Sunday school lakini basi acha nimekumbuka kitu.
 
Back
Top Bottom