Kesho kunani
Member
- Sep 10, 2023
- 72
- 191
- Thread starter
- #61
Funguka mkuu
Mtoto wako anaoneka msanii tu, unakuta huo ni uzushi aliousikia kutoka kwa rafiki zake akaamua akufikishie na wewe dingi asikie unasemaje.
Sasa ushauri wangu nilitaka umuongoze apende Madrassa au Sunday school lakini basi acha nimekumbuka kitu.