Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Ni demuNenda kwenye baa yenye mademu wengi chakaza hata hyo iliyobaki then akili itakuja
Kabisa mzee.350m umepoteza kwenye biashara gani mkuu.Mbona hela ndogo sana hio utapata zingine usijutie.
Mimi nimepoteza 350M na still nipo happy nachukulia ni malipo ya Ada ya kujifunza maisha.
Mapito ni funzo ili kesho uwe Bora zaidi.
Ndoa Je inakuta Nini ?Hela hukuta wazo
Ukiona unapata hela halafu ndio utafute wazo la biashara, BASI USIFANYE BIASHARA.
#YNWA
Subiri kwanza tutoe vyombo majumbani. Maji yamejaa huku kwetu.Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Sometime manipulation sio nzuri hata kidogo.Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Dah ninyi wenzetu mnapataje Hizo kazi za hela ndefu? maana huku kwetu kwenye TGS ni upuuzi mtupuHabari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Bila kuchukua mkopo wala kuiba kwa lak 4 au 5 hupati maeneo potential tusidanganyane labda ukanunua mapori ukisubiri siku moja pawe mjini.Ndugu acha kudanganya tunalipwa vilaki 4 vitano huko mbona tunawekeza hayo mashamba tunayo tena maeneo potentiel kabisa
Mixing zikiwemo magariKabisa mzee.350m umepoteza kwenye biashara gani mkuu.
Basi aitumie hyo kutafuta bwana mwenye hela awe mchepuko aendeelee kula mema ya nchi asikonde kwa mawazoNi demu
Vyakuka au mavazi?Hiyo milioni Tano,Anza biashara ya kupeleka vitu Comoro,Kuna fursa nyingi sana
Shukuru kwa icho kidogo.Dah ninyi wenzetu mnapataje Hizo kazi za hela ndefu? maana huku kwetu kwenye TGS ni upuuzi mtupu
Tunapata ukichaaa.1.Anzisha biashara ya vipodozi sehem za uswahilini
2.Fanya biashara ya miamala uswahilini.au uza gari uongoze mtaji ili ufanye biashara ya miamala ..
Sema maskini tukipata tunakuwaga na wenge la pesa sana.
Umasikini upo kwenye akili za waafrika sio kwenye hela ndio maana wale jamaa wa M bet na sportpesa pesa wanashinda hela nyingi ila wanarudi tena kwenye umachinga wa kutembeza vitu mitaani everything starts in the mindset that's why lottery winners aren't billionaire.Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.
Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.
Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.
Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.
Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.
Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.
Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?
Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Milioni kumi * 6 = 60m.
Kama umenunua gari plus eneo ekari 5 na una akiba ya 5m. Nakupa big up wala hujachezea pesa kumbuka ulikula bata pia. Kwa mwendo huo ungekua na hiyo kazi Kwa miaka 5 ungekua mbali sana. Angekua wa kiume hata boxsa asingenunua
Kabisa hata upewe mara nyingine bado utazimaliza bila kituUkute gari yenyewe IST na heka 5ziko Matombo!ila jamani ukiwa fungu la kukosa ni la kukosa