Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

Mbona hela ndogo sana hio utapata zingine usijutie.
Mimi nimepoteza 350M na still nipo happy nachukulia ni malipo ya Ada ya kujifunza maisha.
Mapito ni funzo ili kesho uwe Bora zaidi.
Kabisa mzee.350m umepoteza kwenye biashara gani mkuu.
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Subiri kwanza tutoe vyombo majumbani. Maji yamejaa huku kwetu.
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Sometime manipulation sio nzuri hata kidogo.

Unapotaka ku-post kitu chochote kile jaribu kuunganisha matukio na post zako za nyuma uone kama trends zina-match kuanzisha uzi mpya. People are not that idiot. They can absolutely access your previous posts anyhow.

Mfano, Mtu ana-post

Leo[emoji117]Nina MTAJI wa 500,000/= naomba ushauri Biashara ya kufanya niko dar.

Kesho[emoji117]Nina bajeti ya million 15, wapi nitapata gari zuri la kutembelea hapa morogoro?

Kesho kutwa[emoji117] Nimeamua kwenda rukwa nikaanzishe kilimo cha mpunga, kuishi kwa wazazi nimechoka. Maombi yenu wadau.

So, Which is which [emoji849][emoji849][emoji17][emoji17].
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Dah ninyi wenzetu mnapataje Hizo kazi za hela ndefu? maana huku kwetu kwenye TGS ni upuuzi mtupu
 
Ndugu acha kudanganya tunalipwa vilaki 4 vitano huko mbona tunawekeza hayo mashamba tunayo tena maeneo potentiel kabisa
Bila kuchukua mkopo wala kuiba kwa lak 4 au 5 hupati maeneo potential tusidanganyane labda ukanunua mapori ukisubiri siku moja pawe mjini.
Laki tano kwa mwaka ni milion 6 bila hata kutoa sumni.
 
Karma,bajeti inatoka ununue kilo 200 za mchele wewe unanunua kilo 100.
Usijilaumu hela ya madili huwa ni ya kustarehe,ulinunua gari gani kijana?
 
Umenizidi Ukengee,ila basi usijilaumu sana.Miezi 6 maanake ml60 tu. Ukitoa ya gari hapo 26mls....songa mbele.
 
1.Anzisha biashara ya vipodozi sehem za uswahilini
2.Fanya biashara ya miamala uswahilini.au uza gari uongoze mtaji ili ufanye biashara ya miamala ..
Sema maskini tukipata tunakuwaga na wenge la pesa sana.
 
1.Anzisha biashara ya vipodozi sehem za uswahilini
2.Fanya biashara ya miamala uswahilini.au uza gari uongoze mtaji ili ufanye biashara ya miamala ..
Sema maskini tukipata tunakuwaga na wenge la pesa sana.
Tunapata ukichaaa.
 
Habari wanaJf,

Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.

Pale walinipa short contract ya miezi 6 maana mradi wao upo kwenye closing phase.

Mkataba wangu umeisha mwanzoni mwezi huu.

Kinachoniuma ni katika kipindi hiki sijafanya cha maana zaidi ya kununua gari na kununua eneo heka 5 huko Morogoro.

Nilibadilisha lifestyle nikawa naishi kama bilionea huku mjini, Yaani Kila wikendi napanda ndege naenda kusalimia ndugu Dar.

Mimi nilijua tu lazima wataextend contract ila nimekuja kuhamaki hawaongezi. Just like that umasikini nilioutoroka umerudi kwa kasi.

Ninawalaumu wanaJf maana hamkunishauri vizuri na Sasa mdogo wenu narudi kwenye umasikini.

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Anyways, kwa sasa Nina saving ya mil 5 niifanyie biashara gani hapa Dar?
Umasikini upo kwenye akili za waafrika sio kwenye hela ndio maana wale jamaa wa M bet na sportpesa pesa wanashinda hela nyingi ila wanarudi tena kwenye umachinga wa kutembeza vitu mitaani everything starts in the mindset that's why lottery winners aren't billionaire.
 
Milioni kumi * 6 = 60m.
Kama umenunua gari plus eneo ekari 5 na una akiba ya 5m. Nakupa big up wala hujachezea pesa kumbuka ulikula bata pia. Kwa mwendo huo ungekua na hiyo kazi Kwa miaka 5 ungekua mbali sana. Angekua wa kiume hata boxsa asingenunua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom